Tetesi: Baada ya kivuko Busisi kuzingua, wananchi waruhusiwa kupitia katika Daraja la Magufuli na kuvuka kwa mguu hadi ng’ambo

Kwa nini "Wasukuma" wanapenda kujirekodi wanapokuwa wanafanya uhalifu. Mwingine yule Gozbert juzi.
Mkuu,
Gozbert sio msukuma ni mhaya alie kulia/ zaliwa mwanza.
Kuhusu uhalifu ni sawa sawa na wewe ukusanye nguo zako uzichoke moto au kubomoa nyumba yako mwenyewe/ sizani Kama ni kosa kwa mtu kuharibu/ destroy/ disposal kitu chake 😊😅
 
Hawa waafrika wengi ni watu wa kuishi kwa judura sana.

Yani hawajui kuwa kitendo cha kutofunguliwa geti inawezekana daraja halijakamilika/halijaandaliwa kwa matumizi, na huko wanakokimbilia wanaweza kusababisha ajali kubwa.
Taifa lina mang'ombe wengi sana....huyu lofa anakenua tu....hatari sana
 
Kama magari yanayotumika kwenye ujenzi yanapita kwenye hilo daraja dogo basi lina uzito wa kubeba hao watu na magari ya abiria yasiyo na abiria ndani yake.Tatizo hapo ni umbali maana ni almost 3.2 km hivyo kwa kutembea ni parefu sana
 
Mkuu,
Gozbert sio msukuma ni mhaya alie kulia/ zaliwa mwanza.
Kuhusu uhalifu ni sawa sawa na wewe ukusanye nguo zako uzichoke moto au kubomoa nyumba yako mwenyewe/ sizani Kama ni kosa kwa mtu kuharibu/ destroy/ disposal kitu chake 😊😅
"Msukuma" ni figure of speech tu😂

Ni kosa kubwa sana kuchoma kitu kama nyumba, mali yako nyingine. Hata tu kuanzisha moto. Adhabu yake ni hadi kifungo cha maisha. Usiposhitakiwa kwa arson utashitakiwa na watu wa mazingira. Maana kwenye gari kuna chemical na vitu vingine ambavyo haviruhusiwi kuwa disposed kwa kuchoma.
 
Mbona gozbert anadunda mtaani Ile ni mali yake akaipeleka nje ya mji kaiwasha moto 😊😅
 
Kama magari yanayotumika kwenye ujenzi yanapita kwenye hilo daraja dogo basi lina uzito wa kubeba hao watu na magari ya abiria yasiyo na abiria ndani yake.Tatizo hapo ni umbali maana ni almost 3.2 km hivyo kwa kutembea ni parefu sana
Tatizo si uzito unaoweza kubebwa na daraja.

Tatizo watu wanalazimisha kutumia daraja lililofungwa wakati hawajui kwa sababu gani limefungwa.
 
“Sio kweli kuwa wamevunja geti, nadhani ni ile furaha tu ya kuruhusiwa kupita ndio wakajikuta wengine wanasema hivyo, geti lipo vizuri na halina changamoto yoyote.”
Mbona wanacheka bila kipimo
 
Hawa waafrika wengi ni watu wa kuishi kwa kudura sana.

Yani hawajui kuwa kitendo cha kutofunguliwa geti inawezekana daraja halijakamilika/halijaandaliwa kwa matumizi, na huko wanakokimbilia wanaweza kusababisha ajali kubwa.
Kabisa... Nimeogopa sana..
 
Kama magari yanayotumika kwenye ujenzi yanapita kwenye hilo daraja dogo basi lina uzito wa kubeba hao watu na magari ya abiria yasiyo na abiria ndani yake.Tatizo hapo ni umbali maana ni almost 3.2 km hivyo kwa kutembea ni parefu sana
Kilometer 3 kutembea ni parefu? 🤣
 
Sasa walikuwa wanakimbilia wapi
 

BiLa kusahau rushwa ya 20,000/- kwa gari dogo kupita juu kwa juu
 
Hivi kweli mtu unasema hatari!!!! hilo daraja walisimama kwenye maji muda wote kulijenga?
 
Nimeshawahi kutembea mara nyingi tu km 20
Nimemshangaa jamaa kusema km 3 ni nyingi kutembea.

Nimeishi Simanjiro porini ili utoke kambini ufike sehemu yenye huduma za maduka n.k unatembea kilometer 30+ kwenda na kurudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…