Baada ya kimya kirefu nimeamua kumsupport Rais wangu na hizi ndizo nondo nne za kuanza nazo

Kweli huyo ni Rais wako lakini si Rais wa wote kimoyo. Wewe mu support lakini jua una support pia uongozi dhaifu na usio na dhamira kwa wananchi na Taifa. Coz RUSHWA na ufisadi unatisha kwasasa. Huduma za kijamii zimelegea mno
 
Kama kukosekana demokrasia kunaleta maendeleo,

Afrika ndio ilipaswa kuongoza kwa maendeleo duniani kwani ndio sehemu isiyo na demokrasia zaidi.
Kwamba Afrika ndio Sehemu isiyo na Demokrasia ni Uongo, na, ni Upotoshaji

Hayo maneno yako ni ya Uwongo uliopitiliza. Wazungu wamekuta Demokrasia imeshamiri Afrika na iliwashangaza. The subject is well Documented

Wacha kejeli.
 
Kweli Kuna watu na viatu yaani huo ushubwada ndo unauita nondo?
 
Kweli huyo ni Rais wako lakini si Rais wa wote kimoyo. Wewe mu support lakini jua una support pia uongozi dhaifu na usio na dhamira kwa wananchi na Taifa. Coz RUSHWA na ufisadi unatisha kwasasa. Huduma za kijamii zimelegea mno
Sukuma Gang at work.
 

Watanzania wengi hawajaridhika Mkataba wa Bandari, tusahihishe ama tuache ndoa hii na Waarabu​

 
 
Swali likiisha ulizwa ni limeulizwa na lilijibiwa, hivyo limeisha.
P
Haya mkuu, kazi iendelee. Tumepata comparative analysis ya situation zote katika nchi moja na behaviour za Watz kwenye mazingira ya udikteta na demokrasia, lkn potelea mbali acha demokrasia ishamiri, tusirudi kule.
 
CHADEMA mkome. You must cease and desist.
Acheni kuendeleza ajenda yenu ya kuwaangamiza kabila la WASUKUMA
Tumewasamehe lakini hatutasahau, ili tusirudie makosa, mwacheni mama achape kazi, kama ninyi mlivyopewa nafasi.
 
Kwamba Afrika ndio Sehemu isiyo na Demokrasia ni Uongo, na, ni Upotoshaji

Hayo maneno yako ni ya Uwongo uliopitiliza. Wazungu wamekuta Demokrasia imeshamiri Afrika na iliwashangaza. The subject is well Documented

Wacha kejeli.
Narudia tena, Afrika ndio bara linaloongoza kwa kuwa na demokrasia duni. Kama maendeleo ni dalili ya kutokuwepo kwa demokrasia, basi Afrika ilipaswa kuwa na maendeleo zaidi. Hutaki jinyonge.
 
Mikutano yenyewe ukisikiliza hamna cha maana wanaongea, bora tu ifutwe kwakweli.
 
Nilikosea sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…