Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi

Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi

very useful information. asante, nitakuja huko na kutembelea project yako. umenifurahisha kwa kukubali kuanzia chini. wengi wetu tunashindwa biashara kwa sababu tuanataka kuanzia alipo bakhresa!
lipo Kwa makunganya. Ukiwa unaenda Dodoma ni kijiji kinachofata baada ya pale mizani. Kituo Cha kushukia kinaitwa stop. Pale utachukua pikipiki kueelekea sehemu inayoi majichumvu. Ni jirani sana na kiwanda Cha nyama.
 
hABARI NJEMA KAMA NENO LA BWANA NIPO JIRANI NA KAHANA NA KAHEKA KAMOJA LAZIMA NIFANYE HII MAMBO
 
Naona mabanda yako na uwazi kati ya mbao na mbao.Je hakuna wanyama waharibifu? kwa kuku.
Hakuna wanyama waharibifu.kuna makazi ya watu jiran na ukienda mbele sana unatoboza Morogoro mjini. Kimsingi pande zote zipo safi kiasi Cha wanyama wakali kutoweza kukaa sehemu hii. Ni visungura na nyasi kidogo tu.
 
mkuu hongera sana na kaza mwenda utafanikiwa tu, pia usihofu maana changamoto kwenye ujasiriamali hazikosi kuwepo

Baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa kiubunifu wa hali ya juu ndiyo utakuwa mkomnozi wangu kiuchumi. Nimeanza Kwa kununua shamba lenye ukubwa wa hekari 11 nje kidogo ya mji wa Morogoro ( Kwamakunganya-majichumvu). Imenigharimu 1.3 m kununua eneo hili lote.. Nililipia taratibu hata sasa bado nadaiwa sh 60 elfu nayotegemea kuimalizia after 2 weeks. Sehemu kubwa ya shamba langu nimepanda mitiki.

Baada ya kufatilia humu nikagundua kuwa mradi wa nguruwe na kuku unalipa sana. Kwa kuwa imani yangu inaniruhusu nikaona ni laziima niifanya hii yakiti moto pia. Hivyo nikaanza maandalizi ya kufuga nguruwe na kuku pia. Hivyo nilianza Kwa kuanzia kuchimba tangi la maji chini. Ilimigharimu Kama mwezi miwili tangu langu la maji kukamilika. Tangi langu la maji Lina uweze wa kujaza maji lita 30 elfu.

Baada ya hapo nikaanza maandalizi ya ujenzi wa banda la nguruwe na la kuku. Baada ya mabanda yangu kukamiliaka nilisafiri hadi singida kufata kuku. Bei ya kuku singida inalidhisha sana. Ili upate kuku wa bei rais inakupasa uende kijijini ambako kuu huuzwa cheap. Nimeanza na kuku 31. Kwa upande wa nguruwe nimeanza na 12 ambao niliwanunua wakiwa na mwezi 5. Pia nimeweka kanga na mbuzi Kwa ushauri wa marafiki.

Ninashukuru Mungu ninaanza kuwaona kuku wameanza kutaga Kwa fujo. Pia ninamshukuru Mungu Kwa kuwa ninaona ninaanza kuwa muajili pole pole. Pia ninamshukuru Mungu ninaona mawazo ya kunyanyasika( kuajiliwa) yanaanza kupotea taratibu.
Kupitia uzi wangu huu nitakuwa nawataarifu maendeleo ya mifugo yangu Kama sehemu ya kuwatia moyo wajasiriamali wenzangu. Morogoro ni sehemu ambayo wajasiriamali mnaweza kutimiza ndoto zenu Kwa kuwa Ardhi inapatikana Kwa bei nafuu na ni Karibu na Dar kwenye soko kubwa la bidhaa mbalimbali.
 
mkuu hongera sana na kaza mwenda utafanikiwa tu, pia usihofu maana changamoto kwenye ujasiriamali hazikosi kuwepo
Hakika mkuu! Changamoto ni nyingi sana. Katika ujasiriamali tunajifunza zaidi Kwa makosa kuliko mafanikio. Nakumbuka siku ile niliyonunua mbuzi dume aliyehasiwa bila kujua kutokana na kutokuwa na uzoefu wa ufugaji wa wanyama.
 
mkuu hongera sana na kaza mwenda utafanikiwa tu, pia usihofu maana changamoto kwenye ujasiriamali hazikosi kuwepo
Hakika mkuu! Changamoto ni nyingi sana. Katika ujasiriamali tunajifunza zaidi Kwa makosa kuliko mafanikio. Nakumbuka siku ile niliyonunua mbuzi dume aliyehasiwa bila kujua kutokana na kutokuwa na useful Katika kufuga wanyama..
 
baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa kiubunifu wa hali ya juu ndiyo utakuwa mkomnozi wangu kiuchumi. Nimeanza kwa kununua shamba lenye ukubwa wa hekari 11 nje kidogo ya mji wa morogoro ( kwamakunganya-majichumvu). Imenigharimu 1.3 m kununua eneo hili lote.. Nililipia taratibu hata sasa bado nadaiwa sh 60 elfu nayotegemea kuimalizia after 2 weeks. Sehemu kubwa ya shamba langu nimepanda mitiki.

Baada ya kufatilia humu nikagundua kuwa mradi wa nguruwe na kuku unalipa sana. Kwa kuwa imani yangu inaniruhusu nikaona ni laziima niifanya hii yakiti moto pia. Hivyo nikaanza maandalizi ya kufuga nguruwe na kuku pia. Hivyo nilianza kwa kuanzia kuchimba tangi la maji chini. Ilimigharimu kama mwezi miwili tangu langu la maji kukamilika. Tangi langu la maji lina uweze wa kujaza maji lita 30 elfu.

Baada ya hapo nikaanza maandalizi ya ujenzi wa banda la nguruwe na la kuku. Baada ya mabanda yangu kukamiliaka nilisafiri hadi singida kufata kuku. Bei ya kuku singida inalidhisha sana. Ili upate kuku wa bei rais inakupasa uende kijijini ambako kuu huuzwa cheap. Nimeanza na kuku 31. Kwa upande wa nguruwe nimeanza na 12 ambao niliwanunua wakiwa na mwezi 5. Pia nimeweka kanga na mbuzi kwa ushauri wa marafiki.

Ninashukuru mungu ninaanza kuwaona kuku wameanza kutaga kwa fujo. Pia ninamshukuru mungu kwa kuwa ninaona ninaanza kuwa muajili pole pole. Pia ninamshukuru mungu ninaona mawazo ya kunyanyasika( kuajiliwa) yanaanza kupotea taratibu.
Kupitia uzi wangu huu nitakuwa nawataarifu maendeleo ya mifugo yangu kama sehemu ya kuwatia moyo wajasiriamali wenzangu. Morogoro ni sehemu ambayo wajasiriamali mnaweza kutimiza ndoto zenu kwa kuwa ardhi inapatikana kwa bei nafuu na ni karibu na dar kwenye soko kubwa la bidhaa mbalimbali.
mwanzo mzuri sana kaka, naamini huu mradi utakupeleka mbele sana kimaendeleo kuliko hizi ajira za mkoloni.
 
Hongera sana sana na Mungu akutie nguvu maana ukiishavaa kitanzi cha ajira kujivua kazi sana. Pia kuanza na miti ya muda mrefu ni investment nzuri ya kukusaidia baadae. Hongera sana ni mfano wa kuigwa
 
Baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa kiubunifu wa hali ya juu ndiyo utakuwa mkomnozi wangu kiuchumi. Nimeanza Kwa kununua shamba lenye ukubwa wa hekari 11 nje kidogo ya mji wa Morogoro ( Kwamakunganya-majichumvu). Imenigharimu 1.3 m kununua eneo hili lote.. Nililipia taratibu hata sasa bado nadaiwa sh 60 elfu nayotegemea kuimalizia after 2 weeks. Sehemu kubwa ya shamba langu nimepanda mitiki.

Baada ya kufatilia humu nikagundua kuwa mradi wa nguruwe na kuku unalipa sana. Kwa kuwa imani yangu inaniruhusu nikaona ni laziima niifanya hii yakiti moto pia. Hivyo nikaanza maandalizi ya kufuga nguruwe na kuku pia. Hivyo nilianza Kwa kuanzia kuchimba tangi la maji chini. Ilimigharimu Kama mwezi miwili tangu langu la maji kukamilika. Tangi langu la maji Lina uweze wa kujaza maji lita 30 elfu.

Baada ya hapo nikaanza maandalizi ya ujenzi wa banda la nguruwe na la kuku. Baada ya mabanda yangu kukamiliaka nilisafiri hadi singida kufata kuku. Bei ya kuku singida inalidhisha sana. Ili upate kuku wa bei rais inakupasa uende kijijini ambako kuu huuzwa cheap. Nimeanza na kuku 31. Kwa upande wa nguruwe nimeanza na 12 ambao niliwanunua wakiwa na mwezi 5. Pia nimeweka kanga na mbuzi Kwa ushauri wa marafiki.

Ninashukuru Mungu ninaanza kuwaona kuku wameanza kutaga Kwa fujo. Pia ninamshukuru Mungu Kwa kuwa ninaona ninaanza kuwa muajili pole pole. Pia ninamshukuru Mungu ninaona mawazo ya kunyanyasika( kuajiliwa) yanaanza kupotea taratibu.
Kupitia uzi wangu huu nitakuwa nawataarifu maendeleo ya mifugo yangu Kama sehemu ya kuwatia moyo wajasiriamali wenzangu. Morogoro ni sehemu ambayo wajasiriamali mnaweza kutimiza ndoto zenu Kwa kuwa Ardhi inapatikana Kwa bei nafuu na ni Karibu na Dar kwenye soko kubwa la bidhaa mbalimbali.

mkuu nimesikia mda mref kuhusiana na miti ya mitiki, naomba unieleweshe hiyo miti inakubali katika hali gani ya hewa pia miche au mbegu zake zinapatikanaje na kwa ghalama gani na soko la mbao au magogo yake liko je?. Mi nipo kasulu kigoma
 
mkuu nimesikia mda mref kuhusiana na miti ya mitiki, naomba unieleweshe hiyo miti inakubali katika hali gani ya hewa pia miche au mbegu zake zinapatikanaje na kwa ghalama gani na soko la mbao au magogo yake liko je?. Mi nipo kasulu kigoma
Mkuu kuhusu hali ya hewa ambayo mitiki inakubali hilo siwezi nikakupa jibu sahihi sana. Ila nifaamuvyo mimi ni kuwa mitiki inakubali sana sehemu za baridi. Hata sehemu za joto Kama Morogoro inakubali pia. Dar na pwani mitiki inaweza kukubari vizuri sana.Ukame ule Kama wa singida, Dodoma na shinyanga siyo mzuri Kwa maendeleo ya mitiki kwani itakufa Kwa kukosa maji. Haipendi sana sehemu yenye unyevu wa kupitiliza. Hapa morogoro Miti ya mitiki hulimwa sana mahenge , kilombero mvomero- hasa turiani na Iringa wameanza kulima Kwa kasi.

Soko la mitiki like wazi kabisa. Heka moja unaweza kutengeneza hadi 120 millions Tsh. Pia ukiwa na heka mbili za mitiki zenye umri wa miaka miwili unaweza ukaenda bank na kuvuta mkopo hadi sh 50 milioni. Ni akiba nzuri uzeeni( pension yako). Mimi ,nimejipangia kila mwaka kupanda si chini ya hekari tano za mitiki.

Naomba wanaofahamu zaidi mazingira na faida ya mitiki wanisaidie Katika kumwelimisha huyu ndugu.

Mimi naweza nikakuuzia miche ya mitiki Kwa sh 300 Kwa mche.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    86.5 KB · Views: 501
  • image.jpg
    image.jpg
    79.2 KB · Views: 474
Hongera sana sana na Mungu akutie nguvu maana ukiishavaa kitanzi cha ajira kujivua kazi sana. Pia kuanza na miti ya muda mrefu ni investment nzuri ya kukusaidia baadae. Hongera sana ni mfano wa kuigwa

Asante mama Joe. Maombi yako Kwa Mora ni muhimu pia.
 
Jamani watu wengi wamenipm Kwa ushauri na maeneo Morogoro. Kwa leo na kesho ninapatikana hapa dar maeneo ya mabibo hostel(kituo). Mahal I : lunch time hotel. Tunaweza tukashauriana mambo mengi. Nawatakia jioni njema..
 
Great move kaka!!hongera sana wanasema ujasirimali ni kama dini ukishaamini basi utafanikiwa haijalishii mara ngapi utaanguka.Na kwa nchi yetu tukiweza kupata watu wenye ujasiri kama huu hakika tutakuwambali.Jamii inaleta tafsiri mbaya kwamtu kuwa msomi ni kuwa hatakiwi kufanya shughuli za uzalishajikama hizo anatakiwa kuwa kwenye ofisi ya mtu.Nadhani wachina ni mfano mzuri wa kuigwa wana mitaji mikubwa lakini unakuta wanasukuma mikokoteni ya mizigo yao kkoo.Lakini kitanzania ukishapata diploma tu weweni kutoa maelekezo na kusubiri mwisho wa mwezi.Hongera sana.
 
Ahsante mkuu. Maana nimesoma mpaka nikakaribia kumaliza madarasa yote lakini sikuona dalili za kutoka hasa hasa. Nimegundua ukishasoma inahitaji uwe na vitu vinavyoitwa connection, ufitina, kujikombakomba ndipo ule. Hata hivyo yote haya hayatoi mafanikio. Kwa mtu unayetaka kuwa mcha Mungu bila kuishi maisha ya kitapelitapeli Kama maaskari wa barabarani maisa yako yote ni bora kukimbilia kwenye ujasiriamali. Maana ukiajiriwa hata Kama iweje ndiyo lazima useme ndiyo mkuu, hivyo hivyo mkuu, Mimi sina Cha kuongeza na sawasawa ujue watoto hawataenda shule nzuri.

Hongera mkuu kwa kulianzisha! Maneno yako hapo juu yananiuma sana jinsi tuliokwenye ajira tunavyoona manyanyaso! Mshahara wa kupimiwa hata ujitumeje? Baadhi ya kazi nyingi hakuna uhusiano kati ya kipato na kuchapa kazi! Hizi ajira zetu nyingine unakuta mvivu anatesa wachapakazi wanaadhirika! Kubebana, na ubaguzi wa kila aina, ukipishana kauli na boss kazini jua imekula kwako! Wanaonufaika ni wale wanaojua kujipendekeza na kupeleka majungu kwa wakubwa. Wakati mwingine ukiwa mchapakazi unajengewa chuki wakidai unakihelehele! Ukileta kutaka kutumia utaalamu sana baadhi ya maeneo ya kazi unaonekana unaleta usomi unabigwa benchi. Eneo pekee ambako mtu unafursa kutumia vipawa vyako, utaalamu wako na yote ulivyojaaliwa na Mola kwa manufaa yako ni kwenye ajira binafsi! Uwoga wa baadhi yetu ndiyo kaburi letu, nimejiwekea kipindi cha mpito miaka 3 nikamilishe nyenzo za kuanzia maana jamani mikakati ni muhimu pia! Hata Robert Kiyosaki alijiandaa kabla hajatimua! Naamini hata Chasha alijiandaa pia. Mkuu Chasha nasema nitachoma MELI! Liwalo na liwe!!
 
Back
Top Bottom