Nawashukuru sana wadau kwa michango yenu. Yaani mmechangia kwa hisia, na watu wanasema 'Sauti ya wengi ni sauti ya MUNGU'. Huyo Kijana ni kristo na kafunga ndoa ya kikristo na ana mtoto mmoja sasa na shosti wangu pia ni mkristo. Nafikiri kwa busara shosti wangu anatakiwa kukubali matokeo na kuendelea na maisha yake. Thank U all, be blessed!