Tetesi: Baada ya kuaga dunia kwa Bob Collymore, Kama wakenya sio wanafiki wamfanye Dada aliyekataliwa Vodacom Tz kuwa bosi mpya wa Safaricom

Rogo na Makaburi walikua wanaisema sana serikali ya Kenya kwa jinsi ilivyokua inawauwa waislamu wa Mombasa na pwani kwasababu ya MRC movement, na kisingizio cha vita dhidi ya terrorism
Bwahahaaa..we kumbe hta hujui kitu bro...unabwata tu..njoo pm nikuelimishe
 
Jamaa anataka kusema hao jamaa hawajahusika kuhamasisha vijana waingie al shabab..tena hadharani..duh!!!ccm ni janga la akili
 
Jamaa anataka kusema hao jamaa hawajahusika kuhamasisha vijana waingie al shabab..tena hadharani..duh!!!ccm ni janga la akili
Wajinga ninyi sana, ina maana ninyi hamna MAHAKAMA?, Mara ngapi Rogo alipelekwa mahakamani na akashinda baada ya kukosekana ushahidi?. Kwahiyo Kenya ni banana Republic inayoruhusu kuwapiga risasi watu wanaoshukiwa kufanya makosa?. Kumbe ndio sababu Jaguar akaropoka barabarini kwakujua kuwa Kenya hakuna sheria inayofuata sivyo?. Ninyi ni failed state.
 
Kwn waliopo jela wote wamekosa...leo nimeanza kuamini jamaa wa ccm ni zero...unajia kazi ya ma lawyer wewe...

Byda mmepeleka wangapi nynyi hko...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Anyway...tundu lissu naona kafanya makosa ndio akapigwa risasi za maana...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Kenya kuna Wakenya na Wakikuyu.

Kama Mulinge ni Mkikuyu anaweza kupata hiyo kazi ila kama ni Mkenya, siyo rahisi.

Ukabila Kenya una nguvu sana
 
Unaposema "small Vodacom" una maana gani?
Kila wakati kujitukuza tu. Vodacome,Safaricom na Vodafone ni watoto tu wa Vodafone(Vodaphone) Conglemarate,kampuni kubwa la UK na SA,thats all. Hakuna ukubwa wowote unaotaka kuuonuesha hapo.
 

Unadhani Safaricom na Vodacom vinalingana? Unamfahamu appointing authority wa management team kwa hizo kampuni mbili? Unadhani ni Wakenya, sio?

Only uninformed person will think along those lines. Guys, Safaricom na Vodacom zote ni subsidiaries za parent company Vodafone. Na ni kwenye group level ndipo recruitment za management team zinafanywa, sio Kenya.
 
Anyway...tundu lissu naona kafanya makosa ndio akapigwa risasi za maana...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimekutajia watu nane waliouliwa na Serikali ya Kenya, umeshindwa kutaja mtanzania hata mmoja aliyeuliwa na serikali ya Tanzania, umebaki kuzunguka na Lissu ambaye yupo hai

Tanzania is not a banana republic like you, ninyi level yenu ni Somalia na South Sudan, askari mwenye bunduki anaweza kuua MTU yeyote na hakuna kinachofanyika.
 
Unaposema "small Vodacom" una maana gani?
Kila wakati kujitukuza tu. Vodacome,Safaricom na Vodafone ni watoto tu wa Vodafone(Vodaphone) Conglemarate,kampuni kubwa la UK na SA,thats all. Hakuna ukubwa wowote unaotaka kuuonuesha hapo.

Safaricom is majority owned by Kenyans at the Nairobi Stock Exchange, and GOK.
 
Kenya kuna Wakenya na Wakikuyu.

Kama Mulinge ni Mkikuyu anaweza kupata hiyo kazi ila kama ni Mkenya, siyo rahisi.

Ukabila Kenya una nguvu sana

Collymore ni mkikuyu?
Kabla yake alikuwa Michael Joseph. Mkikuyu?

The second biggest company in Kenya, KCB, CEO wake sio mkikuyu pia.
 

Kelele za chura.
Tanzania, Sudan, South Sudan... the few remaining countries in Africa with dictators.
 
Aaaaaweeeee...wacha wewe...bwahaha...mtu anapigwa risasi katika ukumbi wa bunge...cctv hamna na mtu aliyeuliwa barabarani...ni ipi inaonyesha kuwa serikali ilihusika...
 
Even when Kenya had dictator Moi, it was peaceful.
Tanzania is where Kenya was in the 80s. No doubt.
Kenya kulikuwa na amani tele...maziwa watu walibugia kila kona...kwaida ya ma dictator
 
Huyo mwanadada si alisomea taaluma ya kutandika kitanda?
 
Yaani watanzania wanatuchukia hivi mpaka kutetea alshabab walio wauua wakenya wengi... Aisee...
Egypt ilikua chini ya dictator na watu wengi waliuliwa huko lakini bado kubali raia wa Egypt kama ceo vodacom. Kila Mkenya anajua tuu wazi wivu na vitu mbaya tunafanyiwa na watu tunaita majirani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…