Unaniwekea maneno mdomoni?Kwahiyo mnamtaka Msukuma?
wampe wizara ya fedha arekebishe ombwe lililopoTupia prof. Assad
Sisi tunaenda na mama....Wengi mnajadili as if office ya VP ni muhimu sana kwa nchi yetu.
Office ya VP ni geresha, haina mamlaka yeyote zaidi ya kutumwa.
Ukisoma kwenye tivuti ya serikaki ofisi ina kazi 2 tuu.
1. Mazingira
2. Muungano
Kwa sasa ccm wapo kwenye wakati mgumu sana kwa sababu hawakutegemea kwamba siku nchi hii itakua na Rais ambaye hajawahi kuwa na majukumu critical.
Kusema ukweli office ya makamu wa Rais ni geresha.
Mtu muhimu kwa sasa ni spika na waziri mkuu.
Mijadala ni muhimu, na binadamu amezoea kulonga hata vya kutunga na uongo, bila ushahidi, na hata wewe ukifa tutakusingizia mengi tuu, si ndio ubinadamu!Mahiga alifariki 1may 2020,siku inayofata kabla hata hajazikwa, marehemu Magufuli, akamchagua mwigulu kuchukua nafasi yake, Uwezi kuzuia watu kujadili nani anafaa kuwaongoza!! Wala Uwezi kuwachagulia muda wa kujadili, ameshakufa uyo, Nchi haiwezi kusimama.. mijadala ni muhimu.
Antony Mtaka wa Simiyu apewe anasifa zote sio limbukeni, sio mlevi wa madaraka.
Namuona JAFO anafaa zaidi
Kwa lipi ama ni mihemuko yako tu na mahaba yako? Tuambie kwa ufupi tu huyu Njaa Nuary katika hii nchi amefanya kitu gani hadi utushawishi tumpe nafasi ya uongozi mkubwa wa nchi? Ana kitu gani cha ziada compared na watanzania wengine? Kuna watanzania wengi tu wazalendo kweli kweli kuliko hawa wa Jakaya regime waliopewa vyeo kwa sababu baba alikuwa katibu wa CCM!Twende na... View attachment 1728960
Dr Asha Rose Migiro.Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndio anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?
R.I.P Magufuli.
Mshaanza... Mbona wakati wasukuma wakijaa kwenye teuzi mlikuwa kimya?Rais Pwani na makamu wa Rais iwe Pwani tena?
Hafai hata kuwa class monitorAntipas
Kwa mawazo haya ya ukabila na ukanda hamjui mlisemalo. kama kweli nchi hii tutafanya maamuzi based on ukanda na ukabila basi kubalini kwamba viongozii wakuu wa hii nchi watatoka kanda ya Ziwa siku zote. Sababu mnzajua. ACHENI MAMBO YA UKABILA, UDINI NA UKANDA hayatusaidii sana zaidi ya kutubomoa!Wampe huyu mtu wa songi,Katibu Mkuu wa ccm apewe Kinana.
Sukuma land biashara imeisha hio
Prof. Mark MwandosyaDr.kimei
Prof Adolf
Lukuvi
January ni bogaUmewaza kama mimi Chief, namuona January akienda kushine tena, japo inaweza isiwe kirahisi sana.
Hayo yalikuwepo kwa miaka ya utawala wa Magufuli na hukusema kitu...Kwa mawazo haya ya ukabila na ukanda hamjui mlisemalo. kama kweli nchi hii tutafanya maamuzi based on ukanda na ukabila basi kubalini kwamba viongozii wakuu wa hii nchi watatoka kanda ya Ziwa siku zote. Sababu mnzajua. ACHENI MAMBO YA UKABILA, UDINI NA UKANDA hayatusaidii sana zaidi ya kutubomoa!
Mi siwezi Ku-Hamuka labda uanze wewe unionyeshe jinsi ya Kuhamuka.Hayo yalikuwepo kwa miaka ya utawala wa Magufuli na hukusema kitu...
Wenzako wanataka yakomeshwe...
Ebu "Hamuka"...
they should go for a young unpopular ,clever who can be groomed for presidencyPoleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndio anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?
R.I.P Magufuli.
Umemanisha haji?Haki manara hatoshi? Tuangalie na race jamani
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app