Baada ya 'Kiki' kuhamia kwenye siasa, wasanii waja na Gia nyingine

Baada ya 'Kiki' kuhamia kwenye siasa, wasanii waja na Gia nyingine

Mangi flani hivi

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2016
Posts
2,026
Reaction score
3,107
Salam,

Kwa kile kinachoonyesha kuwa ni kuendana na upepo wa kisiasa wasanii wameonekana kuhamia kwenye muziki wenye maudhui ya kisiasa na haswa kwa kinachoendelea katika uongozi uliopo madarakani. Mpaka sasa kuna hizi nyimbo ambazo zina uelekeo huohuo....

1. Ney wa mitego- Wapo
2. Baghdadi- Usinipangie
3. Weusi- Madaraka (nasubiri official release, ila intro ipo youtube)

List inaendelea......

My take:
Huu ni mgomo baridiiii wa wasanii kwa serikali iliyopo madarakani.
Omba langu, wasanii mje na namna maalumu ya kucheza hizi hits za kipindi hiki.
 
Salam,

Kwa kile kinachoonyesha kuwa ni kuendana na upepo wa kisiasa wasanii wameonekana kuhamia kwenye muziki wenye maudhui ya kisiasa na haswa kwa kinachoendelea katika uongozi uliopo madarakani. Mpaka sasa kuna hizi nyimbo ambazo zina uelekeo huohuo....

1. Ney wa mitego- Wapo
2. Baghdadi- Usinipangie
3. Weusi- Madaraka (nasubiri official release, ila intro ipo youtube)

List inaendelea......

My take:
Huu ni mgomo baridiiii wa wasanii kwa serikali iliyopo madarakani.
Omba langu, wasanii mje na namna maalumu ya kucheza hizi hits za kipindi hiki.
Weusi iko vizuri!
 
Salam,

Kwa kile kinachoonyesha kuwa ni kuendana na upepo wa kisiasa wasanii wameonekana kuhamia kwenye muziki wenye maudhui ya kisiasa na haswa kwa kinachoendelea katika uongozi uliopo madarakani. Mpaka sasa kuna hizi nyimbo ambazo zina uelekeo huohuo....

1. Ney wa mitego- Wapo
2. Baghdadi- Usinipangie
3. Weusi- Madaraka (nasubiri official release, ila intro ipo youtube)

List inaendelea......

My take:
Huu ni mgomo baridiiii wa wasanii kwa serikali iliyopo madarakani.
Omba langu, wasanii mje na namna maalumu ya kucheza hizi hits za kipindi hiki.

Online release is the best huko sirikali haina control

watoe song nyingi sana ili wajue kua tunachoshwa na Ubashite [HASHTAG]#freedomofspeech[/HASHTAG]
 
Umenipa madaraka ya kulevyaaaa haha yaani pale sijui kama wataambulia kitu
 
Back
Top Bottom