Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

P. O. Box hiyoo ipo Dunia Zima
 
Mi nadhani watekaji hawakuwa na lengo na hiyo fedha Bali waliitamka kulingana na bank transactions walizoona kwenye systems so they wanted to prove if Dr Shika anazo ili watekaji wakamilishe kazi ndo maana yule aliyeachiwa lindo aliuwawa baada ya kutorokwa na Dr Shika
 
Dah sasa kweli naamini ndiyo maana alisema mizigo yake iko njiani!
 
Sokol Saratov
 
Sokoro saratozisky

Soviet socialist republic akili zao wanazijua wenyewe
 
Dr. Shika ni mtu mkubwa sana ana uhakika na kile anakifanya
 
Duuuuuh kuna mengi sana nyuma ya huyu Dr, kuna wengne wanasema alkuwa agent wa Russia akaasi ili awe huru ndo akateswa mpk akatoroka mengne haya ya leo..... Ngoja tusubir na mengne
 
So that means Lulu alianza kugegedwa below 12 years old???
 
Well said. Na kwanini Mambo sasa alipigiwa simu kutoka juu kuwa amwachie na ikawa ivo??? Dr Shika yupo well organized na anajua afanyalo
 
Mkuu huyu Mzee hajachanganyikiwa hata Chembe moja ..... Yaani hapo nitapingana na wewe Ukimsikia alivyowabana Polisi mpaka wameshindwa kumtuhumu na kuendelea kukaa naye mbali zaidi wamekubali ajidhamini bado unatia shakaa hapo????
Hahahahah alafu angekuwa bogus police wangempotezea Ila it looks kuna taarifa wanazihitaji kutoka kwake
 
Kumbe hii move ni kutaka kuelezea umma nini kinaendelea?
 
Kama hii ya SA kazi yao ni kukusanya mapato......tuuu[/QUOTE]
Wanakusanyaje mapato mkuu,??? Nakumbuka mdogo wangu alikwama wakamtoza R800.00 kumsaidia....walah dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…