Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Wee mjamaa unakera na ujinga wako. Ungekuwa karibu ningeweza kukuzodoa kichwa cha utosi na fimbo juu hadi ujikojolee. Pumbaaf!ndo maana watu wanahisi kwamba alikuwa anatumiwa na watu wenye masilahi binafsi
Hahahahahahaaaa...Hahaha saa hizi anaalikwa kwenye Makanisa makubwa makubwa na ana miliki vimwana wakali wakali japo ana wakopa bado!! Yaani anawamiliki kwa mkopo....mademu bhana wakishaona tumaini la pesa lipo tu, baaaaaasi.
ni kweli nimethibitishiwa na mtu wa BOT zimeingia 13 billionsHela kaipokea
Daaah wabongo mmeshindikana.ni kweli nimethibitishiwa na mtu wa BOT zimeingia 13 billions
Acheni utani wa kipumbavu basi.., wekeni document ya kupokea pesa tuone!ni kweli nimethibitishiwa na mtu wa BOT zimeingia 13 billions
aisee watu mko active na hela za wengine hahaAcheni utani wa kipumbavu basi.., wekeni document ya kupokea pesa tuone!
Mkuu unaweza kututhibitishia? maana mimi napenda Dr afanikiwa kwenye hili! ili authibitishie watanzania waliokua wana mkebei!! Kila mtu ana siri kwenye mafanikio/utajiri wakeHela kaipokea
Anatokea kutengeneza tangazo kwenye kampuni flani huko mgodiniShika ndani ya dege akirudi sehem,.mabilioni hayoooo
Inabidi wamlipe wasimtumie tu na kumpa lunch tuAnatokea kutengeneza tangazo kwenye kampuni flani huko mgodini
Watakuwa wanamlipa ila sidhan kama wanamlipa ela anayostahili mpaka mpaka madee na ney wamemtumiaInabidi wamlipe wasimtumie tu na kumpa lunch tu