utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,813
Amuulize ole medeye kwanini alichungulia uchagani na kutoka wima wima kabla hata hajakaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwako ni ujinga kwa sabb unapenda habari zinazokufurahisha tuMbona unatokwa povu kuandika ujinga humu?
Kweli Mama Bupe wewe kiboko, nakuaminia sana kwa uwezo wako wa umbea hapa JF, hongera sana Mama Bupe kwani kiwango chako cha kutengeneza umbea ni cha kipekee!Hii si siri tena.
NCCR Mageuzi ni kama imeshakufa Kigoma. Mtu pekee ambaye pengine alionekana anaweza kuwakilisha chama hicho kwenye Dunia ya Mawese Ni David Kafulila. Amefanya majaribio kadhaa kuhakikisha anarudi mjengoni lakini amekwama. Sasa analia, kutweta na kusaga meno. Ubunge kaukosa. Kilichobaki ni kulea mtoto.
Hata hivyo, taarifa za ndani zinasema kuwa Mwanasiasa huyo kijana na machachari ambaye alitikisa hapo nyuma kwenye sakata la ESCROW Akaunti kwa sasa anajiandaa kutimikia CHADEMA. Mazungumzo yanaendelea vema chini ya ushawishi wa Kada wa CHADEMA, Malisa Godlisten Joseph.
Taarifa zinasema kuwa Malisa na Kafulila ambaye alibatizwa jina la 'Tumbili' wameshakaa vikao kadhaa na kuna mambo wameafikiana. Hata hivyo kuna jambo moja ambalo ndilo kiini na masharti ya Kafulila kuhamia CHADEMA. Kama litafanikiwa basi njia nyeupe kuhamia Ufipa. Jambo hilo ni uwezeshwaji kifedha. Kafulila anataka alipwe kiasi cha shilingi milioni 5 kwa Mwezi kwa kipindi chote ambacho amekosa ubunge. Kwamba, kiasi hicho kitamsaidia kujenga utulivu wa kiakili na hivyo kupata fursa ya kutosha kukitumikia chama chake kipya, CHADEMA kwa masharti kuwa mkoa wa Kigoma uwe na wabunge wa CHADEMA angalau 2 kwenye uchaguzi Mkuu wa 2020.
Je masharti hayo CHADEMA watatekeleza? Na je kama watatekeleza, Kafulila ataweza kupambana na CCM na ACT ambao wameshaweka mizizi kwenye mkoa huo? Tusubiri na tuone.
Wasira mbona ashawahi kuhamia Nccr.. Tuliza kama hujui kituWasira anakomaa... lakn yeye huwez kuskia akihama chama sijui akitangatanga kama hao wenu wanaotafuta mchawi wakati wanae
Kweli Mama Bupe wewe kiboko, nakuaminia sana kwa uwezo wako wa umbea hapa JF, hongera sana Mama Bupe kwani kiwango chako cha kutengeneza umbea ni cha kipekee!
Hii si siri tena.
NCCR Mageuzi ni kama imeshakufa Kigoma. Mtu pekee ambaye pengine alionekana anaweza kuwakilisha chama hicho kwenye Dunia ya Mawese Ni David Kafulila. Amefanya majaribio kadhaa kuhakikisha anarudi mjengoni lakini amekwama. Sasa analia, kutweta na kusaga meno. Ubunge kaukosa. Kilichobaki ni kulea mtoto.
Hata hivyo, taarifa za ndani zinasema kuwa Mwanasiasa huyo kijana na machachari ambaye alitikisa hapo nyuma kwenye sakata la ESCROW Akaunti kwa sasa anajiandaa kutimikia CHADEMA. Mazungumzo yanaendelea vema chini ya ushawishi wa Kada wa CHADEMA, Malisa Godlisten Joseph.
Taarifa zinasema kuwa Malisa na Kafulila ambaye alibatizwa jina la 'Tumbili' wameshakaa vikao kadhaa na kuna mambo wameafikiana. Hata hivyo kuna jambo moja ambalo ndilo kiini na masharti ya Kafulila kuhamia CHADEMA. Kama litafanikiwa basi njia nyeupe kuhamia Ufipa. Jambo hilo ni uwezeshwaji kifedha. Kafulila anataka alipwe kiasi cha shilingi milioni 5 kwa Mwezi kwa kipindi chote ambacho amekosa ubunge. Kwamba, kiasi hicho kitamsaidia kujenga utulivu wa kiakili na hivyo kupata fursa ya kutosha kukitumikia chama chake kipya, CHADEMA kwa masharti kuwa mkoa wa Kigoma uwe na wabunge wa CHADEMA angalau 2 kwenye uchaguzi Mkuu wa 2020.
Je masharti hayo CHADEMA watatekeleza? Na je kama watatekeleza, Kafulila ataweza kupambana na CCM na ACT ambao wameshaweka mizizi kwenye mkoa huo? Tusubiri na tuone.
uongo wa wewe mwanamke! unaelekea kubaya sasaHii si siri tena.
NCCR Mageuzi ni kama imeshakufa Kigoma. Mtu pekee ambaye pengine alionekana anaweza kuwakilisha chama hicho kwenye Dunia ya Mawese Ni David Kafulila. Amefanya majaribio kadhaa kuhakikisha anarudi mjengoni lakini amekwama. Sasa analia, kutweta na kusaga meno. Ubunge kaukosa. Kilichobaki ni kulea mtoto.
Hata hivyo, taarifa za ndani zinasema kuwa Mwanasiasa huyo kijana na machachari ambaye alitikisa hapo nyuma kwenye sakata la ESCROW Akaunti kwa sasa anajiandaa kutimikia CHADEMA. Mazungumzo yanaendelea vema chini ya ushawishi wa Kada wa CHADEMA, Malisa Godlisten Joseph.
Taarifa zinasema kuwa Malisa na Kafulila ambaye alibatizwa jina la 'Tumbili' wameshakaa vikao kadhaa na kuna mambo wameafikiana. Hata hivyo kuna jambo moja ambalo ndilo kiini na masharti ya Kafulila kuhamia CHADEMA. Kama litafanikiwa basi njia nyeupe kuhamia Ufipa. Jambo hilo ni uwezeshwaji kifedha. Kafulila anataka alipwe kiasi cha shilingi milioni 5 kwa Mwezi kwa kipindi chote ambacho amekosa ubunge. Kwamba, kiasi hicho kitamsaidia kujenga utulivu wa kiakili na hivyo kupata fursa ya kutosha kukitumikia chama chake kipya, CHADEMA kwa masharti kuwa mkoa wa Kigoma uwe na wabunge wa CHADEMA angalau 2 kwenye uchaguzi Mkuu wa 2020.
Je masharti hayo CHADEMA watatekeleza? Na je kama watatekeleza, Kafulila ataweza kupambana na CCM na ACT ambao wameshaweka mizizi kwenye mkoa huo? Tusubiri na tuone.
Hii si siri tena.
NCCR Mageuzi ni kama imeshakufa Kigoma. Mtu pekee ambaye pengine alionekana anaweza kuwakilisha chama hicho kwenye Dunia ya Mawese Ni David Kafulila. Amefanya majaribio kadhaa kuhakikisha anarudi mjengoni lakini amekwama. Sasa analia, kutweta na kusaga meno. Ubunge kaukosa. Kilichobaki ni kulea mtoto.
Hata hivyo, taarifa za ndani zinasema kuwa Mwanasiasa huyo kijana na machachari ambaye alitikisa hapo nyuma kwenye sakata la ESCROW Akaunti kwa sasa anajiandaa kutimikia CHADEMA. Mazungumzo yanaendelea vema chini ya ushawishi wa Kada wa CHADEMA, Malisa Godlisten Joseph.
Taarifa zinasema kuwa Malisa na Kafulila ambaye alibatizwa jina la 'Tumbili' wameshakaa vikao kadhaa na kuna mambo wameafikiana. Hata hivyo kuna jambo moja ambalo ndilo kiini na masharti ya Kafulila kuhamia CHADEMA. Kama litafanikiwa basi njia nyeupe kuhamia Ufipa. Jambo hilo ni uwezeshwaji kifedha. Kafulila anataka alipwe kiasi cha shilingi milioni 5 kwa Mwezi kwa kipindi chote ambacho amekosa ubunge. Kwamba, kiasi hicho kitamsaidia kujenga utulivu wa kiakili na hivyo kupata fursa ya kutosha kukitumikia chama chake kipya, CHADEMA kwa masharti kuwa mkoa wa Kigoma uwe na wabunge wa CHADEMA angalau 2 kwenye uchaguzi Mkuu wa 2020.
Je masharti hayo CHADEMA watatekeleza? Na je kama watatekeleza, Kafulila ataweza kupambana na CCM na ACT ambao wameshaweka mizizi kwenye mkoa huo? Tusubiri na tuone.
Lizaboni. Kafulila ameshakuwa oili chafu. Chadema haina biashara ya kulipa mishahara wabunge au wanasiasa wowote. Njoo chadema lakini uje na pesa zako. usitegemee chadema itakupa pesa yoyote. Hata wakati wa kampeni mwaka jana tumeshuhudia kila mgombea akijitahidi kutumia pesa yake. Hatujui ni kwa nini iko hivi kwa sababu chama kinapata ruzuku, michango ya wadhamini, washabiki kupitia mitandao na njia mbalimbali. Kimsingi hatujui hata mapesa yote ya ruzuku na michango yanatumikaje. Ukihoji unafukuzwa kwa kuundiwa zengwe. Kama kina Zito.Hii si siri tena.
NCCR Mageuzi ni kama imeshakufa Kigoma. Mtu pekee ambaye pengine alionekana anaweza kuwakilisha chama hicho kwenye Dunia ya Mawese Ni David Kafulila. Amefanya majaribio kadhaa kuhakikisha anarudi mjengoni lakini amekwama. Sasa analia, kutweta na kusaga meno. Ubunge kaukosa. Kilichobaki ni kulea mtoto.
Hata hivyo, taarifa za ndani zinasema kuwa Mwanasiasa huyo kijana na machachari ambaye alitikisa hapo nyuma kwenye sakata la ESCROW Akaunti kwa sasa anajiandaa kutimikia CHADEMA. Mazungumzo yanaendelea vema chini ya ushawishi wa Kada wa CHADEMA, Malisa Godlisten Joseph.
Taarifa zinasema kuwa Malisa na Kafulila ambaye alibatizwa jina la 'Tumbili' wameshakaa vikao kadhaa na kuna mambo wameafikiana. Hata hivyo kuna jambo moja ambalo ndilo kiini na masharti ya Kafulila kuhamia CHADEMA. Kama litafanikiwa basi njia nyeupe kuhamia Ufipa. Jambo hilo ni uwezeshwaji kifedha. Kafulila anataka alipwe kiasi cha shilingi milioni 5 kwa Mwezi kwa kipindi chote ambacho amekosa ubunge. Kwamba, kiasi hicho kitamsaidia kujenga utulivu wa kiakili na hivyo kupata fursa ya kutosha kukitumikia chama chake kipya, CHADEMA kwa masharti kuwa mkoa wa Kigoma uwe na wabunge wa CHADEMA angalau 2 kwenye uchaguzi Mkuu wa 2020.
Je masharti hayo CHADEMA watatekeleza? Na je kama watatekeleza, Kafulila ataweza kupambana na CCM na ACT ambao wameshaweka mizizi kwenye mkoa huo? Tusubiri na tuone.