Baada ya kimya kirefu nimeamua kumsupport Rais wangu na hizi ndizo nondo nne za kuanza nazo

Baada ya kimya kirefu nimeamua kumsupport Rais wangu na hizi ndizo nondo nne za kuanza nazo

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari jf , binafsi kama Sukuma Gang na mfuasi wa falsafa za hayati Magufuli kwa akili yangu nimeamua kumuamini Rais wangu mama Samia .

Hii ni baada ya kufanya tathmini na kugundua Rais Samia ana mipango na malengo mazuri na hii nchi .

Hivyo kwa kuanza namshauri haya mambo manne :-

1.Afute mikutano ya siasa mpaka 2025 baada ya miradi mingi kuonekana ufanisi wake .

2.Kwa ninavyowajua wajumbe wengi wa NEC ni watu wenye uelewa mkubwa wa mambo ,hivyo hawa watu 20 ndio wawe washauri wake ,aache kusikiliza kila mtu .

3.Awe makini na wanaofukuzia Urais hata kama ni wajumbe wa NEC ,eg J makamba ,Mwigulu etc...

4.Mwisho Rais wangu Demokrasia haijawahi kuwa chanzo cha maendeleo , Maendeleo ndio sehemu nyingi yalianza ndio ikaja Demokrasia .

Na Demokrasia ndio chanzo kikubwa cha migogoro na umaskini Africa .Hivyo awe makini na neno Demokrasia .

Ni ngumu muda mwingine kusikiliza maoni ya vijana wanao fikiri ni bora wapewe uhuru wa kutukana mitandaoni kuliko kuletewa Maendeleo .

Na hayo tu.

Kazi iendelee

 
Habari jf , binafsi kama Sukuma Gang na mfuasi wa falsafa za hayati Magufuli kwa akili yangu nimeamua kumuamini Rais wangu mama Samia .

Hii ni baada ya kufanya tathmini na kugundua Rais Samia ana mipango na malengo mazuri na hii nchi .

Hivyo kwa kuanza namshauri haya mambo manne :-

1.Afute mikutano ya siasa mpaka 2025 baada ya miradi mingi kuonekana ufanisi wake .

2.Kwa ninavyowajua wajumbe wengi wa NEC ni watu wenye uelewa mkubwa wa mambo ,hivyo hawa watu 20 ndio wawe washauri wake ,aache kusikiliza kila mtu .

3.Awe makini na wanaofukuzia Urais hata kama ni wajumbe wa NEC ,eg J makamba ,Mwigulu etc...

4.Mwisho Rais wangu Demokrasia haijawahi kuwa chanzo cha maendeleo , Maendeleo ndio sehemu nyingi yalianza ndio ikaja Demokrasia .

Na Demokrasia ndio chanzo kikubwa cha migogoro na umaskini Africa .Hivyo awe makini na neno Demokrasia .

Ni ngumu muda mwingine kusikiliza maoni ya vijana wanao fikiri ni bora wapewe uhuru wa kutukana mitandaoni kuliko kuletewa Maendeleo .

Na hayo tu.

Kazi iendelee

Sawa sawa, lakini hoja zijibiwe...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Habari jf , binafsi kama Sukuma Gang​
Mkuu RNA , japo mimi siamini existence ya kundi hili la Sukuma Gang, lakini...
na mfuasi wa falsafa za hayati Magufuli kwa akili yangu nimeamua kumuamini Rais wangu mama Samia .

Hii ni baada ya kufanya tathmini na kugundua Rais Samia ana mipango na malengo mazuri na hii nchi .

Hivyo kwa kuanza namshauri haya

4.Mwisho Rais wangu Demokrasia haijawahi kuwa chanzo cha maendeleo , Maendeleo ndio sehemu nyingi yalianza ndio ikaja Demokrasia .

Na Demokrasia ndio chanzo kikubwa cha migogoro na umaskini Africa .Hivyo awe makini na neno Demokrasia .

Ni ngumu muda mwingine kusikiliza maoni ya vijana wanao fikiri ni bora wapewe uhuru wa kutukana mitandaoni kuliko kuletewa Maendeleo .

Na hayo tu.

Kazi iendelee​
Naunga mkono hoja
P
 
Neno Sukuma Gang ni a fictitious Group that doesn't exist in reality lililobiniwa na yule Kigogo wa Twitter na watu wajinga wajinga wenye akili fupi wakaamini hili kundi ni kweli lipo!.

Kiukweli kabisa Sukuma Gang sio kundi la kweli, halipo popote and don't exist anywhere in reality except ndani ya vichwa vya watu waliofilisika kisiasa!

kama na wewe unaamini kuwa kundi la Sukuma Gang kweli lipo and does exist in reality, ujijue ni akili fupi and muflis kisiasa kama wale muflis wengine wote wanaoamini ujinga huu!
 
Habari jf , binafsi kama Sukuma Gang na mfuasi wa falsafa za hayati Magufuli kwa akili yangu nimeamua kumuamini Rais wangu mama Samia .

Hii ni baada ya kufanya tathmini na kugundua Rais Samia ana mipango na malengo mazuri na hii nchi .

Hivyo kwa kuanza namshauri haya mambo manne :-

1.Afute mikutano ya siasa mpaka 2025 baada ya miradi mingi kuonekana ufanisi wake .

2.Kwa ninavyowajua wajumbe wengi wa NEC ni watu wenye uelewa mkubwa wa mambo ,hivyo hawa watu 20 ndio wawe washauri wake ,aache kusikiliza kila mtu .

3.Awe makini na wanaofukuzia Urais hata kama ni wajumbe wa NEC ,eg J makamba ,Mwigulu etc...

4.Mwisho Rais wangu Demokrasia haijawahi kuwa chanzo cha maendeleo , Maendeleo ndio sehemu nyingi yalianza ndio ikaja Demokrasia .

Na Demokrasia ndio chanzo kikubwa cha migogoro na umaskini Africa .Hivyo awe makini na neno Demokrasia .

Ni ngumu muda mwingine kusikiliza maoni ya vijana wanao fikiri ni bora wapewe uhuru wa kutukana mitandaoni kuliko kuletewa Maendeleo .

Na hayo tu.

Kazi iendelee

Leta Makala hata moja uliyowahi kumuunga mkono Magufuli au Kumpinga Samia. Acha kujiuza kishamba kwa kutumia Brand isiyokuhusu
 
Hakuna tusi au kejeli yeyote ile, ambalo litakuja kufunika Urithi wa tendo au wazo la John Pombe Magufuli, Hayati Raisi wa Tanzania.
Hakuna!

Rest In Power-Pumzika kwa Amani Comrade.

Ikumbukwe pia, hakuna genge lelote lile Tanzania linaloitwa Sukuma Gang. Kuna kabila la Wasukuma.
 
Habari jf , binafsi kama Sukuma Gang na mfuasi wa falsafa za hayati Magufuli kwa akili yangu nimeamua kumuamini Rais wangu mama Samia .

Hii ni baada ya kufanya tathmini na kugundua Rais Samia ana mipango na malengo mazuri na hii nchi .

Hivyo kwa kuanza namshauri haya mambo manne :-

1.Afute mikutano ya siasa mpaka 2025 baada ya miradi mingi kuonekana ufanisi wake .

2.Kwa ninavyowajua wajumbe wengi wa NEC ni watu wenye uelewa mkubwa wa mambo ,hivyo hawa watu 20 ndio wawe washauri wake ,aache kusikiliza kila mtu .

3.Awe makini na wanaofukuzia Urais hata kama ni wajumbe wa NEC ,eg J makamba ,Mwigulu etc...

4.Mwisho Rais wangu Demokrasia haijawahi kuwa chanzo cha maendeleo , Maendeleo ndio sehemu nyingi yalianza ndio ikaja Demokrasia .

Na Demokrasia ndio chanzo kikubwa cha migogoro na umaskini Africa .Hivyo awe makini na neno Demokrasia .

Ni ngumu muda mwingine kusikiliza maoni ya vijana wanao fikiri ni bora wapewe uhuru wa kutukana mitandaoni kuliko kuletewa Maendeleo .

Na hayo tu.

Kazi iendelee


Kama kukosekana demokrasia kunaleta maendeleo, Afrika ndio ilipaswa kuongoza kwa maendeleo duniani kwani ndio sehemu isiyo na demokrasia zaidi.
 
Habari jf , binafsi kama Sukuma Gang na mfuasi wa falsafa za hayati Magufuli kwa akili yangu nimeamua kumuamini Rais wangu mama Samia .

Hii ni baada ya kufanya tathmini na kugundua Rais Samia ana mipango na malengo mazuri na hii nchi .

Hivyo kwa kuanza namshauri haya mambo manne :-

1.Afute mikutano ya siasa mpaka 2025 baada ya miradi mingi kuonekana ufanisi wake .

2.Kwa ninavyowajua wajumbe wengi wa NEC ni watu wenye uelewa mkubwa wa mambo ,hivyo hawa watu 20 ndio wawe washauri wake ,aache kusikiliza kila mtu .

3.Awe makini na wanaofukuzia Urais hata kama ni wajumbe wa NEC ,eg J makamba ,Mwigulu etc...

4.Mwisho Rais wangu Demokrasia haijawahi kuwa chanzo cha maendeleo , Maendeleo ndio sehemu nyingi yalianza ndio ikaja Demokrasia .

Na Demokrasia ndio chanzo kikubwa cha migogoro na umaskini Africa .Hivyo awe makini na neno Demokrasia .

Ni ngumu muda mwingine kusikiliza maoni ya vijana wanao fikiri ni bora wapewe uhuru wa kutukana mitandaoni kuliko kuletewa Maendeleo .

Na hayo tu.

Kazi iendelee

CHADEMA Stop your hatred Speech towards the Wasukuma Tribe.


Narudia, hakuna Genge lelote lile Tanzania linaloitwa "Sukuma Gang" kuna Kabila la WASUKUMA.

CHADEMA Wasipewe nafasi ya kufanya Siasa za Chuki na Visasi dhidi ya Kabila la Wasukuma ati kwa sababu Hayati Raisi alikuwa ni Msukuma.

Serikali, JF ijufunze na haya ya Vifo. Mwishowe Raisi SSH akitoka aitwe Islamic Gang na wengine wote watakaofuata. Tanzania yetu tunaiyoijua itaingia katika Vita hasi za Kijamii. Wacheni kukumbatia Chuki kwa kigezo cha Uhuru wa Kuongea
 
Back
Top Bottom