Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

SIKUFUNGUKA ZAID LAKINI ALITOROSHWA NA KIKOSI CHA MAREKANI KIMYA KIMYA NA HAKWENDA TZ TENA, ALIENDA DNIPRO UKRAINE
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hatari
 
[
Mkuu heshima kwako

Napata wasiwasi mkubwa sana kuhusu maelezo yako, unasema baada ya kufika Moscow leo sijajua leo unaamanisha leo 15th November au lini??

Pili umemtaja Elibariki Dishon kama Mtanzania aliyekupokea hilo pia linatia shaka kwa sababu zifuatazo. Mimi ninaishi Moscow na nina familia na tuna umoja wa Tanzania hapa ( Diaspora) na jina hilo ulilitaja sijawahi kulisikia labda kama huyo Elibariki amekuja Moscow mwezi uliopita.

Pili Dr baada ya kupatwa na masaibu ya kukatwa vidole alikimbilia ubalozi wa Tanzania Moscow, kipindi balozi akiwa Patric Chokala na alisaidiwa kuondoka, naweza kukutajia hata mtu aliyempeleka uwanja wa ndege( na ahata ubalozi haukuwahi kujua sababu ya masaibu yake) ila kwa ufupi ilionekana ana matatizo ya afya ya akili.

Kwa wanaojua utaratibu wa address za Russia utaona shaka kabisa na address za hiyo kampuni

Kama uko Moscow ingia inbox nikakuribishe kwangu tuzungumze


 
Kwa hili la dr shika ni kweli kabisa...huyu mzee ni hatar tupu..movie aliyoicheza kwenye mnada mzito kama ule alafu akaibuka kinara na talk of the day inadhihirisha huyu mtu sio wa kawaida..hata bunge anaweza lipua huyu
 
Ni kweli mkuu anaongea anachokiamini. hana chembechembe za uongo, mungu amsimamie afanikishe mpunga wake.
 
Mimi mazungumzo ya wazi hapa ndo nayataka, sikujata jina lake kamili kwa sababu za usalama wake maana habari hizo na nyingine alizotoa ni za kutisha,

pili usijidanganye kwamba watanzania Wote wako kwenye umoja huo, nenda pale chuo st Petersburg nenda Moscow mzima utakutana na watanzania, ambao hawako katika umoja huo,
Umoja huo au wa watanzania au watanzania wengi wanaoishi nchi mbali mbali huwa unakuwa engineered na balozi zetu ambazo ukimbilia sana michango , lakini pia watu mbali mbali wana mambo mengine ya privacy, hawataki kujiexpose kwenye umoja kwa sababu zao japo ina weza kumcost akipata tatizo lakin balozi zetu mtu akipata tatizo response haiwi nzuri mi nimeexperience suala hilo sana,

Hata hotel nilipo ngoja niame aisee maana
 
Aisee huyu mtu sio wa kupuuzwa na kama ni mtu wa hivyo anaweza asichukue muda maana inaonekana ana mengi sana ya watu na siri nyingi kama kuna uwezekano akae chini ya uangalizi maalumu
 
Ujamaa umewagharimu wale jamaa
 


mwongo kama wewe sijawahi kumwona

web site faki; haifai kabisa

maelezo ya dr niyauwongo ya kutudanganya tulioishia manzese,

money transfer kwa cheque? dunia gani.

kama mmepiga uwongo si muwe waledi? hata matapeli wa tunduma wanawazidi

vipi
 
sasa nimeamini wewe ni Muongo! ni kweli sio wote ambao wako kwenye umoja ila tunajuana wengi hasa walioakaa muda mrefu hapa. Watanzania ambao hupenda kujificha ni wale ambao hawana documents na maisha yao ya kuzuga na ujanja ujanja na na hata hao tunawafahamu. Tunafanya vikao hata watu wa St Peters huja moscow na umoja hauna michango!! acha fix na story ya kutunga, huyo ana matatizo mpelekeni hospital
 
mwongo kama wewe sijawahi kumwona

web site faki; haifai kabisa

maelezo ya dr niyauwongo ya kutudanganya tulioishia manzese,

money transfer kwa cheque? dunia gani.

kama mmepiga uwongo si muwe waledi? hata matapeli wa tunduma wanawazidi

vipi
Maelezo yangu umeona kuna sehemu nimetaja kunieleza yeye? Baada ya kumteka walimpa dawa ya kuyumbisha dish, sijasema mengi
 
kwa faida ya wote mkuu, waliokuwa wakienda miaka ile walikuwa wakifanya shughuli zipi ili tujifunze
 
Kati ya Wateja wote kamera zilikuwa kwa Dr.Shika. .
Itafahamika tu!!!!
 
Reactions: MC7
Spasiba dedyushka,dah!ila una moyo kweli,moscow kwa hao vishoka ndio chaka lako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…