Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Hahaha saa hizi anaalikwa kwenye Makanisa makubwa makubwa na ana miliki vimwana wakali wakali japo ana wakopa bado!! Yaani anawamiliki kwa mkopo....mademu bhana wakishaona tumaini la pesa lipo tu, baaaaaasi.
hahahaha
 
Mkuu this is too low as a general reply unless utarudia tena aya kwa aya!!!
kwanza nimeamua kujitoa mwenyewe kufuatilia suala hili maana nipo uku ambako saga lilitokea
pili, kuhusu hela kapata wapi hiyo ni siri yake na ndiyo maana watu wanasema kuwa kuna la kuchunguza zaid atapata wapi hela hiyo wakati hakuwa nayo?
 
unaona sasa chai zako umeanza kuumbuka
kwa hio sisi tuliokwambia huyo jamaa mgonjwa ukatuona maroboti

cc elmagnifico
 
kwanza nimeamua kujitoa mwenyewe kufuatilia suala hili maana nipo uku ambako saga lilitokea
pili, kuhusu hela kapata wapi hiyo ni siri yake na ndiyo maana watu wanasema kuwa kuna la kuchunguza zaid atapata wapi hela hiyo wakati hakuwa nayo?
acha uongo bana.
 
Mkuu yani amegundua sasa hivi hakuna ela dr kapigwa ameanza kutwist story.
Dr alikuwa anatafuta fursa kwa sasa kaipata anatokea kwenye video ya nyimbo ya madee soon.
mimi huyu jamaa aliniudhi kukomaa kudanganya watu humu
na wabongo tunawaambia kabisa fikirieni acheni kuweka akili nyuma..wakawa wanadharau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…