Baada ya Kiapo cha Odinga: Serikali imelitangaza kundi la NRM liongozwalo na Raila Odinga kuwa la kihalifu

Usifikiri mlivompiga risasi Lisu linaweekana kila nchi, Kenya ni watu wengine aisee nchi itapotea kama wakijaribu hata kumvunja mguu, mara kumi sheria ifate mkondo wake kuliko utumbo ulioandika hapo juu.
 
Jamani kama kuna anayeweza kunikopesha 350,000 (tarehe 02/02/2018 nikamludishia tarehe 03/02/2018) naomba anisaidie tuongee kupitia +255764052457 ni kwa lengo zuri ti
 
Usilolijua ni kama usiku wa giza
Baba yake raila ndio aliompa Nchi mzee kinyata.wakati huo akiwa gerezani
Akamwambia mzee kenyata nakukabidhi wewe nchi na nakuamini
Walikabidhiana kwa roho moja na kuaminiana saaana
Fatilia historia mkuu usipayuke tu

Duuh, hii historia yako, sijui inapatikana wapi.. Nadhani wewe ndio unahitaji kufuatilia historia ili ujue ukweli.. Nakusadia kwa link chini hapa..

Jaramogi Oginga Odinga - Wikipedia
 
Watu weupe wanatutia viburi weusi tupasuane daily.Ukichunguza vizuri utagundua kuna nguvu kubwa nyuma ya Odinga.Mtu huwezi kujirisk upambane na serikali kama huna msaada.Ona waasi Congo wapo mstuni lakini imara siku zote jiulize siraha wanapata wapi vyakula na madawa ndo utagundua wazungu wanatuchochea tuuane
 
Kweli huku kwetu wenye siasa za ukanda ni wachache na wako upande mmoja. Nilishtushwa kale ka Mb kadogo kaliposema ukanda ule ni bora wakajitenga. Wakianza kuwabagua watanzania wenzao bado hawatabaki salama maana bado watabaguana kwenye koo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…