Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Duh! Asante kwa taarifa za kina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazwazwa wapo wengi humu mkuu, muda wote wanawaza siasa, kila kitu wao ni siasa tu, sasa Dr. Shika na siasa wapi na wapi?mkuu mbona dr. hausiani na mambo ya siasa
sio kila unaingiza siasa. jaribu kuwaza na upande mwingine.Swali: Kwanini Dr Lous Shika amechanganyikiwa au ni mbinu za CCM ilitusahau tukio la Lissu?
Kawaida hyo....zamani madokta wakirudi toka Russia walikuwa wanarudi na mke na friji bongoKumbe ana mke wa ki-Russia
Kwa taarifa chache nilizonazo ni kuwa balozi zetu nyingi hazifanyi kazi zake inavyotakiwa hata raia wakipata shida ama kure-quest chochote huweza kuchukua miaka mingi bila kusikia majibu yoyote toka kwao. Ni kama zipo kwaajili ya mambo fulani fulani machache tu. Nadhani tunahitaji seriousness katika hili.[/QUOTE][QUOTE="...
WITO KWA BALOZI ZETU TUNAOMBA MUWASAIDIE HAWA WATANZANIA WANAOKUWA NA MATATIZO MUWASAIDIE
Tukiachana na Shika wapo watanzania wengi wanaokosa msaada wa karibu sana kutoka Kwa balozi zetu hizi ,
Ukisoma ukatafakadhi haitadhuru
mods mkiuacha uzi huu itapendeza
Tufanye nimemaliza
Britanicca
Kivip mkuu, mie nahis washajua alipo watamtrackIf all is true then nafikr maisha yake yamekuwa hatarin zaid kuliko mwanzo.
Dishi limecheza...halafu kama mchezo wake ndo huo wa kuanza kuspy watu kama warusi, lazima wamsambaratishe. Jamaa hawataki mchezo na nchi yao.Swali: Kwanini Dr Lous Shika amechanganyikiwa au ni mbinu za CCM ilitusahau tukio la Lissu?
Ebo! Wewe kumbe ulimchukulia poa sanaKumbe ana mke wa ki-Russia