Baada ya kuanza kuchepuka mke wangu ameongeza heshima kwangu

Baada ya kuanza kuchepuka mke wangu ameongeza heshima kwangu

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Dah! Kidogo naona raha ya mapenzi sasa maana toka nianze kuishi nae mwaka wa 4 sasa ilikuwa Ni stress kila siku.

Mwezi ulioisha ulitokea ugomvi ambao ulipelekea nianze kuchepuka kwani baada ya ugomvi mm nilijikausha tu nikaapa sitamgusa wala kumpiga

Nikapata mtoto wa kitanga nikawa na uhakika wa kula kila nikihitaji

Baada ya kugundua kwamba siku hizi nakula nje aka ongeza moto na mm sikujali lolote kwani nilishaweka potelea pote hata akiondoka sawa tu

Ukapita mwezi hivi sijashiriki nae ila tunalala na kujifunika shuka moja na hata stimu za ngono sina

Siku moja usiku wa saa 7 nashangaa ananiamsha na kuniomba tuongee mm nikamjibu aniache nilale nimechoka

Akaamka na kukaa kwenye kiti na kuanza kulia Mimi nikaendelea kupiga usingizi baadae akarudi tukalala kesho Kama kawaida nawaachia matumizi nasepa zangu job

Muda wa kurudi home ilikuwaga saa tatu lakini nikabadili ikawa saa 5 kuendelea au nisirudi kabisa

Sasa siku hiyo narudi nyumbani nashangaa nimepokelewa vizuri Kama vile hatuna ugomvi muda wa kulala kila kitu poa ila akaniomba niachane na hao mademu kwani anaumia sana nikamjibu kwamba anipe muda naachana nao akakubali

Sasa wiki moja sasa kila nikirudi huangalia simu yangu halafu ananiuliza mbona bado nawasiliana nao nikamwambia asijali naachana nao tu.

Sasa nilikuwa nasahau kufuta ushahidi ndo maana akawa anajua kwa sasa kabla sijagika home nafuta ushahidi wote.

Ila tu ukweli yule mtoto wa kitanga sitamuacha kwa haraka hivo anavodhania yeye.

Yeye ndo kalianzisha nisingeweza kuvumilia na upwiru muda wote huo.

Dawa ya mwanamke ambaye haendi kwenye njia zako achana nae usimpige wala kupigizana naye makelele.
 
Heshima nae atapata wake, ngoma droooooo baadae omba msiambukizane mtakayobeba.

Mke abadilike kisa umechepuka na anafahamu na wewe unafurahia 🤣🤣🤣

Atakushangaza mkeo hadi utarudi humu kulia lia, si kaona nawe umeacha ubwege apate kula maisha ya ndoa na nje kwa furaha sasa.. Sitaki kukuliza ila anza kulia. 😅😅😅
 
Dah! Kidogo naona raha ya mapenzi sasa maana toka nianze kuishi nae mwaka wa 4 sasa ilikuwa Ni stress kila siku.

Mwezi ulioisha ulitokea ugomvi ambao ulipelekea nianze kuchepuka kwani baada ya ugomvi mm nilijikausha tu nikaapa sitamgusa wala kumpiga

Nikapata mtoto wa kitanga nikawa na uhakika wa kula kila nikihitaji

Baada ya kugundua kwamba siku hizi nakula nje aka ongeza moto na mm sikujali lolote kwani nilishaweka potelea pote hata akiondoka sawa tu

Ukapita mwezi hivi sijashiriki nae ila tunalala na kujifunika shuka moja na hata stimu za ngono sina

Siku moja usiku wa saa 7 nashangaa ananiamsha na kuniomba tuongee mm nikamjibu aniache nilale nimechoka

Akaamka na kukaa kwenye kiti na kuanza kulia Mimi nikaendelea kupiga usingizi baadae akarudi tukalala kesho Kama kawaida nawaachia matumizi nasepa zangu job

Muda wa kurudi home ilikuwaga saa tatu lakini nikabadili ikawa saa 5 kuendelea au nisirudi kabisa

Sasa siku hiyo narudi nyumbani nashangaa nimepokelewa vizuri Kama vile hatuna ugomvi muda wa kulala kila kitu poa ila akaniomba niachane na hao mademu kwani anaumia sana nikamjibu kwamba anipe muda naachana nao akakubali

Sasa wiki moja sasa kila nikirudi huangalia simu yangu halafu ananiuliza mbona bado nawasiliana nao nikamwambia asijali naachana nao tu.

Sasa nilikuwa nasahau kufuta ushahidi ndo maana akawa anajua kwa sasa kabla sijagika home nafuta ushahidi wote.

Ila tu ukweli yule mtoto wa kitanga sitamuacha kwa haraka hivo anavodhania yeye.

Yeye ndo kalianzisha nisingeweza kuvumilia na upwiru muda wote huo.

Dawa ya mwanamke ambaye haendi kwenye njia zako achana nae usimpige wala kupigizana naye makelele.
Umepata uyo mke ambae ni mama wa nyumbani shukuru tu.

Yaani mke wng me akute una michepuko halafu akuongeleshe uachane nayo kama ivo!??? haitokei abadan uwo mziki wake naujua me 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom