KERO Baada ya kuanza kwa safari za SGR, hizi ni changamoto zake zilizojitokeza

KERO Baada ya kuanza kwa safari za SGR, hizi ni changamoto zake zilizojitokeza

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mkwanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,293
Reaction score
5,163
Baada ya SGR ya Tanzania kuanza safari zake kuanzia Dar mpaka Morogoro, licha ya ubora wa treni zetu, reli na vituo.

Wadau kadhaa wamelalamikia mapungufu kadhaa, wengi wakilalamikia mfumo mbaya wa tickets unaowagonganisha watu kwenye siti moja ndani ya behewa moja lakini pia huduma duni ndani ya treni kwa watoa huduma ambao wanaonekana kukosa mafunzo ya muda mrefu na uzoefu.

Je, kwa wengine ambao tayari wametumia hii huduma, mnaonaje? Changamoto zenu ni zipi? Vipi huduma ndani na nje ya vituo?

Naona hapo Tanzanite Terminal Bodaboda kama wote, hii nayo ni hali inayopaswa kuruhusiwa eneo hilo?

Karibuni.
 
Baada ya SGR ya Tanzania kuanza safari zake kuanzia Dar mpaka Moro, licha ya ubora wa treni zetu, reli na vituo, Wadau kadhaa wamelalamikia mapungufu kadhaa wengi wakilalamikia mfumo mbaya wa tickets unaowagonganisha watu kwenye siti moja ndani ya behewa moja lakini pia huduma duni ndani ya train kwa watoa huduma ambao wanaonekana kukosa mafunzo ya muda mrefu na uzoefu.

Je, kwa wengine ambao tayari wametumia hii huduma, mnaonaje? Changamoto zenu ni zipi? Vipi huduma ndani na nje ya vituo? Naona hapo Tanzanite Terminal Bodaboda kama wote……hii nayo ni hali inayopaswa kuruhusiwa eneo hilo?

Karibuni.
the expected
 
Baada ya SGR ya Tanzania kuanza safari zake kuanzia Dar mpaka Morogoro, licha ya ubora wa treni zetu, reli na vituo.

Wadau kadhaa wamelalamikia mapungufu kadhaa, wengi wakilalamikia mfumo mbaya wa tickets unaowagonganisha watu kwenye siti moja ndani ya behewa moja lakini pia huduma duni ndani ya treni kwa watoa huduma ambao wanaonekana kukosa mafunzo ya muda mrefu na uzoefu.

Je, kwa wengine ambao tayari wametumia hii huduma, mnaonaje? Changamoto zenu ni zipi? Vipi huduma ndani na nje ya vituo?

Naona hapo Tanzanite Terminal Bodaboda kama wote, hii nayo ni hali inayopaswa kuruhusiwa eneo hilo?

Karibuni.
Masuala ya customer service hapa Tanzania ni zero kabisa, hata ufundishe hawa watu vipi bado wako useless tu. Dawa pekee ni mtu akiboronga anafutwa kazi na asiajiriwe popote pale hapa Tanzania. Watu wanafanya kazi kwa mazoea sana hata huko serikalini mambo ni yale yale tu.
 
Sasa ndio kwanza treni imefanya safari moja wakuu kweli mnataka kusiwe na changamoto yoyote kweli?

Unawalaumu hao wahudumu hawana uzoefu, like serious mkuu?
Mwenyewe nimeshangaa hio ya uzoefu 😂
 
Baada ya SGR ya Tanzania kuanza safari zake kuanzia Dar mpaka Morogoro, licha ya ubora wa treni zetu, reli na vituo.

Wadau kadhaa wamelalamikia mapungufu kadhaa, wengi wakilalamikia mfumo mbaya wa tickets unaowagonganisha watu kwenye siti moja ndani ya behewa moja lakini pia huduma duni ndani ya treni kwa watoa huduma ambao wanaonekana kukosa mafunzo ya muda mrefu na uzoefu.

Je, kwa wengine ambao tayari wametumia hii huduma, mnaonaje? Changamoto zenu ni zipi? Vipi huduma ndani na nje ya vituo?

Naona hapo Tanzanite Terminal Bodaboda kama wote, hii nayo ni hali inayopaswa kuruhusiwa eneo hilo?

Karibuni.
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era
 
Sasa ndio kwanza treni imefanya safari moja wakuu kweli mnataka kusiwe na changamoto yoyote kweli?

Unawalaumu hao wahudumu hawana uzoefu, like serious mkuu?
Nadhani lengo la safari za majaribio lilikuwa ni kuwapa uzoefu wahudumu na kutest mifumo, nadhani hata mfumo wa tickets ulipaswa kutestiwa kipindi hicho ili kuona changamoto zake na kurekebisha kabla ya kusubiri safari. Hii pia ingeenda sambamba na kuwapa wahudumu wote uzoefu baada ya mafunzo.
 
Nadhani lengo la safari za majaribio lilikuwa ni kuwapa uzoefu wahudumu na kutest mifumo, nadhani hata mfumo wa tickets ulipaswa kutestiwa kipindi hicho ili kuona changamoto zake na kurekebisha kabla ya kusubiri safari. Hii pia ingeenda sambamba na kuwapa wahudumu wote uzoefu baada ya mafunzo.
Si kweli!

Ikiwa kuna shida kwenye mitambo au uendeshaji wa treni ni sawa ila uhudumu aisee hebu punguza lawama. Ndani ya kichwa chako tambua safari imefanyika moja tu! Na safari za majaribio zilikuwa 2 kama sikosei na katika safari za majaribio walipanda watu special kama mashaikh, mapadre, viongozi, waandishi wa habari na wasanii kina Steve Nyerere sasa hawa mkuu watatoa picha halisi ya wahuumu kupatia uzoefu kwa watanganyika wengine wanaohitaji huduma za hao wahudumu?
 
Back
Top Bottom