KERO Baada ya kuanza kwa safari za SGR, hizi ni changamoto zake zilizojitokeza

KERO Baada ya kuanza kwa safari za SGR, hizi ni changamoto zake zilizojitokeza

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Changamoto ni hao waliokuwa wanaimba. Safari saa nyingine ndio muda wa kutafakari, Sasa nimetuliza akili unaanza kunipigia kelele eti ni msanii. Msanii kwenye Usafiri?
 
Baada ya SGR ya Tanzania kuanza safari zake kuanzia Dar mpaka Morogoro, licha ya ubora wa treni zetu, reli na vituo.

Wadau kadhaa wamelalamikia mapungufu kadhaa, wengi wakilalamikia mfumo mbaya wa tickets unaowagonganisha watu kwenye siti moja ndani ya behewa moja lakini pia huduma duni ndani ya treni kwa watoa huduma ambao wanaonekana kukosa mafunzo ya muda mrefu na uzoefu.

Je, kwa wengine ambao tayari wametumia hii huduma, mnaonaje? Changamoto zenu ni zipi? Vipi huduma ndani na nje ya vituo?

Naona hapo Tanzanite Terminal Bodaboda kama wote, hii nayo ni hali inayopaswa kuruhusiwa eneo hilo?

Karibuni.
Kero zilizopo stendi kubwa za mabasi kwa kuruhusu ma agent na wafanyabiashara tuombe ziishie huko ...hii SGR I wish iwe kama airport na hii itasaidia hata kulinda miundombinu na kuzingatia usafi.
 
toka hapo ukimani utembee dunia uone kama hiyo ni unnecessary. mmesharogwa na ccm mkajua dunia ni kama hapo ukimani.
Sasa kuna haja gani ya kunitusi? Mimi mahitaji yangu ni muda wa kukaa ndani ya chombo ndio kipaumbele changu
 
Sasa ndio kwanza treni imefanya safari moja wakuu kweli mnataka kusiwe na changamoto yoyote kweli?

Unawalaumu hao wahudumu hawana uzoefu, like serious mkuu?
Kwa maelezo haya tuamini vipi usalama wa reli na treni yenyewe sasa kwa sababu vyote ni vigeni

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sasa ndio kwanza treni imefanya safari moja wakuu kweli mnataka kusiwe na changamoto yoyote kweli?

Unawalaumu hao wahudumu hawana uzoefu, like serious mkuu?
Kwa mtu uliyezaliwa kwenye ''fyongo'' za ki-bongobongo ni lazima uone kuwa ni ''changamoto'' kwenye jambo lolote ni kawaida. Lakini nikuambie kuwa mambo hayatakiwi kuwa hivyo. Ukijindaa vizuri uzembe (ambao wewe unaona ni changamoto) hauwezi kutokea. Hebu niambie siti moja kupewa wasafiri wawili hapo kuna excuse gani kama siyo uzembe?
 
Sasa ndio kwanza treni imefanya safari moja wakuu kweli mnataka kusiwe na changamoto yoyote kweli?

Unawalaumu hao wahudumu hawana uzoefu, like serious mkuu?
SHIDA MOJA NA KUBWA YA waTanzania hatuna tabia ya kujali vitu na kutofuata taratibu kupokea mafundisho na kuyafuata!
Wengi wqnqchukulia mambo kiholela sana!

Na usishangae inaanzia juu kabisa kwa viongozi wetu.
Pia sheria kutowekw na kufuatiliwa kiukweli na penye kosa adhabu itolewe!
Wqtu hatuwezi kuchafua maeneo muhimu au kufanyia biashara kwenye maeneo hayo.
Swala la bodaboda linatakiwa kuwekewa sheria isizagae eneo la treni! Wawe na maskani maalim mbali na vituo abiria watawafuata hapo.

Hatukuwa makini na hili litajakuwa kama la DART amini!

Tunatumia pesa nyingi sana lakini uzembe ni mwingi zaidi
 
Masuala ya customer service hapa Tanzania ni zero kabisa, hata ufundishe hawa watu vipi bado wako useless tu. Dawa pekee ni mtu akiboronga anafutwa kazi na asiajiriwe popote pale hapa Tanzania. Watu wanafanya kazi kwa mazoea sana hata huko serikalini mambo ni yale yale tu.
Ni kweli ila wahudumiwa nao wapo ambao ni kisanga
Nmeshuhudia hili last weekend abiria anataka abend siti ya basi ilhali nyuma amekaa mjamzito
 
Sasa ndio kwanza treni imefanya safari moja wakuu kweli mnataka kusiwe na changamoto yoyote kweli?

Unawalaumu hao wahudumu hawana uzoefu, like serious mkuu?
Nadhani Yuko sahihi. Wahisika wachukue hatua. Mradi wa mabasi ya mwendo Kasi unajifia hivihivi hivyo lazima tuwe makini na huu mwingine maana na pesa zetu
 
Baada ya SGR ya Tanzania kuanza safari zake kuanzia Dar mpaka Morogoro, licha ya ubora wa treni zetu, reli na vituo.

Wadau kadhaa wamelalamikia mapungufu kadhaa, wengi wakilalamikia mfumo mbaya wa tickets unaowagonganisha watu kwenye siti moja ndani ya behewa moja lakini pia huduma duni ndani ya treni kwa watoa huduma ambao wanaonekana kukosa mafunzo ya muda mrefu na uzoefu.

Je, kwa wengine ambao tayari wametumia hii huduma, mnaonaje? Changamoto zenu ni zipi? Vipi huduma ndani na nje ya vituo?

Naona hapo Tanzanite Terminal Bodaboda kama wote, hii nayo ni hali inayopaswa kuruhusiwa eneo hilo?

Karibuni.
Baadhi ya wahudumu hawana nyashi, serekali ijaribu kulitazana hili asante.
 
Haya majamaa sidhani kama ni watumishi wa Umma,yalikuwa yanakusanya pesa cash kwa wale waliokosa kukata tiketi.
 

Attachments

  • Screenshot_20240616-185440.png
    Screenshot_20240616-185440.png
    2.8 MB · Views: 8
  • PXL_20240616_132330006~2.jpg
    PXL_20240616_132330006~2.jpg
    924.9 KB · Views: 7
Baada ya SGR ya Tanzania kuanza safari zake kuanzia Dar mpaka Morogoro, licha ya ubora wa treni zetu, reli na vituo.

Wadau kadhaa wamelalamikia mapungufu kadhaa, wengi wakilalamikia mfumo mbaya wa tickets unaowagonganisha watu kwenye siti moja ndani ya behewa moja lakini pia huduma duni ndani ya treni kwa watoa huduma ambao wanaonekana kukosa mafunzo ya muda mrefu na uzoefu.

Je, kwa wengine ambao tayari wametumia hii huduma, mnaonaje? Changamoto zenu ni zipi? Vipi huduma ndani na nje ya vituo?

Naona hapo Tanzanite Terminal Bodaboda kama wote, hii nayo ni hali inayopaswa kuruhusiwa eneo hilo?

Karibuni.
Mambo mengine yanarekebishika kadri muda, fedha na rasilimali zingine zitakvyoruhusu. Hakuna jambo liloanza likawa perfect 100% at start states, tuwape muda ndugu zetu wa SGR lkn pia ss tuwe sehemu ya uboreshaji kwa kadri hali na maarifa yetu itavyoruhusu.
 
Hizo sio changamoto Ni makosa ya kibinadamu yanarekebishika. Wewe subiri lianze safari za Dodoma mpaka Mwanza na Kigoma, yaani subiri lianze kuchukua ABIRIA waha na wasukuma, hakika usije ukajichuuza ukaingia vyooni maana wasukuma na waha Wana aleji na vyoo visafi. Waliokaa Kigoma wananielewa.
 
Baada ya SGR ya Tanzania kuanza safari zake kuanzia Dar mpaka Morogoro, licha ya ubora wa treni zetu, reli na vituo.

Wadau kadhaa wamelalamikia mapungufu kadhaa, wengi wakilalamikia mfumo mbaya wa tickets unaowagonganisha watu kwenye siti moja ndani ya behewa moja lakini pia huduma duni ndani ya treni kwa watoa huduma ambao wanaonekana kukosa mafunzo ya muda mrefu na uzoefu.

Je, kwa wengine ambao tayari wametumia hii huduma, mnaonaje? Changamoto zenu ni zipi? Vipi huduma ndani na nje ya vituo?

Naona hapo Tanzanite Terminal Bodaboda kama wote, hii nayo ni hali inayopaswa kuruhusiwa eneo hilo?

Karibuni.
Nasikia kuna watu wanaweka gogo bila kulipushi lisionekane kwenye ile sink nyeupe.
 
Baada ya SGR ya Tanzania kuanza safari zake kuanzia Dar mpaka Morogoro, licha ya ubora wa treni zetu, reli na vituo.

Wadau kadhaa wamelalamikia mapungufu kadhaa, wengi wakilalamikia mfumo mbaya wa tickets unaowagonganisha watu kwenye siti moja ndani ya behewa moja lakini pia huduma duni ndani ya treni kwa watoa huduma ambao wanaonekana kukosa mafunzo ya muda mrefu na uzoefu.

Je, kwa wengine ambao tayari wametumia hii huduma, mnaonaje? Changamoto zenu ni zipi? Vipi huduma ndani na nje ya vituo?

Naona hapo Tanzanite Terminal Bodaboda kama wote, hii nayo ni hali inayopaswa kuruhusiwa eneo hilo?

Karibuni.
Those maids were hand picked from counters. Almost all of them it is the first time to travel by train, wanashindwa na wale wa ndani ya mabasi.
 
Sasa ndio kwanza treni imefanya safari moja wakuu kweli mnataka kusiwe na changamoto yoyote kweli?

Unawalaumu hao wahudumu hawana uzoefu, like serious mkuu?
Na hawa wanaolalamika right from the day go wanajulikana.Hawakutegemea kabisa kwamba hii treni ingefanya kazi.Kumbukeni hata siku zile kile kichwa cha majaribio kilipoenda Morogoro.Hawahawa wenye midomo mirefu they made a lot of fuss.Unataka siku ya kwanza tu usione changamoto yoyote.Haiwezekani.Na kitu gani kilikupeleka huko.Siku ya kwanza ilikuwa ni kwa ajili ya watu wenye akili timamu wenye kuweza kuona,kufikiri na kutafakari.Wewe unatakiwa usafiri mwaka mmoja baada ya huduma kuanza rasmi.
Na sasa bado umeme wa kutoka Bwawa la Mwalimu Nyerere.Si ajabu hawahawa wakasema hata umeme wake umefifia bulb haziwaki vizuri.Mmeshafeli kwa hili.
 
Mtakuja kuja hapa baada ya mwaka ..ticket watatoa zile printed kabisa alafu wanachana kama mwendokasi.. Enzi za MaxMalipo mwendokasi walikuwa viZuri sana ..
 
Baada ya SGR ya Tanzania kuanza safari zake kuanzia Dar mpaka Morogoro, licha ya ubora wa treni zetu, reli na vituo.

Wadau kadhaa wamelalamikia mapungufu kadhaa, wengi wakilalamikia mfumo mbaya wa tickets unaowagonganisha watu kwenye siti moja ndani ya behewa moja lakini pia huduma duni ndani ya treni kwa watoa huduma ambao wanaonekana kukosa mafunzo ya muda mrefu na uzoefu.

Je, kwa wengine ambao tayari wametumia hii huduma, mnaonaje? Changamoto zenu ni zipi? Vipi huduma ndani na nje ya vituo?

Naona hapo Tanzanite Terminal Bodaboda kama wote, hii nayo ni hali inayopaswa kuruhusiwa eneo hilo?

Karibuni.
Bila kubinafsisha SGR kwa wazungu ni uongo!
 
Back
Top Bottom