dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
halaf mbona situmii nguvu kabisa, tena naamua nimwage baada ya mda ganindo madhara ya DPS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halaf mbona situmii nguvu kabisa, tena naamua nimwage baada ya mda ganindo madhara ya DPS
stori hizi , nyeto ni sawa na anaye gegeda tu, tofauti ni aina ya utelezikuna ED naskia ni ngumu
😄 😄 😄 😄 muongo huyo ni mkataa nyetohaya mambo hayana sana scientific research
sema kinachoniogopesha nilipita reddit nikaona mtu anadai alipata ED kwa miaka 8, alikuwa ana wank sana🤣
sema dah, huwezi kua na uhakika
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂mimi nazugaga najidai napapasa nyonyo kumbe siskii kitu
Halufu kata na ndizi mbivu au limau,ndimu!Hilo harufu lake sasa.
Dawa ya mwili kuwa sawa ni kula mlo kamili na mazoezi basi,
😅🤣🤣Acha kusingizia nyeto kesi ambazo haziihusu .?? Wewe ulikuwa huli vizuri .
Umesaliti Chama mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya kufanya masturbation kwa miaka zaidi ya sita mfulilizo, ikanifanya nipoteze uwezo wangu wa kiume.
Mwaka juzi ni kafunga ndoa, lakini bahati mbaya Kila napo shiriki tendo dakika mbili Chali. Aiseee hali hiyo ilinitesa sana japo pia nilikuwa naendelea na masturbation mana I was too addicted.
Mwezi wa tano mwaka huu nikasema sasa mimi na nyeto basi tena, Nika mwambia mke wangu Hali halisi wonderful enough mke wangu huyu Hana makuu mama wa watu.
Basi Toka mwezi wa tano nikaanza program ya jogging Kila jioni kwa dakika 30, usiku before kulala natumia garlic vipande sita, asubuh na KUNYWA chai ya tangawizi, usiku pia nafanya kegel exercise.
Wakuu Toka nimeanza hizi program natumia dakika 25+ kwa goli la kwanza, na bado na Kuwa na uwezo wa kusimama tena.
Acha punyeto inauwa maisha yako
Mapema sana kutangaza ubingwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anadharau kitambi wakati mimba ni ya msimuNAKAZIA
Yeye ni kwamba amepumzika tu kwa muda atarudia nyeto kwa kasi ya ajubu mpaka atashangaa. Ni suala la muda tu anarudi kukwea mnazi tena
😅🤣🤣Umesaliti Chama mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani kusaliti chama kukojeUmesaliti Chama mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kegel exercise unayafanyajje mkuu kwa usahihiBaada ya kufanya masturbation kwa miaka zaidi ya sita mfulilizo, ikanifanya nipoteze uwezo wangu wa kiume.
Mwaka juzi ni kafunga ndoa, lakini bahati mbaya Kila napo shiriki tendo dakika mbili Chali. Aiseee hali hiyo ilinitesa sana japo pia nilikuwa naendelea na masturbation mana I was too addicted.
Mwezi wa tano mwaka huu nikasema sasa mimi na nyeto basi tena, Nika mwambia mke wangu Hali halisi wonderful enough mke wangu huyu Hana makuu mama wa watu.
Basi Toka mwezi wa tano nikaanza program ya jogging Kila jioni kwa dakika 30, usiku before kulala natumia garlic vipande sita, asubuh na KUNYWA chai ya tangawizi, usiku pia nafanya kegel exercise.
Wakuu Toka nimeanza hizi program natumia dakika 25+ kwa goli la kwanza, na bado na Kuwa na uwezo wa kusimama tena.
Acha punyeto inauwa maisha yako
We nae angalia YouTube itakusaidiaKegel exercise unayafanyajje mkuu kwa usahihi
Kwakwer huu ushauri wako sio mzuri wanaume wote mnaotumia Viagra mkumbuke mnazidi kushusha umahili wenu kadri ya siku Hadi siku utabaki kuijutiaUnatumia viagra.. kipindi utakapoacha kutumia kwa siku 2 3, utarejea kwenye hali yako
vitunguu swaumu vipande 6! alafu kila siku!!