britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
- #641
Ni swali muhimTungeweza kujua baada ya masomo chanzo cha mtaji Mkubwa wa kuanzisha kampuni aliweza kupata wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni swali muhimTungeweza kujua baada ya masomo chanzo cha mtaji Mkubwa wa kuanzisha kampuni aliweza kupata wapi
Nani?We mwenyewe spy,duuuuuuh[emoji53]
Mkuu kwenye mahojiano alisema akijua kama lugha ya nyumbani.wale watekaji aliongea nao kirusiHivi kuna hata mwandishi mmoja aliyetaka kujua kama huyo anayeitwa Dk. Shika anajua lugha ya Kirusi?
Kumbe. Ila makamba wanamuoneaUnamuongelea Mudi Bilali?
Anyway ..to cut the story short ...hao jamaa wako wengi sana.nawafahamu baadhi yao.
kagasheki hapana..sioKuna mzee mmoja wa uko bk amekaa.sana uswis
mudi bilali...likelyKuna mzee wa nuclear
nyalandu true datKuna mzee wa vitalu
kuhusu huyu take it from memakamba wanamuonea
hahahahahahah.dah...ivi product za kampuni yake mojawapo inaitwa nini vile?ikijihusisha na petroleum na agriculture
Huyo si Franco yupo na DrLancefort Ltd ni kampuni iliyosajiliwa nchini Russia miaka kadhaa iliyopita, na kwasasa haifanyi kazi kwa kipindi kirefu baada ya watendaji wake kupotea gafla kwa mazingira ya kutatanisha.
Kutoka mjini Rostov on don napokaa mpaka Moscow ni mwendo mrefu kidogo ambao ni km 1200 na zaidi, kwa mwendo wa trein ni 5hrs,
nimefika mjini moscow na kuanza kuuliza hasa legality ya kampuni hiyo ndani ya moscow na Urusi kwa ujumla, nimefanikiwa kupata maelekezo ya kukutana na Mtanzania mmoja (Elibariki Dishon) anaisha mtaa wa Tverskaya Street, ambaye kanikaribisha na kuanza kufanya uchunguzi wangu, nikaamua kwanza nipate hifadhi ndani ya hotel ya Sputnik.
Baada ya kwenda kwa watanzania wanaoishi huku nimegundua huyu mzee alipata matatizo kwa kuhisiwa ni spy wa Marekani, ambaye kapandikizwa kutokea Afrika, na amekuwa akitafutwa na kufuatiliwa nyendo zake zote kuanzia kwenye kampuni yake na nyumbani alipokuwa anaishi.
Mke wake bi Luisa Kvonkov ndo alibanwa na kueleza kwao ni Tanzania Magu, Lakini inasemekana kwamba kuna kampuni kubwa la kimarekani aidha shirika la upelelezi ambalo liko nyuma ya kampuni ya Lancefort, ndio chanzo cha kutiwa msuko suko uko alikokuwa anamiliki kampuni hiyo.
Shirika la Lancerfort limekuwa likimiliki asset kubwa nchini urusi na kwingineko duniani wakati chanzo cha hela yao hakijulikani, hivyo moja kwa moja kuhisiwa ni miongoni mwa mashirika ma spy ambao wafadhili wake ni wamarekani ambao wana uhasama wa mda mrefu na Urusi.
Wametelekeza mali nyingi kukiwemo na private jets na magari ya thamani.
Kupitia wapelelezi wa ndani ya urusi ambao walilichunguza shirika ambalo inasemekana rais wake ni Dr Luis Shika kwa kipindi kile, waligundua mawasiliano ya karibu na baadhi ya mashirika yafuatayo AMNESTY INTERNATIONAL, CIA, FBI , HGRE, OKLE, ambayo mara nyingi huwa ni waanzilishi wa upelelezi katiKa nchi nyingi,
Baada ya kugundua hayo walitekwa na kuwekwa mateka na wawili kuuwawa, mmoja wapo akiwa mkenya Edward Koinange na mwingine wa Siera Leone Yunusu AKhbu, Na wawili kukimbilia Tanzania lakini Rais wao akapelekwa hospitali baada ya kuwatoroka akiwa ameumizwa vibaya, hakutibiwa Urusi alitoroshwa kinyemela mpaka mjini Dnipro Ukraine, na kutoroshewa Tanzania,
Baada ya kufika Tanzania hakuenda moja kwa moja kwao akajificha mjini Dar es salaam, (Haya ni maelezo kwa mujibu wa mtu wake wa karibu)
Baadae kutorokea Uhispania Mjini Malaga , amekaa malaga miez 8 Na kurudi Tanzania,
Mwaka 2012 wakaidhinisha malipo kutoka marekani ambayo bado yapo kwenye mlolongo wa
kukamilisha mchakato,
WITO KWA BALOZI ZETU TUNAOMBA MUWASAIDIE HAWA WATANZANIA WANAOKUWA NA MATATIZO MUWASAIDIE
Tukiachana na Shika wapo watanzania wengi wanaokosa msaada wa karibu sana kutoka Kwa balozi zetu hizi ,
Ukisoma ukatafakari haitadhuru
Tufanye nimemaliza
KUNA MENGI SITAYAANDIKA HAPA KUTOKANA NA KUJUA KWAMBA KUMBE HII ISHU NI CRUCIAL , NA KULINDA USALAMA WA DR,
PIA YATAENDELEA KUWA KUMBUKUMBU ZANGU NA KUZIPELEKA MAALI ZITAITAJIKA KWA KUMSAIDIA DR,
USIKURUPUKE KUKOPI HABARI HII, MAANA CODES ZOTE NINAZO MIMI UTASHINDWA KUITETEA,MTU PEKEE MWENYE UWEZO WA KUWEKA EVIDENCE NI MIMI, IKITOKEA UKAKOPI SEMA UMEITOA WAPI,
Britanicca
![]()
Akili zako wewe inatakiwa ukapimwe kwani MTU amekizuia kuendelea na mjadala wowote mbona kuna mikumbwa inaendelea licha ya hili sakata la Dr mwenzanguSwali: Kwanini Dr Lous Shika amechanganyikiwa au ni mbinu za CCM ilitusahau tukio la Lissu?
Mkuu njoo huku Biharamlo ni mwendo wa lites na lager kila weekendAisee hadi raha, na mie natamani niwe hapo Urusi ninyweeeeeeeeeeeeeeee vikali mpaka basi.
Na huyu aliyetoka.. Akaenda kule...na sasa tena katoka kule..ila hataki tena kwenda popote?kagasheki hapana..sio
mudi bilali...likely
nyalandu true dat
kuhusu huyu take it from me
Pamoja na yule maswi
yule hapana.amekosa tu dili na njaa zimekuwa nyingi..nenda pale kwa kina mlatie utamfahamu huyo jamaa vizuriNa huyu aliyetoka.. Akaenda kule...na sasa tena katoka kule..ila hataki tena kwenda popote?
😀 njaa... Vyuma vimeishiwa grisi ... Naona kapi na nzuri zinaendelea kujitenga.. Muda ni tiba!yule hapana.amekosa tu dili na njaa zimekuwa nyingi..nenda pale kwa kina mlatie utamfahamu huyo jamaa vizuri