Sasa mimi ndo napiga hizo video shooting ?Kama linatakiwa kupita na kusahauliwa mbona wanafanya video shooting na kupiga picha? Lengo ni nini?...
Hahahahaaaa mzee baba nimekubana pabaya. Wewe umesema kuwa familia ya marehemu inapaswa kusahau msiba na sio kuwatonesha kidonda mara kwa mara ndio maana nikakuuliza mbona hao familia wanafanya video shooting kama wanapenda kuusahau msiba?Sasa mimi ndo napiga hizo video shooting ?
Mimi nimetoa msimamo wangu alafu wewe unanihoji juu ya misimamo ya wengine inakuwaje mkuu.
Soja umemjibu kwa hekima kubwa sana huyo mwamba. Ngoja tuone atasemaje.Kama linatakiwa kupita na kusahauliwa mbona wanafanya video shooting na kupiga picha? Lengo ni nini?...
Askari wa miguu na kada muaminifu wa CCMUmepandishwa na askari wa miguu
Binadamu tunahitaji furaha ndio maana mzee Bashiru alipaswa kwenda kuwapa faraja the family of his predecessorbinadamu tunahitaji furaha na sio huzuni,Mungu aliyeweka watu waishi na wafe ana maana yake.
Kwani kama ninatafuta vya kuandika kuna ubaya boss?MTU amekaa amefikiri kaandika. Yaani tunatafutiza vya kuandika du!
Kama haumpendi mtu achana na kusoma mada zake. Kwanini unajitesa hivyo kijana?MTU amekaa amefikiri kaandika. Yaani tunatafutiza vya kuandika du!
JK anajitahidi sana kwa kiasi chakeKikwete kwa maisha nje ya ikulu anaongoza kwa ukaribu kwa jamii iliyo mzunguka