Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi, hata laigwanani hajazikwa na jenezaJiwe maiti yake ilivirigwa kwenye ngozi mbichi ya mbuzi.
Waislamu wakati mwingine sijui inakuwaje mnakuwa mnakosa kabisa ufahamu, hivi ulishawahi kujiuliza babu zako kabla ya ujio wa uislamu walizikwaje?Hapa naomba ndugu Zangu Malaria 2 FaizaFoxy na The Big Show mnipe Elimu kidogo kwanini Waislam hawavalishwi Nguo na Viatu wanapozikwa
Ni hilo tu maana mazishi ya General Ogolla yamenifunza kitu kikubwa sana
Mlale Unono
Mkuu, akizikwa zaidi ya hizo saa inakuwaje?Pia amezikwa ndani ya masaa 72 kwa matakwa yake pia wana familia wamefanya hivyo
Yanakuwa makosa kwa mujibu wa nani mkuu? Ukihukumu ujue unahukumu watu wa itikadi tofauti na yako, which is wrong. Kule Ghana wanaweka maiti kwenye freezer hadi mwaka, yaani Martin inaweza kuwekwa miezi minne kusubiri siku familia ikipanga kuzika.Kwani biblia inasemaje kuhusu mazishi?
Waislamu tunazika na Sanda na sio uchi kama mdau anavyodanganya hapo juu au ni mtoto asiejua kitu
Ni bora kuuliza
Pia amezikwa ndani ya masaa 72 kwa matakwa yake pia wana familia wamefanya hivyo
Mnaowazungusha mwezi mzima ni makosa na sio matakwa ya familia wala dini wala marehemu
Mungu awarehemu waliotangulia mbele ya haki
Acha bhana hzo afsaa mbwea tena!!!Una wivu mpaka kwa maiti we Mbwa!
Mkuu nakubaliana na wewe naongelea kwa mfano Rais wetu alizungushwa sana ila hilo lilikuwa ni takwa la serikali nadhani na sio mila wala diniYanakuwa makosa kwa mujibu wa nani mkuu? Ukihukumu ujue unahukumu watu wa itikadi tofauti na yako, which is wrong. Kule Ghana wanaweka maiti kwenye freezer hadi mwaka, yaani Martin inaweza kuwekwa miezi minne kusubiri siku familia ikipanga kuzika.
Tunachoshindwa kuelewa hapa ni kuwa huwezi kutoa hukumu kwa watu wenye itikadi, tamaduni na mila tofauti za yako. Unachotakiwa kufanya ni kuangalia na kuwaacha na mambo yao, hukumu sio yako.
Ni maombi yake mwenyewe ndio alisema hivyo kuwa azikwe within 72 hoursMkuu, akizikwa zaidi ya hizo saa inakuwaje?
Imepigwa... You missed a point..labda ulienda toi..🤣Hiyo kuzikwa bila Jeneza aliomba mwenyewe pindi akifa azikwe hivyo bila Sanda..Ni avalishwe nguo zake tu....Na siyo kwa Imani yoyote unayoeleza wewe mleta mada..
Kingine hajipigiwa Mizinga..Hilo pia hakutaka.
Jiwe maiti yaMkuu hapo umetupiga, ngozi ya mbuzi kweli ingemtosha mzee Magufufuli? Au walimvisha nusu?Jiwe maiti yake ilivirigwa kwenye ngozi mbichi ya mbuzi.
Okey..Imepigwa... You missed a point..labda ulienda toi..[emoji1787]
Ilimtosha au ni sehemu fulani ya mwiliJiwe maiti yake ilivirigwa kwenye ngozi mbichi ya mbuzi.
Mwenyewe alitaka azikwe kwa haraka ndani ya masaa 72 na azikwe kwa sanda kama waislamu ni huyo hapo mwanahabari wa kenya karipoti the sameKilichofanyika yule General kaburi limechimbwa futi 4 akavalishwa nguo za kawaida akatolewa kwenye sanduku na kulazwa.Waislamu hawana nguo nyingine usipokuwa sanda pia mwili unawekwa kwenye mwandani (chumba naweza kuita hivyo) Wengine wanaweka pale juu mbao au nyasi kama mbao hamna ni tofauti kabisa na alivyozikwa General.Sema huyo jamaa anatumia free Wifi Hapo Lumumba Kila kinachomjia kichwani hachuji anapost tu.
Mada za kipuuzi puuzi, kama kawaida yako.Hapa naomba ndugu Zangu Malaria 2 FaizaFoxy na The Big Show mnipe Elimu kidogo kwanini Waislam hawavalishwi Nguo na Viatu wanapozikwa
Ni hilo tu maana mazishi ya General Ogolla yamenifunza kitu kikubwa sana
Mlale Unono
Sikuujuwa ukweli huu. Asante kwa kunifumbua macho juu ya huyu jamaa.Sema huyo jamaa anatumia free Wifi Hapo Lumumba Kila kinachomjia kichwani hachuji anapost tu.
waislamu huwa wanavalishwa sanda, ambayo ni kitambaa cheupe kisicho na doa lo lote, na huwa maiti inazungushiwa mwili wote hauonekani ila uso. Inashonewa ile sanda kuzunguka mwili wa mtu vizuri. Sasa hicho kiatu unakwenda kukivaa wapi huko kaburini?Hapa naomba ndugu Zangu Malaria 2 FaizaFoxy na The Big Show mnipe Elimu kidogo kwanini Waislam hawavalishwi Nguo na Viatu wanapozikwa
Ni hilo tu maana mazishi ya General Ogolla yamenifunza kitu kikubwa sana
Mlale Unono
usilolijua ni vyema unyamaze kuliko kujidai ubingwa wa kipuuzi, hivi nani amekwambia waislamu wanazikwa uchi? La pili hivi wewe mkristo huko kuzikwa na suti na sanduku ndiyo mila yako? Kwani na wewe si umeiga kwa wazungu? Huko kijijini unakotokea babu yako alikuwa na suti kama siyo ule mtumba wa kutoka ulaya?Waislamu wakati mwingine sijui inakuwaje mnakuwa mnakosa kabisa ufahamu, hivi ulishawahi kujiuliza babu zako kabla ya ujio wa uislamu walizikwaje?
Na unafikiri walipungukiwa nini kwa kuzikwa vile?
Na unafahamu kwamba waislamu wanazikwa kwa tamaduni za kiarabu? Kwakuwa kule wenzetu kuna mchanga walizikana/wanazikana vile ili iweje? Au mmezuiwa hata kufikiri!!
Any way mtu yeyote akizikwa uchi(japo huyo hajazikwa uchi) anakuwa kazikwa kiislanu,
Waislamu wakati mwingine sijui inakuwaje mnakuwa mnakosa kabisa ufahamu, hivi ulishawahi kujiuliza babu zako kabla ya ujio wa uislamu walizikwaje?
Na unafikiri walipungukiwa nini kwa kuzikwa vile?
Na unafahamu kwamba waislamu wanazikwa kwa tamaduni za kiarabu? Kwakuwa kule wenzetu kuna mchanga walizikana/wanazikana vile ili iweje? Au mmezuiwa hata kufikiri!!
Any way mtu yeyote akizikwa uchi(japo huyo hajazikwa uchi) anakuwa kazikwa kiislanu,
DuhJiwe maiti yake ilivirigwa kwenye ngozi mbichi ya mbuzi.
Sio kweli mizinga 19 imepigwa.Hiyo kuzikwa bila Jeneza aliomba mwenyewe pindi akifa azikwe hivyo bila Sanda..Ni avalishwe nguo zake tu....Na siyo kwa Imani yoyote unayoeleza wewe mleta mada..
Kingine hajipigiwa Mizinga..Hilo pia hakutaka.