Uwezo kwangu ndio kila kitu. Hatuuishi uislamu wa mtu au ukristo wa mtu.

Mtu kama ana uwezo apewe tu
 
...kwa nafasi ya VP hapo January ndio chaguo la mama, kiufupi CCM ya asilia inarudi, MATAGA mwisho rasmi umefika.
Pale inapowezekana kuepukwa, kuna utaratibu flani (unwritten) kwamba Rais akiwa wa kutoka imani flani, makamu wake anakuwa wa imani nyingine. Unwritten though na sometime inaweza kuwa ngumu kuepukika (rejea Kikwete na Bilal)
 

Kuna kitu Mungu atawakumbusha huko mbeleni we tulia tu
 
Okay
 
..
 
MATAGA nowadays is gone,
Hili neno lili trend sana enzi za JPM.
Kweli kila kitabu na zama zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…