Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi

Hongera sana mkuu Eberhard nimefuatilia post zote Mungu akupe zaid na usiache kutupa updates zaid
 
Last edited by a moderator:
Jaman naomba kuulza mitiki ndio mimea gani na inafaida gani, kazi zake hali kadhalika, nashukuru kwa ushirikiano wenu
 
naomba kuuliza. mabanda ya nguruwe ni muhimu kua na umeme? na mpk kuuzwa nguruwe mzima anakua na kilo kati ya ngap kwa kukadiria
siyo lazima kuwa na umeme. Mimi pia sina umeme.
 
Mimi nikupe pongezi kwa kufanya kazi yenye tija. mana hatua moja huanzisha nyingine, hapo utapata mawazo mapya ya kuimprove project yako. Ila sina uzoefu sana na faida ya kufuga kuku wa asili ambao si "chotara". kwakuwa hawa chotara wanakuwa na uzito mzuri wakishafikisha miezi sita na kuanza kutaga pia.
 
Kaka Eberhard hongera kwa hatua ulizopiga mpka sasa,,,, Mungu akupe nguvu na akili ya kuweza kupambana na challenges za apa na pale,,,
Pili nilikuwa naomba ur dials maana nilikuwa nataka kujifunza meng kutoka kwako
 
Kaka Eberhard hongera kwa hatua ulizopiga mpka sasa,,,, Mungu akupe nguvu na akili ya kuweza kupambana na challenges za apa na pale,,,
Pili nilikuwa naomba ur dials maana nilikuwa nataka kujifunza meng kutoka kwako
Asante. Tuko pamoja.
 
Kaka Eberhard nami kama kijana mwenzio nikupe hongera sana kwa mafanikio hayo uliyopiga umeniispire sana na hichi ulichokifanya nami nashawishika kuondoa uoga kwenye malengo yangu kwakua na mimi nina tagert ya kufanya biashara ya kilimo but naomba nikuulize kitu mtaji imekua ni tatizo kwa vijana wengi hapa tz kujitosa katika biashara je wewe mwenzetu mtaji wa kuanzisha hii project uliutoa wapi mana kwa mtizamo wa haraka haraka si chini ya milioni kadhaaa zimeshatumika hadi hapo!! Ni hayo tu mkuu, asante
 
Last edited by a moderator:
Mtaji Niliutoa kichwani. Brain yangu ni super brain. Mimi naamini katika mawazo. Huwa naanza kuwaza kisha mawazo yangu ndiyo yananiletea pesa. Kitu kikubwa ni kutokuwa na haraka. Nenda taratibu. Ukishakuwa na wazo na kulioganize sawasawa ndipo anza kufikiria pesa. Katika kufikiria unaweza kupata point ya kuanza nayo. Katika nchi hii kuna maeneo ambayo unaweza kupata hekari ya ardhi kwa sh 50,000/- Tafuta mazingira yanayofanana na na mtaji wako siyo vyema kung`ang'ania kufuga kuku masaki wakati kipato chako hakikuwezeshi kuanzisha ufugani mkubwa pale. Tafuta mazingira sahihi.
 

Nashukuru sana mkuu Eberhard kwa kuweza kupata muda wa kujibu swali langu kwani najua unashughuli nyingi kwa sasa lakini nilikua na swali la nyongeza kidogo, mkuu kwenye majibu yako hapo kwenye swali la msingi haujanifafanulia clearly je, mtaji ulikopa benki? Ulidudunduliza kidogo kidogo au uliazima pesa kwa ndugu jamaa na marafiki? Naomba tusaidie hapo mana wengine tumekwama hapo japo tunamawazo mazuri sana!! Asante
 
Last edited by a moderator:
Genius., My ways are not ua ways. We may not give you fish but we shall tell you how to catch fish from the river. I shall never tell u where I got money till I know you physically. We do not give you notes but we shall teach you how to make your own good notes. It is my hope that you are going to make best notes. We believe that u are good so we advise you so ua becoming better.
 
Mi nadhani huu Uzi ungeendelea coz umetusaidia wengi Jamani kubadilisha fikra zetu..hongera sana Mkuu Eberhard..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…