KERO Baada ya kuanza kwa safari za SGR, hizi ni changamoto zake zilizojitokeza

KERO Baada ya kuanza kwa safari za SGR, hizi ni changamoto zake zilizojitokeza

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Si kweli!

Ikiwa kuna shida kwenye mitambo au uendeshaji wa treni ni sawa ila uhudumu aisee hebu punguza lawama. Ndani ya kichwa chako tambua safari imefanyika moja tu! Na safari za majaribio zilikuwa 2 kama sikosei na katika safari za majaribio walipanda watu special kama mashaikh, mapadre, viongozi, waandishi wa habari na wasanii kina Steve Nyerere sasa hawa mkuu watatoa picha halisi ya wahuumu kupatia uzoefu kwa watanganyika wengine wanaohitaji huduma za hao wahudumu?
Silaumu, hii ni tathmini ya kawaida kwenye mradi kama huu, najaribu kuangalia changamoto zilizojitokeza ili TRC waboreshe, ndio lengo la huu uzi, huo ni mradi wa matrilioni hatupendi kuona unatuletea aibu ndogondogo, nadhani hata TRC wanafuatilia hizi changamoto kwa maboresho, bila kusema hayo ndio mwanzo wa reli kufa.
 
Baada ya SGR ya Tanzania kuanza safari zake kuanzia Dar mpaka Morogoro, licha ya ubora wa treni zetu, reli na vituo.

Wadau kadhaa wamelalamikia mapungufu kadhaa, wengi wakilalamikia mfumo mbaya wa tickets unaowagonganisha watu kwenye siti moja ndani ya behewa moja lakini pia huduma duni ndani ya treni kwa watoa huduma ambao wanaonekana kukosa mafunzo ya muda mrefu na uzoefu.

Je, kwa wengine ambao tayari wametumia hii huduma, mnaonaje? Changamoto zenu ni zipi? Vipi huduma ndani na nje ya vituo?

Naona hapo Tanzanite Terminal Bodaboda kama wote, hii nayo ni hali inayopaswa kuruhusiwa eneo hilo?

Karibuni.
Kwasababu ni chetu watanzania tunaanza kukinanga badala ya kupongeza uthubutu tuliouonyesha wa mojawapo ya huduma bora duniani! Nchi nyingi hazina SGR ukumbuke!
 
Baada ya SGR ya Tanzania kuanza safari zake kuanzia Dar mpaka Morogoro, licha ya ubora wa treni zetu, reli na vituo.

Wadau kadhaa wamelalamikia mapungufu kadhaa, wengi wakilalamikia mfumo mbaya wa tickets unaowagonganisha watu kwenye siti moja ndani ya behewa moja lakini pia huduma duni ndani ya treni kwa watoa huduma ambao wanaonekana kukosa mafunzo ya muda mrefu na uzoefu.

Je, kwa wengine ambao tayari wametumia hii huduma, mnaonaje? Changamoto zenu ni zipi? Vipi huduma ndani na nje ya vituo?

Naona hapo Tanzanite Terminal Bodaboda kama wote, hii nayo ni hali inayopaswa kuruhusiwa eneo hilo?

Karibuni.
Ttz la huduma za serikali 100% zinafeli kwa sababu ya ubovu wa watoa huduma,UDart km imekufa tyr,TTCL janga kubwa sana,angalau tanesco is much better now days so sishangai hayo usemayo.
 
Safari zimeanza rasmi au ilikua majaribio
 
vipi wewe kwenye familia Yako Kila kitu Kipo sawa... jamani tusiwe wakosoaji wa Kila kitu
 
Si kweli!

Ikiwa kuna shida kwenye mitambo au uendeshaji wa treni ni sawa ila uhudumu aisee hebu punguza lawama. Ndani ya kichwa chako tambua safari imefanyika moja tu! Na safari za majaribio zilikuwa 2 kama sikosei na katika safari za majaribio walipanda watu special kama mashaikh, mapadre, viongozi, waandishi wa habari na wasanii kina Steve Nyerere sasa hawa mkuu watatoa picha halisi ya wahuumu kupatia uzoefu kwa watanganyika wengine wanaohitaji huduma za hao wahudumu?
Huduma za kwenye treni ni tofauti na huduma nyingine ? Yaani mtu anaweza akawa na huduma nzuri kwenye ndege au kwenye kuuza genge na akashindwa kwenye treni ?
 
Si kweli!

Ikiwa kuna shida kwenye mitambo au uendeshaji wa treni ni sawa ila uhudumu aisee hebu punguza lawama. Ndani ya kichwa chako tambua safari imefanyika moja tu! Na safari za majaribio zilikuwa 2 kama sikosei na katika safari za majaribio walipanda watu special kama mashaikh, mapadre, viongozi, waandishi wa habari na wasanii kina Steve Nyerere sasa hawa mkuu watatoa picha halisi ya wahuumu kupatia uzoefu kwa watanganyika wengine wanaohitaji huduma za hao wahudumu?
Huduma za kwenye treni ni tofauti na huduma nyingine ? Yaani mtu anaweza akawa na huduma nzuri kwenye ndege au kwenye kuuza genge na akashindwa kwenye treni ?
 
Baada ya SGR ya Tanzania kuanza safari zake kuanzia Dar mpaka Morogoro, licha ya ubora wa treni zetu, reli na vituo.

Wadau kadhaa wamelalamikia mapungufu kadhaa, wengi wakilalamikia mfumo mbaya wa tickets unaowagonganisha watu kwenye siti moja ndani ya behewa moja lakini pia huduma duni ndani ya treni kwa watoa huduma ambao wanaonekana kukosa mafunzo ya muda mrefu na uzoefu.

Je, kwa wengine ambao tayari wametumia hii huduma, mnaonaje? Changamoto zenu ni zipi? Vipi huduma ndani na nje ya vituo?

Naona hapo Tanzanite Terminal Bodaboda kama wote, hii nayo ni hali inayopaswa kuruhusiwa eneo hilo?

Karibuni.
mimi nimecheka sababu mchumba angu ephen_ amecheka 🤣
 
w
Si kweli!

Ikiwa kuna shida kwenye mitambo au uendeshaji wa treni ni sawa ila uhudumu aisee hebu punguza lawama. Ndani ya kichwa chako tambua safari imefanyika moja tu! Na safari za majaribio zilikuwa 2 kama sikosei na katika safari za majaribio walipanda watu special kama mashaikh, mapadre, viongozi, waandishi wa habari na wasanii kina Steve Nyerere sasa hawa mkuu watatoa picha halisi ya wahuumu kupatia uzoefu kwa watanganyika wengine wanaohitaji huduma za hao wahudumu?
watu special????
 
Mbona unaangalia vitu unnecessary vipi kuhusu muda uliotumika kutoka point A Hadi B?
 
Mbona unaangalia vitu unnecessary vipi kuhusu muda uliotumika kutoka point A Hadi B?
toka hapo ukimani utembee dunia uone kama hiyo ni unnecessary. mmesharogwa na ccm mkajua dunia ni kama hapo ukimani.
 
Back
Top Bottom