Baada ya kuanza kuchepuka mke wangu ameongeza heshima kwangu

Baada ya kuanza kuchepuka mke wangu ameongeza heshima kwangu

Kujolonda ni muhimu ingawa pombe hatari utasahau kwa mademu hawana choice......hujikuta kaliwa dry chamam......UTI sugu
 
Heshima imeongezeka kwa kuwa na yeye kapata kidumu. Tena anaweza kuwa bodaboda; mtu anayeweza kumpa penzi lakini hawezi kumpa hela. Unaheshimika ila utoe matumizi bila kigugumizi, penzi ana pa kulipata!
 
Dah! Kidogo naona raha ya mapenzi sasa maana toka nianze kuishi nae mwaka wa 4 sasa ilikuwa Ni stress kila siku.

Mwezi ulioisha ulitokea ugomvi ambao ulipelekea nianze kuchepuka kwani baada ya ugomvi mm nilijikausha tu nikaapa sitamgusa wala kumpiga

Nikapata mtoto wa kitanga nikawa na uhakika wa kula kila nikihitaji

Baada ya kugundua kwamba siku hizi nakula nje aka ongeza moto na mm sikujali lolote kwani nilishaweka potelea pote hata akiondoka sawa tu

Ukapita mwezi hivi sijashiriki nae ila tunalala na kujifunika shuka moja na hata stimu za ngono sina

Siku moja usiku wa saa 7 nashangaa ananiamsha na kuniomba tuongee mm nikamjibu aniache nilale nimechoka

Akaamka na kukaa kwenye kiti na kuanza kulia Mimi nikaendelea kupiga usingizi baadae akarudi tukalala kesho Kama kawaida nawaachia matumizi nasepa zangu job

Muda wa kurudi home ilikuwaga saa tatu lakini nikabadili ikawa saa 5 kuendelea au nisirudi kabisa

Sasa siku hiyo narudi nyumbani nashangaa nimepokelewa vizuri Kama vile hatuna ugomvi muda wa kulala kila kitu poa ila akaniomba niachane na hao mademu kwani anaumia sana nikamjibu kwamba anipe muda naachana nao akakubali

Sasa wiki moja sasa kila nikirudi huangalia simu yangu halafu ananiuliza mbona bado nawasiliana nao nikamwambia asijali naachana nao tu.

Sasa nilikuwa nasahau kufuta ushahidi ndo maana akawa anajua kwa sasa kabla sijagika home nafuta ushahidi wote.

Ila tu ukweli yule mtoto wa kitanga sitamuacha kwa haraka hivo anavodhania yeye.

Yeye ndo kalianzisha nisingeweza kuvumilia na upwiru muda wote huo.

Dawa ya mwanamke ambaye haendi kwenye njia zako achana nae usimpige wala kupigizana naye makelele.
Wanaume oyeeee

Mwanaume Kama hauchepuki wewe ni fala
 
Dah! Kidogo naona raha ya mapenzi sasa maana toka nianze kuishi nae mwaka wa 4 sasa ilikuwa Ni stress kila siku.

Mwezi ulioisha ulitokea ugomvi ambao ulipelekea nianze kuchepuka kwani baada ya ugomvi mm nilijikausha tu nikaapa sitamgusa wala kumpiga

Nikapata mtoto wa kitanga nikawa na uhakika wa kula kila nikihitaji

Baada ya kugundua kwamba siku hizi nakula nje aka ongeza moto na mm sikujali lolote kwani nilishaweka potelea pote hata akiondoka sawa tu

Ukapita mwezi hivi sijashiriki nae ila tunalala na kujifunika shuka moja na hata stimu za ngono sina

Siku moja usiku wa saa 7 nashangaa ananiamsha na kuniomba tuongee mm nikamjibu aniache nilale nimechoka

Akaamka na kukaa kwenye kiti na kuanza kulia Mimi nikaendelea kupiga usingizi baadae akarudi tukalala kesho Kama kawaida nawaachia matumizi nasepa zangu job

Muda wa kurudi home ilikuwaga saa tatu
Dah! Kidogo naona raha ya mapenzi sasa maana toka nianze kuishi nae mwaka wa 4 sasa ilikuwa Ni stress kila siku.

Mwezi ulioisha ulitokea ugomvi ambao ulipelekea nianze kuchepuka kwani baada ya ugomvi mm nilijikausha tu nikaapa sitamgusa wala kumpiga

Nikapata mtoto wa kitanga nikawa na uhakika wa kula kila nikihitaji

Baada ya kugundua kwamba siku hizi nakula nje aka ongeza moto na mm sikujali lolote kwani nilishaweka potelea pote hata akiondoka sawa tu

Ukapita mwezi hivi sijashiriki nae ila tunalala na kujifunika shuka moja na hata stimu za

Dawa ya mwanamke ambaye haendi kwenye njia zako achana nae usimpige wala kupigizana naye makelele.
1. Huwezi kushinda ujinga kwa ujinga.
2. Naona unachezea uhai wako, mwanamke anaweza kujifanya kuwa hajamind na akajishusha lkn very soon atalipa kisasi tena kwa kuliwa hata na wachunga ng'ombe.
3. Unachezea uhai wako unaweza kuwekewa sumu ukiwa usingizini.

Mwanaume mwenye akili asithubutu ujinga huu bora uchepuke kimya kimya na kamwe usigundulike
 
1. Huwezi kushinda ujinga kwa ujinga.
2. Naona unachezea uhai wako, mwanamke anaweza kujifanya kuwa hajamind na akanishusha lkn very soon atalipa kisasi tena kwa kuliwa hata na wachunga ng'ombe.
3. Unachezea uhai wako unaqeza kuwekewa sumu ukiwa usingizini.

Mwanaume mwenye akili asithubutu ujinga huu bora uchepuke kimya kimya na kamwe usigundulike
Kuna Uzi flani humu ulifutwagwa mwanamke alikua ana mwekea mumewe sijui Nini kikawa kinamdhohofisha mumewe kidogo kidogo mpaka akapata umauti.
 
We bwege tu mkeo kakushika akili
Nenda mbele Rudi nyuma ukioa mwanamke mkurya..

Ukimcheat ukilala chumbani uhakika wa kuamka ukiwa hai ni 0.01

Utaamka umeshakatwa izo mbupu zako.

Ogopa Sana vita na wanawake utalishwa hata malimbwata uwe zoba maana wanakupikia.

Hiyo mbususu/ papuchi itawekewa dawa ujikute unaililia muda WOTE

NB.
Mwanamke mjinga ishi nae kwa AKILI.
 
Nenda mbele Rudi nyuma ukioa mwanamke mkurya..

Ukimcheat ukilala chumbani uhakika wa kuamka ukiwa hai ni 0.01

Utaamka umeshakatwa izo mbupu zako.

Ogopa Sana vita na wanawake utalishwa hata malimbwata uwe zoba maana wanakupikia.

Hiyo mbususu/ papuchi itawekewa dawa ujikute unaililia muda WOTE

NB.
Mwanamke mjinga ishi nae kwa AKILI.
Ana masikhara sana na wanawake uyo 😀

Me wife ameshanambia na mapema sana ktk kucheat kwangu nijitahidi sanaa asigundue ila siku akigundua nimecheat atamtafuta yule rafiki yng wa karibu mnoo amtunuku mzigo kiurahisi sana
 
Back
Top Bottom