Baada ya kuanza kuchepuka mke wangu ameongeza heshima kwangu

Ana masikhara sana na wanawake uyo 😀

Me wife ameshanambia na mapema sana ktk kucheat kwangu nijitahidi sanaa asigundue ila siku akigundua nimecheat atamtafuta yule rafiki yng wa karibu mnoo amtunuku mzigo kiurahisi sana
😳 Hasira za mkizi.
 
Hio n mbinu ya mauaji, ukitaka kumnyoosha mwanamke mkorofi hiyo njia inafaa ila inaumiza sana kujua/kuona kuna mwanamke mwenzako amepewa nafasi na mumewako tena kwa hiyari ya mumewako .Dah!
 
Najaribu kuwaza mkeo nae angechepuka ingekuwaje. nadhan iko siku mkeo nae atachepuka ili iwe ngma muheshimiane.
 
Mwendo wa ngiri tu 🤣🙌🏿🤣🤣
 
💪💪💪
 
Kuta
ni ujinga tu
Kitakachofuata ni mwanamke ni kuchepuka pia. Halafu atakuheshimu hivyohivyo. Na mwanamke akishachepuka tu, kuacha ni vigumu sana. Jamaa yetu atakuja akilia badala ya kushangilia na kujisifu na ujinga huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…