lipo Kwa makunganya. Ukiwa unaenda Dodoma ni kijiji kinachofata baada ya pale mizani. Kituo Cha kushukia kinaitwa stop. Pale utachukua pikipiki kueelekea sehemu inayoi majichumvu. Ni jirani sana na kiwanda Cha nyama.
Yeye nataka enda jifunza!??
Ninamshukuru yeye aliye juu kunifumbua akili .
Hakuna wanyama waharibifu.kuna makazi ya watu jiran na ukienda mbele sana unatoboza Morogoro mjini. Kimsingi pande zote zipo safi kiasi Cha wanyama wakali kutoweza kukaa sehemu hii. Ni visungura na nyasi kidogo tu.Naona mabanda yako na uwazi kati ya mbao na mbao.Je hakuna wanyama waharibifu? kwa kuku.
Baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa kiubunifu wa hali ya juu ndiyo utakuwa mkomnozi wangu kiuchumi. Nimeanza Kwa kununua shamba lenye ukubwa wa hekari 11 nje kidogo ya mji wa Morogoro ( Kwamakunganya-majichumvu). Imenigharimu 1.3 m kununua eneo hili lote.. Nililipia taratibu hata sasa bado nadaiwa sh 60 elfu nayotegemea kuimalizia after 2 weeks. Sehemu kubwa ya shamba langu nimepanda mitiki.
Baada ya kufatilia humu nikagundua kuwa mradi wa nguruwe na kuku unalipa sana. Kwa kuwa imani yangu inaniruhusu nikaona ni laziima niifanya hii yakiti moto pia. Hivyo nikaanza maandalizi ya kufuga nguruwe na kuku pia. Hivyo nilianza Kwa kuanzia kuchimba tangi la maji chini. Ilimigharimu Kama mwezi miwili tangu langu la maji kukamilika. Tangi langu la maji Lina uweze wa kujaza maji lita 30 elfu.
Baada ya hapo nikaanza maandalizi ya ujenzi wa banda la nguruwe na la kuku. Baada ya mabanda yangu kukamiliaka nilisafiri hadi singida kufata kuku. Bei ya kuku singida inalidhisha sana. Ili upate kuku wa bei rais inakupasa uende kijijini ambako kuu huuzwa cheap. Nimeanza na kuku 31. Kwa upande wa nguruwe nimeanza na 12 ambao niliwanunua wakiwa na mwezi 5. Pia nimeweka kanga na mbuzi Kwa ushauri wa marafiki.
Ninashukuru Mungu ninaanza kuwaona kuku wameanza kutaga Kwa fujo. Pia ninamshukuru Mungu Kwa kuwa ninaona ninaanza kuwa muajili pole pole. Pia ninamshukuru Mungu ninaona mawazo ya kunyanyasika( kuajiliwa) yanaanza kupotea taratibu.
Kupitia uzi wangu huu nitakuwa nawataarifu maendeleo ya mifugo yangu Kama sehemu ya kuwatia moyo wajasiriamali wenzangu. Morogoro ni sehemu ambayo wajasiriamali mnaweza kutimiza ndoto zenu Kwa kuwa Ardhi inapatikana Kwa bei nafuu na ni Karibu na Dar kwenye soko kubwa la bidhaa mbalimbali.
Hakika mkuu! Changamoto ni nyingi sana. Katika ujasiriamali tunajifunza zaidi Kwa makosa kuliko mafanikio. Nakumbuka siku ile niliyonunua mbuzi dume aliyehasiwa bila kujua kutokana na kutokuwa na uzoefu wa ufugaji wa wanyama.mkuu hongera sana na kaza mwenda utafanikiwa tu, pia usihofu maana changamoto kwenye ujasiriamali hazikosi kuwepo
Hakika mkuu! Changamoto ni nyingi sana. Katika ujasiriamali tunajifunza zaidi Kwa makosa kuliko mafanikio. Nakumbuka siku ile niliyonunua mbuzi dume aliyehasiwa bila kujua kutokana na kutokuwa na useful Katika kufuga wanyama..mkuu hongera sana na kaza mwenda utafanikiwa tu, pia usihofu maana changamoto kwenye ujasiriamali hazikosi kuwepo
mwanzo mzuri sana kaka, naamini huu mradi utakupeleka mbele sana kimaendeleo kuliko hizi ajira za mkoloni.baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa kiubunifu wa hali ya juu ndiyo utakuwa mkomnozi wangu kiuchumi. Nimeanza kwa kununua shamba lenye ukubwa wa hekari 11 nje kidogo ya mji wa morogoro ( kwamakunganya-majichumvu). Imenigharimu 1.3 m kununua eneo hili lote.. Nililipia taratibu hata sasa bado nadaiwa sh 60 elfu nayotegemea kuimalizia after 2 weeks. Sehemu kubwa ya shamba langu nimepanda mitiki.
Baada ya kufatilia humu nikagundua kuwa mradi wa nguruwe na kuku unalipa sana. Kwa kuwa imani yangu inaniruhusu nikaona ni laziima niifanya hii yakiti moto pia. Hivyo nikaanza maandalizi ya kufuga nguruwe na kuku pia. Hivyo nilianza kwa kuanzia kuchimba tangi la maji chini. Ilimigharimu kama mwezi miwili tangu langu la maji kukamilika. Tangi langu la maji lina uweze wa kujaza maji lita 30 elfu.
Baada ya hapo nikaanza maandalizi ya ujenzi wa banda la nguruwe na la kuku. Baada ya mabanda yangu kukamiliaka nilisafiri hadi singida kufata kuku. Bei ya kuku singida inalidhisha sana. Ili upate kuku wa bei rais inakupasa uende kijijini ambako kuu huuzwa cheap. Nimeanza na kuku 31. Kwa upande wa nguruwe nimeanza na 12 ambao niliwanunua wakiwa na mwezi 5. Pia nimeweka kanga na mbuzi kwa ushauri wa marafiki.
Ninashukuru mungu ninaanza kuwaona kuku wameanza kutaga kwa fujo. Pia ninamshukuru mungu kwa kuwa ninaona ninaanza kuwa muajili pole pole. Pia ninamshukuru mungu ninaona mawazo ya kunyanyasika( kuajiliwa) yanaanza kupotea taratibu.
Kupitia uzi wangu huu nitakuwa nawataarifu maendeleo ya mifugo yangu kama sehemu ya kuwatia moyo wajasiriamali wenzangu. Morogoro ni sehemu ambayo wajasiriamali mnaweza kutimiza ndoto zenu kwa kuwa ardhi inapatikana kwa bei nafuu na ni karibu na dar kwenye soko kubwa la bidhaa mbalimbali.
Kwa msaada wa mwenyezi Mungu mkuu.mwanzo mzuri sana kaka, naamini huu mradi utakupeleka mbele sana kimaendeleo kuliko hizi ajira za mkoloni.
Baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa kiubunifu wa hali ya juu ndiyo utakuwa mkomnozi wangu kiuchumi. Nimeanza Kwa kununua shamba lenye ukubwa wa hekari 11 nje kidogo ya mji wa Morogoro ( Kwamakunganya-majichumvu). Imenigharimu 1.3 m kununua eneo hili lote.. Nililipia taratibu hata sasa bado nadaiwa sh 60 elfu nayotegemea kuimalizia after 2 weeks. Sehemu kubwa ya shamba langu nimepanda mitiki.
Baada ya kufatilia humu nikagundua kuwa mradi wa nguruwe na kuku unalipa sana. Kwa kuwa imani yangu inaniruhusu nikaona ni laziima niifanya hii yakiti moto pia. Hivyo nikaanza maandalizi ya kufuga nguruwe na kuku pia. Hivyo nilianza Kwa kuanzia kuchimba tangi la maji chini. Ilimigharimu Kama mwezi miwili tangu langu la maji kukamilika. Tangi langu la maji Lina uweze wa kujaza maji lita 30 elfu.
Baada ya hapo nikaanza maandalizi ya ujenzi wa banda la nguruwe na la kuku. Baada ya mabanda yangu kukamiliaka nilisafiri hadi singida kufata kuku. Bei ya kuku singida inalidhisha sana. Ili upate kuku wa bei rais inakupasa uende kijijini ambako kuu huuzwa cheap. Nimeanza na kuku 31. Kwa upande wa nguruwe nimeanza na 12 ambao niliwanunua wakiwa na mwezi 5. Pia nimeweka kanga na mbuzi Kwa ushauri wa marafiki.
Ninashukuru Mungu ninaanza kuwaona kuku wameanza kutaga Kwa fujo. Pia ninamshukuru Mungu Kwa kuwa ninaona ninaanza kuwa muajili pole pole. Pia ninamshukuru Mungu ninaona mawazo ya kunyanyasika( kuajiliwa) yanaanza kupotea taratibu.
Kupitia uzi wangu huu nitakuwa nawataarifu maendeleo ya mifugo yangu Kama sehemu ya kuwatia moyo wajasiriamali wenzangu. Morogoro ni sehemu ambayo wajasiriamali mnaweza kutimiza ndoto zenu Kwa kuwa Ardhi inapatikana Kwa bei nafuu na ni Karibu na Dar kwenye soko kubwa la bidhaa mbalimbali.
Mkuu kuhusu hali ya hewa ambayo mitiki inakubali hilo siwezi nikakupa jibu sahihi sana. Ila nifaamuvyo mimi ni kuwa mitiki inakubali sana sehemu za baridi. Hata sehemu za joto Kama Morogoro inakubali pia. Dar na pwani mitiki inaweza kukubari vizuri sana.Ukame ule Kama wa singida, Dodoma na shinyanga siyo mzuri Kwa maendeleo ya mitiki kwani itakufa Kwa kukosa maji. Haipendi sana sehemu yenye unyevu wa kupitiliza. Hapa morogoro Miti ya mitiki hulimwa sana mahenge , kilombero mvomero- hasa turiani na Iringa wameanza kulima Kwa kasi.mkuu nimesikia mda mref kuhusiana na miti ya mitiki, naomba unieleweshe hiyo miti inakubali katika hali gani ya hewa pia miche au mbegu zake zinapatikanaje na kwa ghalama gani na soko la mbao au magogo yake liko je?. Mi nipo kasulu kigoma
Hongera sana sana na Mungu akutie nguvu maana ukiishavaa kitanzi cha ajira kujivua kazi sana. Pia kuanza na miti ya muda mrefu ni investment nzuri ya kukusaidia baadae. Hongera sana ni mfano wa kuigwa
Asante mama Joe. Maombi yako Kwa Mora ni muhimu pia.
Ahsante mkuu. Maana nimesoma mpaka nikakaribia kumaliza madarasa yote lakini sikuona dalili za kutoka hasa hasa. Nimegundua ukishasoma inahitaji uwe na vitu vinavyoitwa connection, ufitina, kujikombakomba ndipo ule. Hata hivyo yote haya hayatoi mafanikio. Kwa mtu unayetaka kuwa mcha Mungu bila kuishi maisha ya kitapelitapeli Kama maaskari wa barabarani maisa yako yote ni bora kukimbilia kwenye ujasiriamali. Maana ukiajiriwa hata Kama iweje ndiyo lazima useme ndiyo mkuu, hivyo hivyo mkuu, Mimi sina Cha kuongeza na sawasawa ujue watoto hawataenda shule nzuri.