Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Mpaka sasa akili yangu imegoma kuamini stori aliyoitoa Dr akihusisha kukatwa kwa vidole vyake na kuteswa kwa umeme kisha kutorokea sehemu mbalimbali. Ukiunganisha na stori aliyoitoa kaka yake bado simuamini kama hadithi yake ya kutaka kuibiwa pesa ina mashiko (hii kaitengeneza kwa vile yupo smart).
Mpaka sasa ninamuona ni mtu hatari kuliko tunavyomfikiria.
 
Swali ni hili, ni agent mjinga kiasi gani afanye tukio litakalo muexpose na KGB wajue aliko?
Yani agent aliwatoroka KGB hata jina hakubadiri yuko anaishi dar na awe reckless kwenda kufanya tukio la kujiexpose?
Kisha atoe historia ya kutekwa kwake?
Does that make sense to you kuwa Dr ni bonge la agent kama unavyoaminishwa?
KGB wamemuua agent wao aliyetorokea London na akawa analindwa washindwe kumuua shika kama kweli alikuwa agent na katoroka na kajiexpose??
Kwa taarifa yako yule wa London alikuwa alindwi na yule na dk Shika ni mission mbili tofauti Dr Shika siyo tishio tena.
 
Kwa taarifa yako yule wa London alikuwa alindwi na yule na dk Shika ni mission mbili tofauti Dr Shika siyo tishio tena.
Kasome tena ujue kuwa alikuwa anaulinzi ila alijiamini zaidi.
Watu mnapenda conspiracy theories kweli yani.
Eti mission mbili tofauti kwasasa siyo tishio.
Basi sawa
 
Acha hasira Dk Shikaa ni mwafrika na mtanzania na agent aliyewekewa sumu ni mzawa wa Russia unachshindwa kuelewa ni nini.
Kasome tena ujue kuwa alikuwa anaulinzi ila alijiamini zaidi.
Watu mnapenda conspiracy theories kweli yani.
Eti mission mbili tofauti kwasasa siyo tishio.
Basi sawa
 
Acha hasira Dk Shikaa ni mwafrika na mtanzania na agent aliyewekewa sumu ni mzawa wa Russia unachshindwa kuelewa ni nini.
Najua spy ni spy ukitoroka they will hunt you ukipatikana watakuua.
Uwe mzawa au wakuja tena ukizingatia kwa maelezo yenu alioa mrusi
 
ila sasa kwa Tanzania amebaki mheshimiwa aliyehamia juzi juzi chama fulani naye ni spy
UNAULIZA HILO MKUU YULE MBONA KITAMBO TOKA YUKO KIJANI SPY WAKUTOSHA NAONA KARUDI ILI AMSAIDIE DAB KUWADAKA VIZURI MANAKE DAB ANA MAARIFA MADOGO KWENYE UDAKAJI....
 
Kasema KGB wapi? Amesema walikua mafia wa kirusi waliotaka awape 1.5 usd.angewapa angeuliwa, asipowapa angeuliwa clear sikiliza video.
Hakuna mjinga hapa ni ww unachoamini kila kitu kiko Google.
CIA na KGB zimeingia kwa hisia tu kwamba inawezekana huyu mtu alikua anaibia Siri na kutuma CIA akatengeneza pesa wakamshtukia kumbuka amefanya kazi viwanda vya chemical na silaha.
Kwa miaka aliyoishi kule anaweza kurudi hata kesho ni kwenda ubalozi wa Russia tu wanamtengenezea safari na ana family ila ndo hivyo mpk kutoroka kuja bongo ni kuokoa roho yake.
Anyway bado tunahisi ukweli anaujua yeye
Mkuu rudia kusikiliza KBG ameitaja kwamba watu.wanafundishwa kuteswa
 
We unaamini angekuwa agent kama mnavyotaka kutuaminisha, angekuwa mjinga kiasi hicho kujiexpose ajulikane alipo wakati madai ni kwamba anatafutwa aliwatoroka KGB?
Yule jamaa na ulinzi wote aliyowekewa na waingereza bado walimuua kwa kumwekea sumu ya mionzi kwenye vitu alivyokuwa anatumia ije kuwa huyu Dr ambaye yupo yupo tu?
Hii ni chai na kama kweli angekuwa spy asingekuwa reckless kujiexpose wakati anatafutwa.
Watu mnapenda hizi story tu

umeshaambiwa ni dumped spy wa CIA ambaye ameshajielewa ametelekezwa na hana cha kupoteza, uwezo wa kukaa mafichoni kwa gharama zake hana waliokuwa wakimhifadhi hawamuhitaji tena kifupi kwa sasa ni mzigo... sasa anafanyaje zaidi ya kutoka mafichoni ili jamii imsaidie.. hata hao KGB kwa hali aliyokuwa nayo hawatamuhitaji tena watatafuta namna nyingine ya kufanya maana kirusi hakipo kwao tena kimeshatoka zaidi zaidi labda watammonitor remotely..
 
umeshaambiwa ni dumped spy wa CIA ambaye ameshajielewa ametelekezwa na hana cha kupoteza, uwezo wa kukaa mafichoni kwa gharama zake hana waliokuwa wakimhifadhi hawamuhitaji tena kifupi kwa sasa ni mzigo... sasa anafanyaje zaidi ya kutoka mafichoni ili jamii imsaidie.. hata hao KGB kwa hali aliyokuwa nayo hawatamuhitaji tena watatafuta namna nyingine ya kufanya maana kirusi hakipo kwao tena kimeshatoka zaidi zaidi labda watammonitor remotely..
Sasa kama dumped mbona nasaka ela kutoka kwenye hiyo kampuni huko urusi?
Yani uwe spy president wa kampuni kubwa kwa maelezo yenu ambayo inakuja kugundulika inafanya kazi za uspy wanakukamata wanakutesa unatoroka.
Baada ya miaka unaibuka kudai ela toka kampuni ambayo ilikuwa urusi ikifanya uspy na serikali ikajua?
Does that make sense to you?
 
Sasa kama dumped mbona nasaka ela kutoka kwenye hiyo kampuni huko urusi?
Yani uwe spy president wa kampuni kubwa kwa maelezo yenu ambayo inakuja kugundulika inafanya kazi za uspy wanakukamata wanakutesa unatoroka.
Baada ya miaka unaibuka kudai ela toka kampuni ambayo ilikuwa urusi ikifanya uspy na serikali ikajua?
Does that make sense to you?
Unaamini maneno yake Dr Shika?
 
Unaamini maneno yake Dr Shika?
Kuishi Urussi sina shaka kaishi Urusi, kuoa mke wa Kirusi pia inawezekana alioa mke wa Kirusi.
Kumiliki kampuni ambayo haina reference yoyote zaidi ya website ambayo haijalipiwa pia inawezekana anaimiliki.
Lakini ku agent au spy halafu awe reckless vile ni kitu ambacho hakiwezekani.
Kwanza mwenyewe hajasema kuwa alikuwa spy
 
unajua uongeaji wa kisomi wa dr shika umewachanganya,hawa wangekutana na yule lecturer aliyedata pale CBE wangekimbia,labda hawajawaji kukutana na vichaa wanaoongea hadi lugha zote za dunia..Mzee kachanganyikiwa sasa imekuja issue ya u SPY ndo imewachanganya wartu kabisa
Mtu unaambiwa alitopea kwenye ulevi akashindwa kumaliza hata masomo huko Russia bado hawaelewi,walahi soma kitabu cha Kalugin utajua hata torture cells za KGB walivyokuwa wana operate ,eti dr shika aliwatoroka KGB
Stupidddddddddddddddddddddddddddddddddd
Sijaanza kuamini Dr Shika alikuwa CIA agent, lakini nawewe usikalili kwamba KGB hawawezi kutorokwa, wao ni wakina nani? wala sio mungu... ukisoma nyaraka nyingi tu unaambiwa ni mafia wengi walio watoroka Agent wengi wa usalama duniani tena vitengo vikubwa vinavyoaminika kama CIA, KGB, M16 na takataka nyingine, mfano mkubwa ni Edward Snowden ingawa hakutiwa nguvuni lakini alithubutu kuionesha CIA si miungu..
 
Sasa kama dumped mbona nasaka ela kutoka kwenye hiyo kampuni huko urusi?
Yani uwe spy president wa kampuni kubwa kwa maelezo yenu ambayo inakuja kugundulika inafanya kazi za uspy wanakukamata wanakutesa unatoroka.
Baada ya miaka unaibuka kudai ela toka kampuni ambayo ilikuwa urusi ikifanya uspy na serikali ikajua?
Does that make sense to you?

Dumped agent yeyote huishia hivyo unavyomuona Dr Shika, ukumbuke tayari dish limeshachezeshwa na KGB na inaonekana CIA wanalijua hilo ndio maana wanamdanganya hela zako zinakuja usihofu na mwisho wake ndio hivyo mpaka mauti yamkute tena afadhali yake wamemdump akiwa hai wengine wanauwawa tu nakutupwa..
 
Akili nyepesi hazifai kwenye huu uzi
Kwa hiyo akili ya kudanganya kuwa Urusi,China,Hong Kong,USA sio kigezo cha kudanganya watu Mimi nashinda huko situmii kujua hizo Nchi nidanfanye watu ..ukitaka chai zipo nyingi sana wasafiri wanajua kuzitengeneza
 
Dumped agent yeyote huishia hivyo unavyomuona Dr Shika, ukumbuke tayari dish limeshachezeshwa na KGB na inaonekana CIA wanalijua hilo ndio maana wanamdanganya hela zako zinakuja usihofu na mwisho wake ndio hivyo mpaka mauti yamkute tena afadhali yake wamemdump akiwa hai wengine wanauwawa tu nakutupwa..
Lengo ni kujustify ulichokisema...
Huwezi kumuacha agent chizi ovyo aanze ropoka ropoka hujui mangapi atasema kama kweli alikuwa agent.
Hizi ni kahawa tu zilizozidi uchungu
 
Back
Top Bottom