Prof pic yako hapo ni shidaaaWachaga hawafai kuwapa nchi, wana ukabila sana, uyo kawajaza wachaga CR bank yote
Hahaha,Mkipewa nchi salamu ya Taifa itakuwa "ughonile' maofisini
Mwanafyale watu wabad kwenye ukabila mpo
Usizungumze usilolijua, watu wanaajiriwa kimya kimya kwa vimemoHakuna wasukuma waliojazana kwenye idara, hii ni propaganda tu zisizo na maana.
Miaka 6 ya Magufuli hakuna ajira, hao wasukuma waliajiriwa wapi?
Zaidi ya 70% wafanyakazi wa CRDB ni Wachagga, huyo mtu apewe nchi kweli?
Proportionately wasukuma ndio kabila kubwa kuliko makabila yote Tanzania lakini hawana ukabila wowote, wachaga ni wachache lakini mna ukabila na kupendeleana sana.
Mfano mdogo ni CRDB tu. Kuna kipindi ilikua makamishna wa TRA ni wachaga, mlitaka kuharibu TRA insingekua jitihada za maksudi TRA ingeharibika.
Nimewasoma wote naona wewe ndio mwenye akili za kutosha Mimi sio mchaga lakini nataka MTU anayeleta maendeleo bila kujari ukabira wake, hata hivyo hakuna Kabita lisilopenda kwao.Nashukuru kuungana na mimi kwa baadhi ya mambo.Sijapinga uwepo wa makabila makubwa,ila hoja yangu ni kuwa ukubwa wao usitufanye tuwaabudu.Ndio maana Nyerere alitoka kabila dogo,Mwinyi,Mkapa,Mkwere,Ingawa ngo sha 😛.Ila ukubwa wa kabila usituletee ishu zao,Kila kabila likidai haki yake kitaeleweka ?Ishu ni kuwa tu fair kwa kila kabila na kila mtu
Wabongo sisi ni shida hapo yoyote akataye wekwa watalalamikaAcheni kujadili ukabila,Mzee Kimei anafaa.
Na wakinga, Sasa Kimei wanamwogopa nini wakati anajua maendeleo yakojeNani anamuogopa mchaga ww nenda kkoo sasa hivi uone wanavokalishwa pale sasa hivi makabila yote yako fiti yanapambana hasa.
Ah jamani kama nilivyowahi kusema huko nyuma, kuna watu huwa wanaandika huu bila ya kufikiri au kusoma wanachokiandika. Sasa wewe unamsifu huyu mtu na unasema aliambiwa akanushe makosa aliyoyaona ili alinde ugali wake, na akafanya hivyo na unataka mtu huyo sasa achaguliwe kuwa makamu wa raisi? Sasa kama aliogopa kusema kweli huko nyuma unadhani atasema ukweli sasa? si atakuwa "a yes man" tu? Unajua kuwa hali ya tanzania ni kuwa punda ni yule yule lililobadilika ni soji tu? Serikali ni ile ile, chama ni kile kile na jeshi na polisi ni lile lile!Wana JF
Sote humu tunaangaika kupata mtu sahihi wa kusaidiana na Rais SSH, huku tukitaka kitoona mabaki ya CCM ya zamani iliyokuwa Na malengo ya kujirundikia Mali huku ikilindana kiutawala na kufanya wanyonge tuwe maskini wa kutupwa kabla ya Rais Hayati JPM kuipangua na kuirudisha kwa wananchi. Vyeo vya kulindana na kurithishana vinaweza kurudi ikiwa hatutamchagua mwanamapinduzi wa kweli.
Dr. Charles Kimei amefanya mapinduzi makubwa katika sekta ya kibiashara ya kibenki mpaka akacha urithi mkubwa wa kimaendeleo benk aliyoiongoza ikapata mafanikio. Yeye akiwa mshauri wa mwenendo wa kiuchumi aliwahi kusahihisha makosa fulani tunayopitia akataka kuletewa zengwe kabla ya kuambiwa kanusha ili alinde ugali wake kwani alikuwa anakalibia kustaafu.
Kwa udhubutu wake kusema ukweli na makosa anayoyaona kiuchumi, na alighubikwa na serikali isiyotaka ukweli, sasa ni wakati wa CCM kumchagua akatuletee maendeleo kwani hana makundi. Sisi tunachotaka ni maendeleo dhabiti ya watu na vitu sio vitu tu huku wanyonge tukisaga Lami. Angalau tukimkosa Antoni Mataka naye anafaa, Mkoa wa Simiyu ulikuwa nyuma sana na ameunyoosha, ameonyesha diplomasia makini kwa kutatua migogoro ya wafanyakazi.
Mchague awe makamo wa Raisi wa familia yako kama unampenda sana.Wana JF
Sote humu tunaangaika kupata mtu sahihi wa kusaidiana na Rais SSH, huku tukitaka kitoona mabaki ya CCM ya zamani iliyokuwa Na malengo ya kujirundikia Mali huku ikilindana kiutawala na kufanya wanyonge tuwe maskini wa kutupwa kabla ya Rais Hayati JPM kuipangua na kuirudisha kwa wananchi. Vyeo vya kulindana na kurithishana vinaweza kurudi ikiwa hatutamchagua mwanamapinduzi wa kweli.
Dr. Charles Kimei amefanya mapinduzi makubwa katika sekta ya kibiashara ya kibenki mpaka akacha urithi mkubwa wa kimaendeleo benk aliyoiongoza ikapata mafanikio. Yeye akiwa mshauri wa mwenendo wa kiuchumi aliwahi kusahihisha makosa fulani tunayopitia akataka kuletewa zengwe kabla ya kuambiwa kanusha ili alinde ugali wake kwani alikuwa anakalibia kustaafu.
Kwa udhubutu wake kusema ukweli na makosa anayoyaona kiuchumi, na alighubikwa na serikali isiyotaka ukweli, sasa ni wakati wa CCM kumchagua akatuletee maendeleo kwani hana makundi. Sisi tunachotaka ni maendeleo dhabiti ya watu na vitu sio vitu tu huku wanyonge tukisaga Lami. Angalau tukimkosa Antoni Mataka naye anafaa, Mkoa wa Simiyu ulikuwa nyuma sana na ameunyoosha, ameonyesha diplomasia makini kwa kutatua migogoro ya wafanyakazi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] haa haa haa watu hawachafuiMnataka kutuchafulia mji Sasa Kwa ombaombq. Machinga wenyewe Tu wanatuhari
Mchukue ukanywe naye chai kwako[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Nimewasoma wote naona wewe ndio mwenye akili za kutosha Mimi sio mchaga lakini nataka MTU anayeleta maendeleo bila kujari ukabira wake, hata hivyo hakuna Kabita lisilopenda kwao.
Unatumia nn kifikiri mkuu..with no offenceWana JF
Sote humu tunaangaika kupata mtu sahihi wa kusaidiana na Rais SSH, huku tukitaka kitoona mabaki ya CCM ya zamani iliyokuwa Na malengo ya kujirundikia Mali huku ikilindana kiutawala na kufanya wanyonge tuwe maskini wa kutupwa kabla ya Rais Hayati JPM kuipangua na kuirudisha kwa wananchi. Vyeo vya kulindana na kurithishana vinaweza kurudi ikiwa hatutamchagua mwanamapinduzi wa kweli.
Dr. Charles Kimei amefanya mapinduzi makubwa katika sekta ya kibiashara ya kibenki mpaka akacha urithi mkubwa wa kimaendeleo benk aliyoiongoza ikapata mafanikio. Yeye akiwa mshauri wa mwenendo wa kiuchumi aliwahi kusahihisha makosa fulani tunayopitia akataka kuletewa zengwe kabla ya kuambiwa kanusha ili alinde ugali wake kwani alikuwa anakalibia kustaafu.
Kwa udhubutu wake kusema ukweli na makosa anayoyaona kiuchumi, na alighubikwa na serikali isiyotaka ukweli, sasa ni wakati wa CCM kumchagua akatuletee maendeleo kwani hana makundi. Sisi tunachotaka ni maendeleo dhabiti ya watu na vitu sio vitu tu huku wanyonge tukisaga Lami. Angalau tukimkosa Antoni Mataka naye anafaa, Mkoa wa Simiyu ulikuwa nyuma sana na ameunyoosha, ameonyesha diplomasia makini kwa kutatua migogoro ya wafanyakazi.
Natumia MainiUnatumia nn kifikiri mkuu..with no offence
[emoji527]
Mwanri kwa lipi?Ampe iyo nafasi waziri wa kilimo mifugo uvuvi na umwagiliaji Adolf Mkenda anafaa kabisa. Ama mwanri mzee wa jifanye unajikuna