Baada ya kuachana kwa miaka 4 anataka mahusiano yaendelee


huyo mkristo gani mjinga hivyo asiyejua haya nimakosa!
huu ukristo sijui tunautoa wapi kweli SI KILA ASEMAYE BWANA BWANA ATAUONA UFALME WA MUNGU!
 
Hakuna kitu kinachowaunganisha Boy friend na Girl friend, kwa hiyo huwa hawaachani, wanapoteana tu kwa muda halafu baadaye wanakutana na ngono kama kawa, mahawala kamwe hawaachani. Mwambie rafiki yako kama bado anampenda mshikaji ampelekee tu ile kitu iliyopo katikati ya mapaja yake.
 
huyu bwana itakua mkewe ana mimba so kashindwa kuvumilia akakumbuka kipolo alichokiacha so cku mkewe akijifungua atapigwa chini tena....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…