Baada ya kufanya utafiti wa kina juu ya rushwa, wizi na ufisadi ndani ya nchi, JPM alitaka kujenga CCM mpya, wazalendo njaa wa upinzani hawakumwelewa

Baada ya kufanya utafiti wa kina juu ya rushwa, wizi na ufisadi ndani ya nchi, JPM alitaka kujenga CCM mpya, wazalendo njaa wa upinzani hawakumwelewa

Mzalendo Uchwara

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2020
Posts
4,437
Reaction score
13,836
Iko hivi, nchi hii ili uwe mwizi na fisadi mwenye mafanikio basi ni lazima uwe na mafungamano na chama tawala na serikali yake. Yaani kama uko nje ya mfumo basi hakikisha unakula vizuri na walio ndani, wape 10% zao.

Vigogo wa chama na serikali ndio wamehodhi biashara zote kubwa kubwa, na wanafanya biashara hizo kwa njia zisizo halali.

Imagine wewe ni afisa wa serikali unapigiwa simu kuwa huo ni mzigo wa mheshimiwa fulani fanya wepesi. Ukileta ubishi basi kesho unajikuta umepigwa uhamisho kwenda chakechake huko. Anayekuja kuchukua nafasi yako lazima akae kwenye mstari!

Haya ni matokeo ya asili ya historia yetu ya mfumo wa kidikteta wa chama kimoja. Kwenye nchi zote zenye mifumo hiyo basi rushwa, ufisadi na wizi huwa unafanywa na vigogo wa chama na serikali. Mifano hai kwa sasa ni China na Urusi, mafisadi wao ni vigogo serikalini kama sisi huku.

Baada ya mzalendo JPM kuingia magogoni, kwanza alijaribu kupambana na wezi hao huko huko ndani ya chama, lakini baadae alishauliwa kwa usahihi kabisa kuwa ili kuivunja network ya waandamizi wezi basi ni lazima ajenge CCM mpya kabisa.

Na alitaka kuwavuta wazalendo kutoka nyanja zote kama vile vyama vya upinzani, taasisi za elimu ya juu, vyombo vya ulinzi na usalama N.K ili kuumaliza kabisa ule mfumo wa zamani.

Mwisho wa siku aliangushwa na watu ambao hakutarajia wangemwangusha, vyama vya upinzani! Kundi hili lilitumiwa na wana mtandao kuhujumu juhudu za JPM tena wengi wao bila hata ya wenyewe kujua.

Mwisho wa siku tuko hapa tulipo. Ndugu zangu wa upinzani ukiwemo Tundu Lissu haya mliyataka wenyewe. Natumaini mioyo yenu imejaa furaha namna nchi inavyoendeshwa kwa sasa.
 
Separation of powers checks and balance. Huyo mnayemuita shujaa alivikisa hata yeye alikuwa mwizi tuuu. Kwanini alijenga uwanja wa ndege kwao bila kupitia bunge?

Kwanini alimtoa Asad kuwa mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali? Tena baada ya kuhuji juu ya upotevu wa pesa?

Kwann alivibinya vyombo vya habari?

Tuache mihemko
 
separation of powers checks and balance. huyo mnayemuita shujaa alivikisa hata yeye alikuwa mizi tuuu. kwanini ALIJENGA UWANJA WA NDEGE KWAO BILA KUPITIA BUNGE?
KWANINI ALIMTOA ASAD KUWA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI? TENA BAADA YA KUHUJI JUU YA UPOTEVU WA PESA?
KWANN ALIVIBINYA VYOMBO VYA HABARI?
TUACHE MIHEMKO
System ovu haivunjwi kwa kuchekacheka na watu, huyo Asad kuna mengi hamyajui kumhusu. Usione akina Zitto walikuwa mbelembele kumtetea ukadhani walifanya vile kwa uzalendo.

Mtandao wa wezi umekita mizizi sehemu zote muhimu, na kiini chake ni ndani ya chama tawala. JPM alitaka kufanya reset ya mfumo mzima wa nchi. Wajinga hawakumwelewa.
 
Watanzania bwana sijui tuna mdudu gani kichwani. Magufuli aijenge CCM mpya halafu halafu wapinzani wasimwelewe?. Yani mtu anajenga chama chake halafu unataka wapinzani wafanyeje?. Ningekuona wa maana kama ungesema Wana CCM hawakumwlewa.

Mnapenda Sana lawama Kwa upinzani, mmeachiwa kila kitu Halmashauri, bunge na Vijiji / mitaaa ila mmeshindwa mmebakia upinzani hawakumwelewa Magufuli.

Magufuli ndio aliona wapinzani ndio maadui zake, siku ya kwanza tu ofisini akapiga marufuku mikutano na baadae kuharibu uchaguzi wa 2020 ambao hata baada ya kurudi kwenye Urais kwa dhulma hakudumu hata miezi minne akafa.
 
System ovu haivunjwi kwa kuchekacheka na watu, huyo Asad kuna mengi hamyajui kumhusu. Usione akina Zitto walikuwa mbelembele kumtetea ukadhani walifanya vile kwa uzalendo.

Mtandao wa wezi umekita mizizi sehemu zote muhimu, na kiini chake ni ndani ya chama tawala. JPM alitaka kufanya reset ya mfumo mzima wa nchi. Wajinga hawakumwelewa.
unajua ilikuwaje mpka JPM akawa raisi wa TZ? unaweza kukata tawi ulilokalia? alivyotaka kulikata ilikuwaje? yupo wapi? muangalie na yule mpuuzi wa kule kaskazini mnwisho wake utakuwajhe>
 
System ovu haivunjwi kwa kuchekacheka na watu, huyo Asad kuna mengi hamyajui kumhusu. Usione akina Zitto walikuwa mbelembele kumtetea ukadhani walifanya vile kwa uzalendo.

Mtandao wa wezi umekita mizizi sehemu zote muhimu, na kiini chake ni ndani ya chama tawala. JPM alitaka kufanya reset ya mfumo mzima wa nchi. Wajinga hawakumwelewa.
Nani alimzuia asiireset?.
 
System ovu haivunjwi kwa kuchekacheka na watu, huyo Asad kuna mengi hamyajui kumhusu. Usione akina Zitto walikuwa mbelembele kumtetea ukadhani walifanya vile kwa uzalendo.

Mtandao wa wezi umekita mizizi sehemu zote muhimu, na kiini chake ni ndani ya chama tawala. JPM alitaka kufanya reset ya mfumo mzima wa nchi. Wajinga hawakumwelewa.
Assad alikua anaongea kwa facts baada ya kukagua hesabu za serekali
Acha upotoshaji hakuna rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi kama magufuli
 
unajua ilikuwaje mpka JPM akawa raisi wa TZ? unaweza kukata tawi ulilokalia? alivyotaka kulikata ilikuwaje? yupo wapi? muangalie na yule mpuuzi wa kule kaskazini mnwisho wake utakuwajhe>
Aliibiwa kura na kina makamba, kinana et.al wazi wazi alafu eti anakataka awapige chini awaweke watu wake
 
Iko hivi, nchi hii ili uwe mwizi na fisadi mwenye mafanikio basi ni lazima uwe na mafungamano na chama tawala na serikali yake. Yaani kama uko nje ya mfumo basi hakikisha unakula vizuri na walio ndani, wape 10% zao.

Vigogo wa chama na serikali ndio wamehodhi biashara zote kubwa kubwa, na wanafanya biashara hizo kwa njia zisizo halali.

Imagine wewe ni afisa wa serikali unapigiwa simu kuwa huo ni mzigo wa mheshimiwa fulani fanya wepesi. Ukileta ubishi basi kesho unajikuta umepigwa uhamisho kwenda chakechake huko. Anayekuja kuchukua nafasi yako lazima akae kwenye mstari!

Haya ni matokeo ya asili ya historia yetu ya mfumo wa kidikteta wa chama kimoja. Kwenye nchi zote zenye mifumo hiyo basi rushwa, ufisadi na wizi huwa unafanywa na vigogo wa chama na serikali. Mifano hai kwa sasa ni China na Urusi, mafisadi wao ni vigogo serikalini kama sisi huku.

Baada ya mzalendo JPM kuingia magogoni, kwanza alijaribu kupambana na wezi hao huko huko ndani ya chama, lakini baadae alishauliwa kwa usahihi kabisa kuwa ili kuivunja network ya waandamizi wezi basi ni lazima ajenge CCM mpya kabisa.

Na alitaka kuwavuta wazalendo kutoka nyanja zote kama vile vyama vya upinzani, taasisi za elimu ya juu, vyombo vya ulinzi na usalama N.K ili kuumaliza kabisa ule mfumo wa zamani.

Mwisho wa siku aliangushwa na watu ambao hakutarajia wangemwangusha, vyama vya upinzani! Kundi hili lilitumiwa na wana mtandao kuhujumu juhudu za JPM tena wengi wao bila hata ya wenyewe kujua.

Mwisho wa siku tuko hapa tulipo. Ndugu zangu wa upinzani ukiwemo Tundu Lissu haya mliyataka wenyewe. Natumaini mioyo yenu imejaa furaha namna nchi inavyoendeshwa kwa sasa.
A Post By "Mzalendo Uchwara"
 
Aliibiwa kura na kina makamba, kinana et.al wazi wazi alafu eti anakataka awapige chini awaweke watu wake
Naweza kuthibitisha hili kwamba mwaka 2015 JPM alipata kura 54000 Dar es salaaam.
aliyeitwa mkombozi wa wanyonge akaja kuuwa hata vile visauti vichache vya kutetea haki za wachache tuangalie leo BUNGE LINA WAWAKILISI GANI WA CHAMA GANI NA KWANINI
 
Jiwe alikuwa anatengeneza mtandao wake wa wezi, na ndiyo maana alikuwa anawafukuza aliowakuta na kuweka watu wake.

Tena huyu jiwe ndiyo alikuwa mpuuzi zaidi maana alijenga serikali ya ukabila na ukanda na walifanya ufisadi mkubwa.

Bora alivyokufa
 
Baada ya kufanya utafiti wa kina juu ya rushwa, wizi na ufisadi ndani ya nchi, JPM alitaka kujenga CCM mpya, wazalendo njaa wa upinzani hawakumwelewa
Yaani rais na mwenyekiti wa chama tawala azuiwe kukijenga chama chake upya na chama kingine tena cha upinzani?
Halafu, kwani mwenyekiti wa sasa anazuiwa kuendeleza dhamira ya JPM? Au naye ametokea upinzani?
 
Yaani rais na mwenyekiti wa chama tawala azuiwe kukijenga chama chake upya na chama kingine tena cha upinzani?
Halafu, kwani mwenyekiti wa sasa anazuiwa kuendeleza dhamira ya JPM? Au naye ametokea upinzani?
Magufuli alikuwa na nia njema kwa nchi hii>? ati kwanini aliwaingiza matatizoni hata waliokuwa wanamuonesha pa kupita?
nani alimpiga risasi TUNDU LISU NA KWANINI?
 
Magufuli naye alikuwa mwizi mkubwa. Alipoambiwa na professor Assad kuna 1.5t imeliwa, akamtosa. Maswahiba wake kina makonda, polopole, kakoko, sabaya, mnyeti, etc na yule wa plea-bargain nimemsahau jina, wakawa mabilionea kwa muda mfupi. Rumors had it kwamba naye alificha maburungutu nyumbani, nyingine kwa kagame (kagame akadhulumu) na nyingine China.
 
Iko hivi, nchi hii ili uwe mwizi na fisadi mwenye mafanikio basi ni lazima uwe na mafungamano na chama tawala na serikali yake. Yaani kama uko nje ya mfumo basi hakikisha unakula vizuri na walio ndani, wape 10% zao.

Vigogo wa chama na serikali ndio wamehodhi biashara zote kubwa kubwa, na wanafanya biashara hizo kwa njia zisizo halali.

Imagine wewe ni afisa wa serikali unapigiwa simu kuwa huo ni mzigo wa mheshimiwa fulani fanya wepesi. Ukileta ubishi basi kesho unajikuta umepigwa uhamisho kwenda chakechake huko. Anayekuja kuchukua nafasi yako lazima akae kwenye mstari!

Haya ni matokeo ya asili ya historia yetu ya mfumo wa kidikteta wa chama kimoja. Kwenye nchi zote zenye mifumo hiyo basi rushwa, ufisadi na wizi huwa unafanywa na vigogo wa chama na serikali. Mifano hai kwa sasa ni China na Urusi, mafisadi wao ni vigogo serikalini kama sisi huku.

Baada ya mzalendo JPM kuingia magogoni, kwanza alijaribu kupambana na wezi hao huko huko ndani ya chama, lakini baadae alishauliwa kwa usahihi kabisa kuwa ili kuivunja network ya waandamizi wezi basi ni lazima ajenge CCM mpya kabisa.

Na alitaka kuwavuta wazalendo kutoka nyanja zote kama vile vyama vya upinzani, taasisi za elimu ya juu, vyombo vya ulinzi na usalama N.K ili kuumaliza kabisa ule mfumo wa zamani.

Mwisho wa siku aliangushwa na watu ambao hakutarajia wangemwangusha, vyama vya upinzani! Kundi hili lilitumiwa na wana mtandao kuhujumu juhudu za JPM tena wengi wao bila hata ya wenyewe kujua.

Mwisho wa siku tuko hapa tulipo. Ndugu zangu wa upinzani ukiwemo Tundu Lissu haya mliyataka wenyewe. Natumaini mioyo yenu imejaa furaha namna nchi inavyoendeshwa kwa sasa.
Aliua syndicate moja akatengeneza syndicate nyingine. Kila zama inakuwa na syndicate yake inayonufaika na utawala uliopo.
 
System ovu haivunjwi kwa kuchekacheka na watu, huyo Asad kuna mengi hamyajui kumhusu. Usione akina Zitto walikuwa mbelembele kumtetea ukadhani walifanya vile kwa uzalendo.

Mtandao wa wezi umekita mizizi sehemu zote muhimu, na kiini chake ni ndani ya chama tawala. JPM alitaka kufanya reset ya mfumo mzima wa nchi. Wajinga hawakumwelewa.
Mbona hakudhibiti wizi wa kura??
 
Back
Top Bottom