Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

siwezi sema ni mbinu za ccm, ila mm niachotaka kusema hapa..huyu shika, ni mtu makini sana na ambaye anatumiwa na watu wasiojulikana kwa mission isiyojulikana hadi sasa.

Kwa website aliyoitaja jana , ukiingia huko huwezi amini ukubwa wa kampuni yake ambayo kwa maelezo yake anasema iko nchi nyingi. Pia, pale chini kwenye hyo website kuna address yao..sina hakika km huko Moscow nako wanatumia P.O.BOX... Anyway.. kwa ufupi kuna maswali mengi kuliko majibu.

Ila hyo mission ilikuwa pia planned na hao YONO.. kwani walianza kutoa warning kuwa atakaye vuruga huo munada atawajibishwa kisheria..walijuaje km siyo kuwa nao walikuwa part of the mission?? Anyway itafahamika tu..km babu wa loliyondo. Time will tell.
P. O. Box hiyoo ipo Dunia Zima
 
Duuuh..., haya ndio aliyaeleza Dk. Shika, japo alisema kwamba waliomteka na kumkata vidole walikuwa wanataka dollar milioni 1.5 na sio kwamba walimtuhumu kwa uspy. Usalama wa taifa Tanzania wanakula pesa za bure tu, hii kazi uliyoifanya ilibidi wao ndio waifanye
Mi nadhani watekaji hawakuwa na lengo na hiyo fedha Bali waliitamka kulingana na bank transactions walizoona kwenye systems so they wanted to prove if Dr Shika anazo ili watekaji wakamilishe kazi ndo maana yule aliyeachiwa lindo aliuwawa baada ya kutorokwa na Dr Shika
 
Dah sasa kweli naamini ndiyo maana alisema mizigo yake iko njiani!
 
mi nishazoea miaka 5 sasa,

mambo ya kujiepusha ni kutojihusisha katika movement yeyote ile ya kisiasa,

pili usionekane una hela sana,

Tatu kaa mbali na mabinti wa kirusia maana wanaume wana wivu kila siku wanaua sana, kuna maeneo hupaswi kufika kama Saratov
Sokol Saratov
 
Dr. Shika ni mtu mkubwa sana ana uhakika na kile anakifanya
 
Duuuuuh kuna mengi sana nyuma ya huyu Dr, kuna wengne wanasema alkuwa agent wa Russia akaasi ili awe huru ndo akateswa mpk akatoroka mengne haya ya leo..... Ngoja tusubir na mengne
 
Hapa nimekubali kuwa jamaa anataka kufungua Ofisi zao Tanzania na that is truth na hela wanayo na bado anaendelea na kazi ya Uspy na kwa kuwa hata aina ya maisha anayoishi ni aina ya watu walewale ... Kama aliweza kwenda Malaga 2012 basi bado ni agent wa hao jamaa na he is very bright ..
Hata Paspport yake imeandikwa Dr. kwa hiyo anayehoji credibility ya Udr. wake ni kilaza tu.

Mleta mada usiachangie chochote ulichokifanya umekifanya japo hii ya Nyumba itamfanya Jamaa ajulikane alipo na kuuliwa kwa kuwa wenzake waliuliwa na huyo anayetaka website iseme vyote basi ndiyo wale wale wanaomtaka Marehemu kanumba afungwe eti kwa kubaka wakati hata Mahakama imemuona kuwa Lulu alishakuwa mkubwa toka alivyokuwa na umri wa miaka 12.
So that means Lulu alianza kugegedwa below 12 years old???
 
Haiwezi fahamika tena na Dr. amekwambia hao Polisi walienda kumpekua na walikuta na bank statement ya Kampuni yao sijui ya Dr which had alot of Money... na wakaondoka nayo na baada ya kukukotoa amesema the statement tu kwenye akaunti moja ilikuwa na hela equivalent na 20 Billion na akasema TRA wanted only 3Bill plus sasa kwa nini tunaendelea kujiuliza muonekano wake na ukweli wa kazi yake.

Pia kwenye mahojiano amesema aliweza kuwatoroka watekaji japo aliteswa sana .. Kwa aina ya uteswaji aliofanyiwa mtu pekee ambaye anaweza kutoroka ni Mtu mwenye mafunzo ya hali ya juu ambayo Dr ameyapitia. kwa hiyo na ukiangalia anavyoongea yupe well organized na anaakili zake zote timamu na kwa utani tu aliwatania kuwa Kapuku kwa lengo la kuwakejeli.
Maisha ya Spy siyo Maisha ya akina Bashite .. Spy wa kweli hajikwezi , na moja ya sifa kuu zao hawapendi kupitwa na taarifa yoyote na kama umemsikia na kufuatilia mienendo yake yeye na kijiwe cheenye magazeti ni uji na Mgonjwa. Bado kuna watu wenye vichwa ngumu kwenye hiloo.....

Hiyo ni hazina tosha ambayo Nyerere pekee ndiye anayejua thamani yake ila sisi wachumia tumbo tutaendelea kuwaza na kumuwaza na kumuwazua kwa kuwa hatujui misingi ya Usalama wa Taifa
Well said. Na kwanini Mambo sasa alipigiwa simu kutoka juu kuwa amwachie na ikawa ivo??? Dr Shika yupo well organized na anajua afanyalo
 
Mkuu huyu Mzee hajachanganyikiwa hata Chembe moja ..... Yaani hapo nitapingana na wewe Ukimsikia alivyowabana Polisi mpaka wameshindwa kumtuhumu na kuendelea kukaa naye mbali zaidi wamekubali ajidhamini bado unatia shakaa hapo????
Hahahahah alafu angekuwa bogus police wangempotezea Ila it looks kuna taarifa wanazihitaji kutoka kwake
 
Kumbe hii move ni kutaka kuelezea umma nini kinaendelea?
 
Kwa taarifa chache nilizonazo ni kuwa balozi zetu nyingi hazifanyi kazi zake inavyotakiwa hata raia wakipata shida ama kure-quest chochote huweza kuchukua miaka mingi bila kusikia majibu yoyote toka kwao. Ni kama zipo kwaajili ya mambo fulani fulani machache tu. Nadhani tunahitaji seriousness katika hili.
Kama hii ya SA kazi yao ni kukusanya mapato......tuuu[/QUOTE]
Wanakusanyaje mapato mkuu,??? Nakumbuka mdogo wangu alikwama wakamtoza R800.00 kumsaidia....walah dah
 
Back
Top Bottom