Baada ya kuambulia mashabiki watatu Yanga sc waamua kuweka kiingilio bure ili wajaze uwanja kama simba sc wanavyojazaga.

Baada ya kuambulia mashabiki watatu Yanga sc waamua kuweka kiingilio bure ili wajaze uwanja kama simba sc wanavyojazaga.

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Yanga sc kwa mtaji wamashabiki walionao kuweka kiingilio bure siyo kwa kupenda bali wanaogopa fedhea.

Tatizo kubwa la yanga wanatamani kuwa kama simba hasa michuano ya kimataifa yaani caf champions league.

Waneweka kiingilio bure kwa lengo la kuonyesha kuwa, na wao wanaweza kuujaza uwanja lakini nakuambia licha ya kuweka kiingilio bure uwanja hauta jaa na kufungwa mtafungwa.
 
Timu ina Miaka 88 haijawahi kushinda mechi ya Makundi ya Klabu Bingwa. Utopolo hamnazo kabisa. Ngoja tuone kama wataondoa gundu.

Rage mnamcheleweshea kumjengea mnara wake.
Makundi yameanza 1998 hiyo miaka 88 inatokea wapi ewe mjukuu wa ISMAIL ADEN?
 
Yanga sc kwa mtaji wamashabiki walionao kuweka kiingilio bure siyo kwa kupenda bali wanaogopa fedhea.

Tatizo kubwa la yanga wanatamani kuwa kama simba hasa michuano ya kimataifa yaani caf champions league.

Waneweka kiingilio bure kwa lengo la kuonyesha kuwa, na wao wanaweza kuujaza uwanja lakini nakuambia licha ya kuweka kiingilio bure uwanja hauta jaa na kufungwa mtafungwa.
Hujui ukiongeacho wewe, takwimu za bodi ya ligi Kwa kila msimu inaonesha mechi za Yanga ni mechi zenye washabiki wengi kuliko timu yoyote. Hakuna msimu Simba kaizidi Yanga. Na mwaka huu ndiyo kabisa tutawazidi zaidi ya nusu jinsi mlivyoisusa timu yenu.
 
Yanga sc kwa mtaji wamashabiki walionao kuweka kiingilio bure siyo kwa kupenda bali wanaogopa fedhea.

Tatizo kubwa la yanga wanatamani kuwa kama simba hasa michuano ya kimataifa yaani caf champions league.

Waneweka kiingilio bure kwa lengo la kuonyesha kuwa, na wao wanaweza kuujaza uwanja lakini nakuambia licha ya kuweka kiingilio bure uwanja hauta jaa na kufungwa mtafungwa.
yanga inatamani kuwa kama simba kwa kipi???
 
Yanga sc kwa mtaji wamashabiki walionao kuweka kiingilio bure siyo kwa kupenda bali wanaogopa fedhea.

Tatizo kubwa la yanga wanatamani kuwa kama simba hasa michuano ya kimataifa yaani caf champions league.

Waneweka kiingilio bure kwa lengo la kuonyesha kuwa, na wao wanaweza kuujaza uwanja lakini nakuambia licha ya kuweka kiingilio bure uwanja hauta jaa na kufungwa mtafungwa.
Umeshamaliza kuongea, au bado unaendelea? Ongea maneno yote, ili nafsi yako itulie.
 
Kuifanya Tz kuingiza timu nne kwenye mashindano ya CAF tayari ni mafanikio . Mkuu hata hilo huoni?
Tena mara ya kwanza Simba inafanikisha kuzipeleka timu 4 kimataifa kwa kukusanya point za kutosha tu, tuliibeba Yanga kimataifa!!!!
 
Yanga sc kwa mtaji wamashabiki walionao kuweka kiingilio bure siyo kwa kupenda bali wanaogopa fedhea.

Tatizo kubwa la yanga wanatamani kuwa kama simba hasa michuano ya kimataifa yaani caf champions league.

Waneweka kiingilio bure kwa lengo la kuonyesha kuwa, na wao wanaweza kuujaza uwanja lakini nakuambia licha ya kuweka kiingilio bure uwanja hauta jaa na kufungwa mtafungwa.
Wacha umbea !

Yanga walisafiri na mashabiki zao kwenda DRC, Rwanda, South Africa na sehemu hizo zote walijilipia wenyewe ispokuwa Rwanda ndipo Rais alipotia offer ile. Yote hayo yalipokuwa yanafanyika hakukuwa niyo ya Simba kutambuliwa na Super Cup (siyo Champions League) ambayo ilikuwa ni zawadi kwa ajili ya maandaliazi mazuri ya ufunguzi wa mashindano siyo kuwa walihesabiwa mashabiki wa Simba wakapewa tuzo!

Kila mashindano Ali Kamwe amekuwa anafanya matamasha ya kuhamsisha yakiambatana na kutoa misaada siku wakati wa mashindano karibu yote tangu mwaka jana; Ahmed Ali naye sasa ameiga kutoka kwenye uhamsishaji wa Yanga kwa kwenda Mbagala; nasikia aliponea nuchupuchupu kupigwa mawe
 
Back
Top Bottom