Si ndio wenye nchi ,kwa hiyo wakipewa nafasi uchumi utapaaNa wachaga watajimilikisha nchi yote, kumbuka CRDB ilivyojaa Wachagga.
Chadema mnahangaika sana.Hatimaye kwa namna yoyote ile ubao umelalia kaskazini. Kwa mara ya kwanza katika historia huenda na kwa asilimia kubwa tena za kutosha makamu wa Rais atatokea katika ukanda huo yaani kaskazini.
Mimi nimemhifadhi mtu ambaye anapewa nafasi kubwa ya kukalia hicho kiti. Nitakuja kumtaja huko mbeleni.
Unaweza kubashiri.
Makamu wa Rais ninayemzungumzia hata huko CCM hana jina kubwa.Chadema mnahangaika sana.
Makamu wa Rais atatoka CCM siyo Ufipa!
Hakuwa makamu wa Rais wa Jamhuri ya muunganoMnamjua Cleopa Msuya? Hakuwahi Kuwa makamu wa Rais Mwinyi?
Naona unaota! Fisi unaweza kumkabidhi Bucha kweli?Hatimaye kwa namna yoyote ile ubao umelalia kaskazini. Kwa mara ya kwanza katika historia huenda na kwa asilimia kubwa tena za kutosha makamu wa Rais atatokea katika ukanda huo yaani kaskazini.
Mimi nimemhifadhi mtu ambaye anapewa nafasi kubwa ya kukalia hicho kiti. Nitakuja kumtaja huko mbeleni.
Unaweza kubashiri.
Fuatilia Historia Kijana.. alikuwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu at the same time mwaka 1983Hakuwa makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano
Yule ni chadema anajulikana!Makamu wa Rais ninayemzungumzia hata huko CCM hana jina kubwa.
Walipata sana nafasi za juu wakati wa Nyerere, Mwinyi na Mkapa lakini walichofanya ni kujilimbikizia mali na maendeleo kwao huko kaskazini tu. Sasa ni wakati wa kanda zingine ili maendeleo yasambae Tanzania nzima.Kuikataa na kuibeza kaskazini ni kukataa maendeleo.
Mkuu haikuwa bahati yetu kanda ya ziwa kumaliza ngwe. Tuwaachie wengine sasaNaona unaota! Fisi unaweza kumkabidhi Bucha kweli?
Ni CHADEMA yupi?. Kime?Yule ni chadema anajulikana!