Baada ya kuanza kuchepuka mke wangu ameongeza heshima kwangu

Kujolonda ni muhimu ingawa pombe hatari utasahau kwa mademu hawana choice......hujikuta kaliwa dry chamam......UTI sugu
 
Heshima imeongezeka kwa kuwa na yeye kapata kidumu. Tena anaweza kuwa bodaboda; mtu anayeweza kumpa penzi lakini hawezi kumpa hela. Unaheshimika ila utoe matumizi bila kigugumizi, penzi ana pa kulipata!
 
Wanaume oyeeee

Mwanaume Kama hauchepuki wewe ni fala
 
1. Huwezi kushinda ujinga kwa ujinga.
2. Naona unachezea uhai wako, mwanamke anaweza kujifanya kuwa hajamind na akajishusha lkn very soon atalipa kisasi tena kwa kuliwa hata na wachunga ng'ombe.
3. Unachezea uhai wako unaweza kuwekewa sumu ukiwa usingizini.

Mwanaume mwenye akili asithubutu ujinga huu bora uchepuke kimya kimya na kamwe usigundulike
 
Kuna Uzi flani humu ulifutwagwa mwanamke alikua ana mwekea mumewe sijui Nini kikawa kinamdhohofisha mumewe kidogo kidogo mpaka akapata umauti.
 
We bwege tu mkeo kakushika akili
Nenda mbele Rudi nyuma ukioa mwanamke mkurya..

Ukimcheat ukilala chumbani uhakika wa kuamka ukiwa hai ni 0.01

Utaamka umeshakatwa izo mbupu zako.

Ogopa Sana vita na wanawake utalishwa hata malimbwata uwe zoba maana wanakupikia.

Hiyo mbususu/ papuchi itawekewa dawa ujikute unaililia muda WOTE

NB.
Mwanamke mjinga ishi nae kwa AKILI.
 
Ana masikhara sana na wanawake uyo 😀

Me wife ameshanambia na mapema sana ktk kucheat kwangu nijitahidi sanaa asigundue ila siku akigundua nimecheat atamtafuta yule rafiki yng wa karibu mnoo amtunuku mzigo kiurahisi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…