Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na wanahabari ambao hata mwanae wa kiume wakati wa kutoa salamu zake aliwachana kuachana na upotoshaji wa kifo Cha baba yake.Dada yake ndie alieleza mambo matatu ambayo kaka yake alimuelekeza:-Mwenyewe alitaka azikwe kwa haraka ndani ya masaa 72 na azikwe kwa sanda kama waislamu ni huyo hapo mwanahabari wa kenya karipoti the same
Kwani huyo jamaa ni muislam?Hapa naomba ndugu Zangu Malaria 2 FaizaFoxy na The Big Show mnipe Elimu kidogo kwanini Waislam hawavalishwi Nguo na Viatu wanapozikwa
Ni hilo tu maana mazishi ya General Ogolla yamenifunza kitu kikubwa sana
Mlale Unono
Wapo waliojenga chamber kama kabati ndani au kati kati ya jengo na ni maluum kwa kuzika.Mkuu nakubaliana na wewe naongelea kwa mfano Rais wetu alizungushwa sana ila hilo lilikuwa ni takwa la serikali nadhani na sio mila wala dini
Nimeona mila nyingi duniani kwa macho na zingine kusoma au video clips
Wapo wanaokatakata maiti na kuwapa ndege Tai kama chakula kwa sababu ardhi yao ni mawe matupu
Wapo wanaofukua maiti za wapendwa wao kila mwaka na kuwaleta nyumbani wakiwavisha suti au nguo zao huku wakisherehekea siku nzima na baadae kuwarudisha makaburini tena
Wapowanaozika kwenye matundu milimani
Siwezi kuwakashifu wala kukataa mila zao ila kuna binadamu wanawafanyia wafu tofauti na utaratibu wa mila wala dini na hilo ndio napinga boss
Kwa $200,000 tu mwili utawekwa milele kwenye freezer wakitegemea siku ya baragumu wataamka wakiwa kamili 😄Wapo waliojenga chamber kama kabati ndani au kati kati ya jengo na ni maluum kwa kuzika.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ukiishakufa umekufa tu. Haijalishi unazikwa kwa sanda au jeneza!Hapa naomba ndugu Zangu Malaria 2 FaizaFoxy na The Big Show mnipe Elimu kidogo kwanini Waislam hawavalishwi Nguo na Viatu wanapozikwa
Ni hilo tu maana mazishi ya General Ogolla yamenifunza kitu kikubwa sana
Mlale Unono