unruly gang
Member
- Nov 17, 2017
- 45
- 32
Cha kujiuliza ni why america wako nyuma ya dokta shika mpaka leo wakati tz haina mpango naekama vile ni agent wa CIA nikiunganisha dots
maana tuliambiwa/kuna uzi ulisema ubalozi wa tanzania ulimtelekeza lakini ubalozi wa marekani ulimtembelea akiwa hospitali kama sijakosea
Huyu dokta kuna vitu hatuweki wazi sana...Hili la kutoroka huenda alitoroshwa na hao waliompa msaada wa ndegeAisee, maneno mengi yanaungana na ukweli, ila in reality unawezaje kuwatoroka KGB kindezi ndezi kama alivyosema yeye?
Hii stori niliisoma majuzi kati kabla dokta hajatoka polisi nikajua fiksi...Lakini alipohojiwa amepita mule mule yawezkana kuna siri kubwa anayoHakika kazi bado ipo Sana
Wamarekani bado wako nyuma yake yawezekana kabisa huyu alikuwa undercover informer wa marekaniNdio maana ana uhakika wa kununua ile mijengo,kumbe hela iko kwenye process!atapata hela yake,wamarekani wakisha kutumia kwenye mission kubwa kama hiyo lazima wakuwezeshe...
HIi stori ilitoka kabla dokta hajatoka polisi...Lakini imeenda sawa na mahojiano aliyofanyiwa...Kuna kitu nyuma ya huyu mtuNaanza kupata mwanga kwa hili tukio na huyu mtu..kuna mambo yanafanyika hapa duniani ukisimuliwa unaweza dhani ni hadithi za juma na uledi..
Hivi tukio la Lisu bado lipo?Swali: Kwanini Dr Lous Shika amechanganyikiwa au ni mbinu za CCM ilitusahau tukio la Lissu?
Sio kila kitu siasaMmh kila jambo mnachomeka siasa tu.
Kweli kabisa wanaenda kule wanaonekana kuwa magenious wanalishwa sumu na kufanikisha kazi za wengine badala ya kulisaidia taifaHili bashite hawezi kuamini kabisa ila jazia nyama Kwa kuweka na picha
Cold war iliwaumiza wengi mm luis nakubaliana naye 100%
Lakni balozi zetu za kiafrika suala kama hili hawawezi kuliona hata kidogo
Balozi zetu zenyewe huko marekani haziko salama nyendo zao zinafuatiliwa kila kukicha hapa kwetu mabalozi wao wanakula shumbwela na kuonekana miungu watu umasikini na ushamba utatumaliza afrika
Nasema tena Kwa kujiamini Tanzania hakuna spy anaweza kupandikizwa na kulifanikisha suala la shika tuache maigizo .shika apambane na umaarufu wake mungu ammbariki sana aendelee kuwa hai mpaka hapo atakapo ipata mizigo yake
Watu kama akina shika ni wengi na hili kosa alilifanya Mwl.J.K.Nyerere
Aliuamini sana mfumo wa kikomunist mpaka akawa anatoa vijana wetu kwenda nje bila document zozote
Inasemekana alikuwa nae lakini ukiwa jasusi huwezi kuwa karibu n familia coz utawasababishia matatizoKumbe ana mke wa ki-Russia
ana contact za huyu babu maana maneno ya kila mtu na lake mi huwa siyaamini.kama vile ni agent wa CIA nikiunganisha dots
maana tuliambiwa/kuna uzi ulisema ubalozi wa tanzania ulimtelekeza lakini ubalozi wa marekani ulimtembelea akiwa hospitali kama sijakosea
Huenda kwa sasa amehakikishiwa kuwa mambo ni shwari kutoka kwa wenye kazi yao ndo maana mpaka sasa amekuwa free kutoka kwenye mediaIf all is true then nafikr maisha yake yamekuwa hatarin zaid kuliko mwanzo.
Hyo hela iko kwa wamarekaniWarusi waache mambo yao ya ajabu,wampe hela zake aje kuwekeza Nyumbani viwanda 30
Taratibu watu wanamuelewa hata waliompuuza mwanzoDr Shika nilivokuwa namfikiria kaniprove wrong kabisa baada ya kufatilia story yake hasa kwenye mitandao ambayo ni mahojiano ya ana kwa ana mzee ni mkweli na hana chembechembe za ubabaishaji ...very smart anajua anachokiongea na ndo kimenifanya niamini maneno yake ....
All in all i can sum up "ni maisha " tu kuchange ndo kumemfikisha hapo alipo
Respect to you Dr Shika
Huyu mzee kuna ukweli ndani yake kuhusu uspy...Yawezekana kabisa alikuwa anatumikahUYU MZEE hizi story ana hallucinate atakuwa aliwapa hizo hadithi hao wenzake huko Russia,CIA FBI hawawezi kumtumia mtu kama yule wakawasiliana naye direct lazima awe na HANDLER wa ku exchange infos,sio wajinga eti waache traces za kijinga hivyo.
Htafutwi na FBI bali inasemekana alikuwa anatumika nao alipokuwa urusi kitendo kilichopelekea shirika la kijajusi la nchi hiyo KGB kuwateka na kwenda kuwapa mateso makali kupelekea mpaka wenzake kufarikiChai tuu hii kwa hiyo vingunguti ndio kajificha FBI wasimpate...
Dk shika hapa katufumba kitu haiwezekani watu wakuteke wanataka fedha wakuponde ponde vidole, wakupige shoti za umeme, wakung'oe meno kwa plaizi,wakuvunje mbavu na kukuharibu sikio...Huyu alikuwa anabanwa kuhusu mambo aliyohisiwaDuuuh..., haya ndio aliyaeleza Dk. Shika, japo alisema kwamba waliomteka na kumkata vidole walikuwa wanataka dollar milioni 1.5 na sio kwamba walimtuhumu kwa uspy. Usalama wa taifa Tanzania wanakula pesa za bure tu, hii kazi uliyoifanya ilibidi wao ndio waifanye
Dokta hawezi kufunguka vyote lakini mi nahisi alisaidiwa na hao wamarekani waliomsaidia ndege ya kumtoroshaunataka atoe siri za kambi mkuu? awezi kueleza in details
Kuna vitu vingi kuhusu dokta nilivyovisikia na ninavyoendelea kuvisikia vina make sense sanakama ni kweli wengi wataibika,has a yule aliesema et anaishi kama mtu wa nyikani
Kesho nitaenda kumtembelea nikipata nafasi...Kuna nguo na viatu sivitumii nataka kumpelekeaDr. anizidi kituchanga aisee! kichwa changu mara kinakubali story zake mara kinakataa.endeleeni kufukunyua mtuweke huru,alafu nahitaji no. yake nimtumia vijicent vya kujikimu anatia huruma.
Yaani huyu ana data nyingi sana ndo maana alikuja kujificha na kuishi kwenye mazingira yenye low profileKabisa mkuu akiwa mzima kuna vitu vitagunduliwa na kama bado ana connection na USA ni shida nyingine hiyo.
Rais wa kampuni sio mtu kidogo ,lazima ana info nyeti sana.