Hata awe mpagani sio lazima awe mkristo kama kazi anaiweza kuifanya vemaKigezo cha kwanza kwenye majina lazima awe mkristo ili kubalance haiwezekani wote wakawa waislamu haya tuanze upya kufikiria
Kama mafisadi wapo bora warudi pesa zije mtaani na sisi tunufaikepoMkisikia NCHIMBI kawa makamu wa Rais; mjue mkwere/ Vasco Dagama amerudi kutawala na mafisadi watarudi kwa kasi ya 5G!!!
Kwani umekatazwa kufanya biashara?Ninyi mlizoea vya kunyonga.Ila let me tell you this, Watanzania sio wale wa JK,Magu kawaamsha.So do not play games.Na imani na JK ,tumechoka kuishi kama mko korea kaskazini uchumi umeganda, kila jirani ni vurugu yaani tabu tupu.
Bahati nzuri mama ni zao la JK since then so sitarajii genge la Chato kuleta nongwa
[emoji106][emoji106]Acha kuchekesha!!! Umeanza lini comedy?!! Uyu Kabudi ndio awe makamu wa Rais?!! Itakuwa ni kupatwa kwa umakamu!! Kabudi ni mshamba, mnafiki hafai kuwa kiongozi kwenye zama hizi za utandawazi na utawala wa haki za kibinadamu, hatutaki tena kiongozi mwenye mawazo ya kijamaa na propaganda.
Kama ndivyo huoni mixed feelings kwa sasa ,wapo waliofurahia na wansohuzunika.Viongozi waliopita wataheshimiwa kwa kutokana na matendo na jinsi walivyoishi walipokuwa madarakani!!
Umemsahau na yule RC wa mbeya ChalamilaKuna viherehere fulani ningetamani wafutwe kwenye uso wa siasa kabisa
1.ALLY APPI
2.MAKONDA
3.KENANY DC yule aliechapa wanafunzi
4.PROF MIJICHO KABUDI
5.Pro MPANGO
6.DOTTO WA HADHINA
Amekuamshaje wewe binafsi tuanzie hapo sasaKwani umekatazwa kufanya biashara?Ninyi mlizoea vya kunyonga.Ila let me tell you this, Watanzania sio wale wa JK,Magu kawaamsha.So do not play games.
Mjinga kwa kuwa naipenda nchi yangu?Na kama ni mjinga kwa kuwa sipendi Watanzania waibiwe rasilimali zao,ngoja niwe mjinga.Itanifaidia nini kupata dunia yote,halafu nije niikose Mbingu?Amekuamshaje wewe binafsi tuanzie hapo sasa
Wewe ni kajinga fulani huna unachojua,kwa taarifa yako wenye nchi wanaisafisha sasa baada ya kosa la kiufundi 2015
Kuna sheria ambazo hazijaandikwa popote....hazimbebi JM (read "dini"), labda wabadilishe PM. Nje hapo "wagalatia" watapiga kelele, 'mama' kiti atakiona kichungu mapema!All the best to January Makamba
Aisee bado mpo,nilidhani Magu kavunja vunja tabia za kishenzi za kifisadi.Kazi ipo.Umemsahau na yule RC wa mbeya Chalamila
Mimi sikuhitaji kuamshwa,I new all.Ni wale wananchi ambao hawakujua hata kwamba Tanzania is rich na kwamba hatuhitaji mabeberu kutupa mikopo,after all hela wanazojifanya wanatupa mikopo wametuibia!Amekuamshaje wewe binafsi tuanzie hapo sasa
Wewe ni kajinga fulani huna unachojua,kwa taarifa yako wenye nchi wanaisafisha sasa baada ya kosa la kiufundi 2015
Angalau under JPM tuliona hela zilikokuwa zinaenda,kwa Mwinyi,Mkapa na Kikwete Tanzania ilikuwa shamba la Bibi.Kama ndivyo huoni mixed feelings kwa sasa ,wapo waliofurahia na wansohuzunika.
Wanaojiita wanyonge wamexidi kuwa.mafukara afu hawajielewi ,ajira ziko wapi,wastaafu wapi wanalipwa,wafanyakazi je,wakulima je , freedom of speech iko wapi
Vumilieni watawaongoza vizuri sanaUpuuzi mtupu, Nchimbi ndio kiongozi gani? mnaturudisha enzi za ujima, stupid.
This is sacarsm.Kama sio Mtanzania bwana,ovyo sana.Vumilieni watawaongoza vizuri sana
Nchimbi!This is day dreaming.Mnadhani kila mtu anaweza kuongoza nchi.Kama mafisadi wapo bora warudi pesa zije mtaani na sisi tunufaikepo
Nimesema kwa makusudi kabisa hapo....This is sacarsm.Kama sio Mtanzania bwana,ovyo sana.
Kumlinganisha Makonda na Makamba ni dhihaka ya hali ya juu. Namuona Makamba kama Waziri wa Mambo ya Nje akajaribu kujenga na kurudisha hadhi ya Tanzania katika uga wa kimataifa ambayo kwa miaka michache ya huyu Mr kutoka jalalani naona imeharibika mnoo.Makamba na Makonda hawafai ni wachumia tumbo.Tunataka watu wazalendo wa kweli,wanaoweza kufanya maamuzi magumu,wenye uthubutu na watakao-wajali wananchi wa kawaida.
Sioni characters hizo kwa January na Makonda,they are opportunistic.
Kwahiyo mnamtaka Msukuma?Nchimbi!This is day dreaming.Mnadhani kila mtu anaweza kuongoza nchi.
Mama anaapishwa lini.