Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Miongoni mwa watu ambao hawajachukulia mda ni huyu boya
 
Mmh haya mambo ni mkanganyiko hatupaswi kupinga sana au kukubali sana maana Balozi aliyemsaidia kasema hakuwa na lolote isipokuwa alitekwa na Majambazi wakitaka MAPESA yake aliyokuwa anajigamba kuwa anayo. Mm yangu
macho na masikio

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Unamuongelea Mudi Bilali?

Anyway ..to cut the story short ...hao jamaa wako wengi sana.nawafahamu baadhi yao.
Kumbe. Ila makamba wanamuonea

Kuna mzee mmoja wa uko bk amekaa.sana uswis
Kuna mzee wa nuclear
Kuna mzee wa vitalu
Kuna Byansheko
Wengi
 
Hiki kizazi cha vikaptura na jinsi model wanafkiri kuangalia movies za ki spy wanajua kila kitu kinachoendelea katika ulimwengu wa kijasusi huenda dr shika alikua ni asset ya cia kuna vitu sio vya kubeza hasa kampuni ikijihusisha na petroleum na agriculture

Huyu mzee sio wa kumbeza wala kumuweka in ndani wenzetu huwa wana play longshot games huwezi amini
 
Aiseeeeeee ndo umenifungua leo akli yngu kumbe ndo hali halic bhna
 
Huyo si Franco yupo na Dr
 
Swali: Kwanini Dr Lous Shika amechanganyikiwa au ni mbinu za CCM ilitusahau tukio la Lissu?
Akili zako wewe inatakiwa ukapimwe kwani MTU amekizuia kuendelea na mjadala wowote mbona kuna mikumbwa inaendelea licha ya hili sakata la Dr mwenzangu
 
kagasheki hapana..sio

mudi bilali...likely

nyalandu true dat

kuhusu huyu take it from me
Pamoja na yule maswi
Na huyu aliyetoka.. Akaenda kule...na sasa tena katoka kule..ila hataki tena kwenda popote?
 
Na huyu aliyetoka.. Akaenda kule...na sasa tena katoka kule..ila hataki tena kwenda popote?
yule hapana.amekosa tu dili na njaa zimekuwa nyingi..nenda pale kwa kina mlatie utamfahamu huyo jamaa vizuri
 
yule hapana.amekosa tu dili na njaa zimekuwa nyingi..nenda pale kwa kina mlatie utamfahamu huyo jamaa vizuri
😀 njaa... Vyuma vimeishiwa grisi ... Naona kapi na nzuri zinaendelea kujitenga.. Muda ni tiba!
 
Niliangalia na kusikia maelezo ya Dr. Shika youtube alivyoelezea kutekwa kwake na kukimbia nchi na jinsi malipo yake yanavyoshughulikiwa, kwa kweli That guy anachoongea kina ukweli by 90%.

Nashauri ubalozi wa Tanzania nchini Urusi wawasiliane na ubalozi wa Marekani hukohuko kuconfirm madai ya Daktari ili kama ni kweli haki yake ipatikane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…