elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Kweli mkuu habari yake hata mimi nimeanza kuitilia shaka baada ta kuleta hiyo account ambayo imefunguliwa juzi na ina picha moja manipulated kwa photoshop.bro.unapost tweets ya mtu aliyejitungia akaunt juzi kujiita dr shika,.yet umeleta habari juu hapo ambayo imewafanya watu wafikirie
mbona naanza kuona kama unaleta mixmixtape
Cc Britannica[
Mkuu heshima kwako
Napata wasiwasi mkubwa sana kuhusu maelezo yako, unasema baada ya kufika Moscow leo sijajua leo unaamanisha leo 15th November au lini??
Pili umemtaja Elibariki Dishon kama Mtanzania aliyekupokea hilo pia linatia shaka kwa sababu zifuatazo. Mimi ninaishi Moscow na nina familia na tuna umoja wa Tanzania hapa ( Diaspora) na jina hilo ulilitaja sijawahi kulisikia labda kama huyo Elibariki amekuja Moscow mwezi uliopita.
Pili Dr baada ya kupatwa na masaibu ya kukatwa vidole alikimbilia ubalozi wa Tanzania Moscow, kipindi balozi akiwa Patric Chokala na alisaidiwa kuondoka, naweza kukutajia hata mtu aliyempeleka uwanja wa ndege( na ahata ubalozi haukuwahi kujua sababu ya masaibu yake) ila kwa ufupi ilionekana ana matatizo ya afya ya akili.
Kwa wanaojua utaratibu wa address za Russia utaona shaka kabisa na address za hiyo kampuni
Kama uko Moscow ingia inbox nikakuribishe kwangu tuzungumze
We unaamini angekuwa agent kama mnavyotaka kutuaminisha, angekuwa mjinga kiasi hicho kujiexpose ajulikane alipo wakati madai ni kwamba anatafutwa aliwatoroka KGB?ni ngumu kwa marekani na raia wake kupenetrate na kufanya ujasusi urusi pasipo kugundulika kirahisi, Zamani sana wamarekani walitumia watu kutoka mataifa mengine kwende kusoma urusi na kufanya uspy huku wakiwa sponsored kwa siri na USA, pia CIA huwanunua warusi wenyewe wa KGB na wengine uraini wasiokubaliana na mienendo ya kirusi, CIA pia hutumia mbinu hizi kwa ISIL na ALQUEDA au hata ALSHABAB kwa kupandikiza mujahidina wenzao kutoka mataifa tofauti tofauti na kuiba information..
Agent yeyote ambaye si mzawa wa taifa husika ni rahisi kutumika na kutupwa maana anaweza kujua siri za adui lakini siri za mabosi wake asizijue, Huyu Dr kama alitumika na CIA aliiijua Urusi lakini hakuijua USA hivyo hawezi kuwa kitisho kwa USA bali ni asset kwa KGB maana anaweza kujua baadhi ya informer ndani ya KGB na Urusi..
CIA agent ambaye ni raia wa USA amesoma, kukulia USA na uagent ameuanzia USA ni rahisi kujua ya USA kuliko agent asiye mzawa au aliyepandikizwa, hawa huwa na mipaka..
............hasa ukizingatia "taasisi fulani" kuna mgongano wa kimaslahi.......mara paap!!,magu kamteua docta shika kuwa mkuu wa taasisi fulani serikalini.
Ficha ujinga wako ili busara zitawaleNdiyo mbinu zenu CCM
hahaha huyu nnimemshangaa nikauliza ni nani hasa/?bro.unapost tweets ya mtu aliyejitungia akaunt juzi kujiita dr shika,.yet umeleta habari juu hapo ambayo imewafanya watu wafikirie
mbona naanza kuona kama unaleta mixmixtape
wabongo tunapenda vitu vyepesi vyepesi ..na udaku udakuWe unaamini angekuwa agent kama mnavyotaka kutuaminisha, angekuwa mjinga kiasi hicho kujiexpose ajulikane alipo wakati madai ni kwamba anatafutwa aliwatoroka KGB?
Yule jamaa na ulinzi wote aliyowekewa na waingereza bado walimuua kwa kumwekea sumu ya mionzi kwenye vitu alivyokuwa anatumia ije kuwa huyu Dr ambaye yupo yupo tu?
Hii ni chai na kama kweli angekuwa spy asingekuwa reckless kujiexpose wakati anatafutwa.
Watu mnapenda hizi story tu
huyo ni muhuni tu wa mtandaoni aliyeamua kuunda akaunti feki.hahaha huyu nnimemshangaa nikauliza ni nani hasa/?
Kaja na thread nyingine kuhusu acc ya dr ya twitter yani picha tu za kufojiwabongo tunapenda vitu vyepesi vyepesi ..na udaku udaku
No wonder Babu wa Loliondo aliwadaka watanzania wote kiakili
no siyo seriouse mi nimeitupia tu hapo kuchangamsha ndo maana sijaiweka juuhuyo ni muhuni tu wa mtandaoni aliyeamua kuunda akaunti feki.
nashangaa sana wewe kuichukulia serious na kuileta humu
Huna mkiaFicha ujinga wako ili busara zitawale
Hujui kuhusu website ungeuliza kwnz.... Ukiwa na website sharti uwe unai-update mara kwa mara ndio itaendelea kuwa hai otherwise ita-decline sasa dr ana muda gani toka shughuli zake za kampuni zisimame? Toka sijui mwaka 2000 mpk leo unadhani website itakuonesha kitu gani?Kweli mkuu habari yake hata mimi nimeanza kuitilia shaka baada ta kuleta hiyo account ambayo imefunguliwa juzi na ina picha moja manipulated kwa photoshop.
Sasa kwa style hii si jamaa anatupiga kamba na kutaka tuamini alichoandika hata kwa kutuletea references za uongo
We jamaa unaongea kitu ambacho we ndiyo hujui.Hujui kuhusu website ungeuliza kwnz.... Ukiwa na website sharti uwe unai-update mara kwa mara ndio itaendelea kuwa hai otherwise ita-decline sasa dr ana muda gani toka shughuli zake za kampuni zisimame? Toka sijui mwaka 2000 mpk leo unadhani website itakuonesha kitu gani?
Wewe mtu wa ajabu sana jaribu kuongea na mtanzania yeyote aliyesomea urusi miaka ya themanini akupe data vizuri,ukweli ni kwamba enzi za nyerere watanzania na urusi mahusiano yalikuwa kwenye next level na KGB au CIA wanatumia mpaka mapadri,mashehe,drug dealers sembuse mwanafunzi wa chuo.yaani watu wakkisikia issues za CIA,KGB wanakuwa fascinated,mass hysteria kabisa hii embu jiheshimuni bana,yaani CIA itumie watanzania na wakenya walioingia kama wanafunzi kuipeleleza Russia?Russia??????Russia? Get the hell outta here,hapa bongo kwenyewe wanakuja kwa style za peace corps na issue nyingine za ku volunteer au kutumia watu wlaio katika embassy zao,naomba msome ESPIONAGE STORIES especially za cold war uone jinsi hawa mabwana walivyokuwa wana operate...
Huyu mzee hakuna anayekataa ni genius lakini ameongea uongo muda mrefu mpaka ameanza kuamini uongo and he stands by it
Tafuta hata mtu anayedanganya umri,akiurudia uongo mara nyingi yeye mwenyewe huanza kuuamini.
Jana nime search majina ya hao ma executives wa hiyo kampuni anayosema ni yake,hahahahahahahaha...JUST HAHAHA
For your information,CIA hawana historia ya kuwatupa watu wao kirahisi hata kama ni MOLES ndiyo maana kipindi cha cold war wengi kama Oleg kalugin wali defect to USA NA Kutunzwa vyema,ilihali upande wa pili walio defect from CIA to KGB kama KIM PHILLBY waliishia pabaya hadi kufa sababu Russians hawajali
NARUDIA TENA,HAIWEZEKANI CIA AU NSA WAKAJUA KUNA MTU ANA SIRI ZAO KAJIFICHA TABATA NA HALI ILE YA MAISHA ,SINCE 2000 MTU YUPO TANZANIA KAPIGIKA NYIE MNA FASCINATE TU HAPA,UNAAMBIWA BABA YAKE KAFA IN 2005 HAKWENDA KUZIKA INGAWA ALIKUWA DAR NA HADI LEO AKIPIGA SIMU NYUMBANI ANAWAAMBIA WAMSALIMIE BABA
CAMON GUYS. SINYWI HII CHAI YA RANGI. NOOOOOOOOOO
Swali ni hili, ni agent mjinga kiasi gani afanye tukio litakalo muexpose na KGB wajue aliko?We
Wewe mtu wa ajabu sana jaribu kuongea na mtanzania yeyote aliyesomea urusi miaka ya themanini akupe data vizuri,ukweli ni kwamba enzi za nyerere watanzania na urusi mahusiano yalikuwa kwenye next level na KGB au CIA wanatumia mpaka mapadri,mashehe,drug dealers sembuse mwanafunzi wa chuo.
Haaaaaa!Alipigiwa cm kutoka juu???
We haya wee.......rudi umsome shika na akili yako umeifunga sana....tukio la kutekwa limetokea 2004..then 2005 akaja bongo akaa mda mfupi kisha akatokomea zake spain mpaka 2013 akarudi tena bongo...anakiri wazi kuwa wazaz wake walishakufa wote na hivyo hana haja ya kwenda kwao...
swali dogo nikulize ..kama alikamatwa na kutekwa na panyaroad wa russia..kwa nini alihisi wanamfatilia hata baada ya kurudi tz ..na kwa nini alitoroka kwenda spain..?
kwa mateso yale ungekuwa wewe ungekufa chap..lakini the legend dr shika alikuwa na mbinu za kutegesha mguu na pipa lisifunge vizur.. na katikati ya mateso yale akili yake ilikuwa inafanya kazi vizuri mpaka akakumbuka mafunzo aliyopea kama hayo ya kuwa mtu akiwa amelala ukimwangalia machoni anaamka..na kubana pumbu ili mbwa wasibweke...lakini pia unadhan nguvu ya kuruka ukuta huku vidole baadhi vimekatwa ni kazi ndogo na majeraha mwili mzima??..kwa kifupi the guy is far ahead of you and very intelligent...period