Baada ya kuanza kuchepuka mke wangu ameongeza heshima kwangu

Baada ya kuanza kuchepuka mke wangu ameongeza heshima kwangu

Ana masikhara sana na wanawake uyo 😀

Me wife ameshanambia na mapema sana ktk kucheat kwangu nijitahidi sanaa asigundue ila siku akigundua nimecheat atamtafuta yule rafiki yng wa karibu mnoo amtunuku mzigo kiurahisi sana
Huyo wako ni malaya waziwazi. Mke mwenye ujasiri wa kukwambia hayo maneno bila kukuheshimu huyo anakumudu.
Hata Mimi mwanaume nikiwa na mwanamke mwingine siyo tiketi ya mke wangu kuwa na mwanaume mwingine eti tena rafiki wa karibu! Kakuona boya.
 
Huyo wako ni malaya waziwazi. Mke mwenye ujasiri wa kukwambia hayo maneno bila kukuheshimu huyo anakumudu.
Hata Mimi mwanaume nikiwa na mwanamke mwingine siyo tiketi ya mke wangu kuwa na mwanaume mwingine eti tena rafiki wa karibu! Kakuona boya.
Wala sio malaya bikra nimetoa mwenyewe na na nina uhakika mpak dakik hii hamjui mwanaume mwengine zaid yangu.

kama umeoa wanawake kutisha tisha kama ivo ni ishu za kawaid kbs.

Pia alishaniambia siku akigundua nimecheat atanisubiria nimelala aniue nikiwa usingizini.

Baada ya kuskia ivo kulikua na sumu ya panya nilimwambia aihifadhi sehem ilibidi nikaiyondoe na kuiweke sehem ambayo haijui😃
 
Dah! Kidogo naona raha ya mapenzi sasa maana toka nianze kuishi nae mwaka wa 4 sasa ilikuwa Ni stress kila siku.

Mwezi ulioisha ulitokea ugomvi ambao ulipelekea nianze kuchepuka kwani baada ya ugomvi mm nilijikausha tu nikaapa sitamgusa wala kumpiga

Nikapata mtoto wa kitanga nikawa na uhakika wa kula kila nikihitaji

Baada ya kugundua kwamba siku hizi nakula nje aka ongeza moto na mm sikujali lolote kwani nilishaweka potelea pote hata akiondoka sawa tu

Ukapita mwezi hivi sijashiriki nae ila tunalala na kujifunika shuka moja na hata stimu za ngono sina

Siku moja usiku wa saa 7 nashangaa ananiamsha na kuniomba tuongee mm nikamjibu aniache nilale nimechoka

Akaamka na kukaa kwenye kiti na kuanza kulia Mimi nikaendelea kupiga usingizi baadae akarudi tukalala kesho Kama kawaida nawaachia matumizi nasepa zangu job

Muda wa kurudi home ilikuwaga saa tatu lakini nikabadili ikawa saa 5 kuendelea au nisirudi kabisa

Sasa siku hiyo narudi nyumbani nashangaa nimepokelewa vizuri Kama vile hatuna ugomvi muda wa kulala kila kitu poa ila akaniomba niachane na hao mademu kwani anaumia sana nikamjibu kwamba anipe muda naachana nao akakubali

Sasa wiki moja sasa kila nikirudi huangalia simu yangu halafu ananiuliza mbona bado nawasiliana nao nikamwambia asijali naachana nao tu.

Sasa nilikuwa nasahau kufuta ushahidi ndo maana akawa anajua kwa sasa kabla sijagika home nafuta ushahidi wote.

Ila tu ukweli yule mtoto wa kitanga sitamuacha kwa haraka hivo anavodhania yeye.

Yeye ndo kalianzisha nisingeweza kuvumilia na upwiru muda wote huo.

Dawa ya mwanamke ambaye haendi kwenye njia zako achana nae usimpige wala kupigizana naye makelele.
Waridi Jeusi - Dizasta Vina Ft. Baraka Fa Prince
 
Dah! Kidogo naona raha ya mapenzi sasa maana toka nianze kuishi nae mwaka wa 4 sasa ilikuwa Ni stress kila siku.

Mwezi ulioisha ulitokea ugomvi ambao ulipelekea nianze kuchepuka kwani baada ya ugomvi mm nilijikausha tu nikaapa sitamgusa wala kumpiga

Nikapata mtoto wa kitanga nikawa na uhakika wa kula kila nikihitaji

Baada ya kugundua kwamba siku hizi nakula nje aka ongeza moto na mm sikujali lolote kwani nilishaweka potelea pote hata akiondoka sawa tu

Ukapita mwezi hivi sijashiriki nae ila tunalala na kujifunika shuka moja na hata stimu za ngono sina

Siku moja usiku wa saa 7 nashangaa ananiamsha na kuniomba tuongee mm nikamjibu aniache nilale nimechoka

Akaamka na kukaa kwenye kiti na kuanza kulia Mimi nikaendelea kupiga usingizi baadae akarudi tukalala kesho Kama kawaida nawaachia matumizi nasepa zangu job

Muda wa kurudi home ilikuwaga saa tatu lakini nikabadili ikawa saa 5 kuendelea au nisirudi kabisa

Sasa siku hiyo narudi nyumbani nashangaa nimepokelewa vizuri Kama vile hatuna ugomvi muda wa kulala kila kitu poa ila akaniomba niachane na hao mademu kwani anaumia sana nikamjibu kwamba anipe muda naachana nao akakubali

Sasa wiki moja sasa kila nikirudi huangalia simu yangu halafu ananiuliza mbona bado nawasiliana nao nikamwambia asijali naachana nao tu.

Sasa nilikuwa nasahau kufuta ushahidi ndo maana akawa anajua kwa sasa kabla sijagika home nafuta ushahidi wote.

Ila tu ukweli yule mtoto wa kitanga sitamuacha kwa haraka hivo anavodhania yeye.

Yeye ndo kalianzisha nisingeweza kuvumilia na upwiru muda wote huo.

Dawa ya mwanamke ambaye haendi kwenye njia zako achana nae usimpige wala kupigizana naye makelele.
32 Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Mithali 6:32
 
Kama kuchepuka ulifaa kuchepuka kwa maana ya kwamba urudi home ukiwa huna haja ya kusumbuana nae tena, sio ili umuoneshe yeye. Na wakikulipiza uje hapa utoe uzi, bahati mbaya sana unaweza usiipate hiyo nafasi mana wanaweza kukutanguliza iliko mizimu ya babu zako.
 
Wala sio malaya bikra nimetoa mwenyewe na na nina uhakika mpak dakik hii hamjui mwanaume mwengine zaid yangu.

kama umeoa wanawake kutisha tisha kama ivo ni ishu za kawaid kbs.

Pia alishaniambia siku akigundua nimecheat atanisubiria nimelala aniue nikiwa usingizini.

Baada ya kuskia ivo kulikua na sumu ya panya nilimwambia aihifadhi sehem ilibidi nikaiyondoe na kuiweke sehem ambayo haijui😃
Hilo la kusema atakuua nakubali aseme, ila kusema ataenda nae kutombwww na rafiki yako hiyo dharau kabisa.
 
Sasa siku hiyo narudi nyumbani nashangaa nimepokelewa vizuri Kama vile hatuna ugomvi muda wa kulala kila kitu poa ila akaniomba niachane na hao mademu kwani anaumia sana nikamjibu kwamba anipe muda naachana nao akakubali

Sasa wiki moja sasa kila nikirudi huangalia simu yangu halafu ananiuliza mbona bado nawasiliana nao nikamwambia asijali naachana nao tu.
Scam🤣😂🤣😂
 
Dah! Kidogo naona raha ya mapenzi sasa maana toka nianze kuishi nae mwaka wa 4 sasa ilikuwa Ni stress kila siku.

Mwezi ulioisha ulitokea ugomvi ambao ulipelekea nianze kuchepuka kwani baada ya ugomvi mm nilijikausha tu nikaapa sitamgusa wala kumpiga

Nikapata mtoto wa kitanga nikawa na uhakika wa kula kila nikihitaji

Baada ya kugundua kwamba siku hizi nakula nje aka ongeza moto na mm sikujali lolote kwani nilishaweka potelea pote hata akiondoka sawa tu

Ukapita mwezi hivi sijashiriki nae ila tunalala na kujifunika shuka moja na hata stimu za ngono sina

Siku moja usiku wa saa 7 nashangaa ananiamsha na kuniomba tuongee mm nikamjibu aniache nilale nimechoka

Akaamka na kukaa kwenye kiti na kuanza kulia Mimi nikaendelea kupiga usingizi baadae akarudi tukalala kesho Kama kawaida nawaachia matumizi nasepa zangu job

Muda wa kurudi home ilikuwaga saa tatu lakini nikabadili ikawa saa 5 kuendelea au nisirudi kabisa

Sasa siku hiyo narudi nyumbani nashangaa nimepokelewa vizuri Kama vile hatuna ugomvi muda wa kulala kila kitu poa ila akaniomba niachane na hao mademu kwani anaumia sana nikamjibu kwamba anipe muda naachana nao akakubali

Sasa wiki moja sasa kila nikirudi huangalia simu yangu halafu ananiuliza mbona bado nawasiliana nao nikamwambia asijali naachana nao tu.

Sasa nilikuwa nasahau kufuta ushahidi ndo maana akawa anajua kwa sasa kabla sijagika home nafuta ushahidi wote.

Ila tu ukweli yule mtoto wa kitanga sitamuacha kwa haraka hivo anavodhania yeye.

Yeye ndo kalianzisha nisingeweza kuvumilia na upwiru muda wote huo.

Dawa ya mwanamke ambaye haendi kwenye njia zako achana nae usimpige wala kupigizana naye makelele.
Mkuu unaweza kuwa mtunzi mzuri lakini inahitaji muda kuwa mtunzi mashuhuri.
 
Heshima nae atapata wake, ngoma droooooo baadae omba msiambukizane mtakayobeba.

Mke abadilike kisa umechepuka na anafahamu na wewe unafurahia 🤣🤣🤣

Atakushangaza mkeo hadi utarudi humu kulia lia, si kaona nawe umeacha ubwege spate kula maisha ya ndoa na nje kwa furaha sasa.. Sitaki kukuliza ila anza kulia. 😅😅😅
Kichambo cha kisomi 🤣🤣🤣
 
Heshima nae atapata wake, ngoma droooooo baadae omba msiambukizane mtakayobeba.

Mke abadilike kisa umechepuka na anafahamu na wewe unafurahia 🤣🤣🤣

Atakushangaza mkeo hadi utarudi humu kulia lia, si kaona nawe umeacha ubwege spate kula maisha ya ndoa na nje kwa furaha sasa.. Sitaki kukuliza ila anza kulia. 😅😅😅
Halijui kama amebadilika kwa vile naye kajiokotea ka shamba boy hapo home! Linapigwa huku linaona!
 
Back
Top Bottom