ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Yule big nooo..bora haya makamba anawasema sana mabeberu tunataka mtu wa kuleta uhusiano mzuri na mataifa mengineAtafaa, maana kiukweli sioni mtu wa kuvaa viatu vyake zaidi ya Kabudi, wengine wote nikiwaangalia nawaona ni rojo rojo kwa mabeberu
Zinduka, yameishaa hayoooo. Tupambane na mapyaaaMambo bado biashara yenu haijachanganya mmeisha mulikwa!!! Mnataka kurudisha ujangili wenu hatukubali kwa hali yeyote ile!!
huyu mtu hafai, ataturudisha enzi za upigaji
waziri wa kilimo, mchumi prof Adolf Mkenda atatusaidia sana kama makamu wa raisi, ni mpole, mchapa kazi, mtiifu na kiongozi mwaminifu sanaMwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.
Vip Waziri mkuu wao alikuwa Muislam?Tulikuaga na Jakaya na Shein, Jakaya na Gharib Bilali..
Kipi ulipunguza? Ambacho wakati wa Magufuli na Samia ulikiongeza?
January makambaPoleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndio anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?
R.I.P Magufuli.
Naona umeaka sasaaa Tafakari yajayoooYaani watu kama ninyi mnafaa kupigwa kawa mpaka mfe.Laiti ungekuwa karibu yangu!
Kanda ya ziwa washachukua sana kuliko kanda zingine zamu ya kanda zingine zingineKwa mawazo haya ya ukabila na ukanda hamjui mlisemalo. kama kweli nchi hii tutafanya maamuzi based on ukanda na ukabila basi kubalini kwamba viongozii wakuu wa hii nchi watatoka kanda ya Ziwa siku zote. Sababu mnzajua. ACHENI MAMBO YA UKABILA, UDINI NA UKANDA hayatusaidii sana zaidi ya kutubomoa!
Lukuvi vipi
hakuna hata mmoja anaefaa hapa!Mwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.
wakafilie mbaliNasikia Wasukuma wanataka hiyo nafasi kwa udi na uvumba. Waziri wa ujenzi ndio chaguo lao ikishindikana basi hata Askofu Rashid au Makonda.
Uonavyo wewe ni nani nani anafaa?hakuna hata mmoja anaefaa hapa!
Majaliwa yuko too soft.Namkubali Lukuvi.Jamaa yupo serious sanaa maana ametunyoosha sana sie tulioko sekta ya ardhi. Hata mm namuona kama ni kiongozi mzuri akishirikiana na Majaliwa
Comment hii ni ya mtu mwenye mawazo ya kifisadi kabisa.Wewe aidha ni fisadi papa au una una-tamani kuwa fisadi papa.Una ushahidi wa hili? Twiga waliisha porini?
Mahakama ya mafisadi iliishia wapi? Mda umefika yaliyokuwa yamejificha yatajulikana
Lukuvi ana-faa,ana integrity ya kuwa makamu wa Rais.Lukuvi vipi