Nathan Jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,437
- 1,883
Hehehe shikaaaaHebu nikae hapa mlangoni ili kila kinachoingia kwny uzi huu nikipate, maana kila siku naona unazidi kunoga tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe shikaaaaHebu nikae hapa mlangoni ili kila kinachoingia kwny uzi huu nikipate, maana kila siku naona unazidi kunoga tu.
HeheHili bashite hawezi kuamini kabisa ila jazia nyama Kwa kuweka na picha
Cold war iliwaumiza wengi mm luis nakubaliana naye 100%
Lakni balozi zetu za kiafrika suala kama hili hawawezi kuliona hata kidogo
Balozi zetu zenyewe huko marekani haziko salama nyendo zao zinafuatiliwa kila kukicha hapa kwetu mabalozi wao wanakula shumbwela na kuonekana miungu watu umasikini na ushamba utatumaliza afrika
Nasema tena Kwa kujiamini Tanzania hakuna spy anaweza kupandikizwa na kulifanikisha suala la shika tuache maigizo .shika apambane na umaarufu wake mungu ammbariki sana aendelee kuwa hai mpaka hapo atakapo ipata mizigo yake
Watu kama akina shika ni wengi na hili kosa alilifanya Mwl.J.K.Nyerere
Aliuamini sana mfumo wa kikomunist mpaka akawa anatoa vijana wetu kwenda nje bila document zozote
Ota waitu owenjai ya kashai kashenyeKaburi limefukuliwa vipi mait inataka kufanyiwa postmorterm
AlidhaniEbo! Wewe kumbe ulimchukulia poa sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndio kyoma waguma chonka.Ota waitu owenjai ya kashai kashenye
Alitushika kweliiKweli Dr shika katushika
HahahaHili bashite hawezi kuamini kabisa ila jazia nyama Kwa kuweka na picha
Cold war iliwaumiza wengi mm luis nakubaliana naye 100%
Lakni balozi zetu za kiafrika suala kama hili hawawezi kuliona hata kidogo
Balozi zetu zenyewe huko marekani haziko salama nyendo zao zinafuatiliwa kila kukicha hapa kwetu mabalozi wao wanakula shumbwela na kuonekana miungu watu umasikini na ushamba utatumaliza afrika
Nasema tena Kwa kujiamini Tanzania hakuna spy anaweza kupandikizwa na kulifanikisha suala la shika tuache maigizo .shika apambane na umaarufu wake mungu ammbariki sana aendelee kuwa hai mpaka hapo atakapo ipata mizigo yake
Watu kama akina shika ni wengi na hili kosa alilifanya Mwl.J.K.Nyerere
Aliuamini sana mfumo wa kikomunist mpaka akawa anatoa vijana wetu kwenda nje bila document zozote
Ngumile[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndio kyoma waguma chonka.
Mbinu za ccm tu hizo kidivert attention za watu kwenye mambo ya msingiJamani huyu Dr Shika si alisema hela kaletewa tayari anamtaka Waziri Mkuu au Rais aende akamgawie za Watanzania?
km bado nimeamini Mirembe inamuita
DahHili bashite hawezi kuamini kabisa ila jazia nyama Kwa kuweka na picha
Cold war iliwaumiza wengi mm luis nakubaliana naye 100%
Lakni balozi zetu za kiafrika suala kama hili hawawezi kuliona hata kidogo
Balozi zetu zenyewe huko marekani haziko salama nyendo zao zinafuatiliwa kila kukicha hapa kwetu mabalozi wao wanakula shumbwela na kuonekana miungu watu umasikini na ushamba utatumaliza afrika
Nasema tena Kwa kujiamini Tanzania hakuna spy anaweza kupandikizwa na kulifanikisha suala la shika tuache maigizo .shika apambane na umaarufu wake mungu ammbariki sana aendelee kuwa hai mpaka hapo atakapo ipata mizigo yake
Watu kama akina shika ni wengi na hili kosa alilifanya Mwl.J.K.Nyerere
Aliuamini sana mfumo wa kikomunist mpaka akawa anatoa vijana wetu kwenda nje bila document zozote
mkuu muendelezo vipi au umeahirisha
mkuu kila kitu kilienda sawa si unajua kwa kazi ya uku kupeleleza imeisha imebaki huko bongomkuu muendelezo vipi au umeahirisha
pale uliposema itaendelea j3 mkuu kwa mujibu wa maelezo yako haya hapa chinimkuu kila kitu kilienda sawa si unajua kwa kazi ya uku kupeleleza imeisha imebaki huko bongo
Sawa mkuu tunangoja mwendelezo.halafu kama akizipata kwa awamu hii ... atakula na kina serikali!pale uliposema itaendelea j3 mkuu kwa mujibu wa maelezo yako haya hapa chini
Itaendelea baadae na nitasimulia nani alimtorosha na alitumia mbinu zipi, nani anashikiria hela yake na kwanini anaambiwa ailipie bima.
Ninakutana na muhusika kesho Jumatatu asubuhi njema
Akirudi na friji anakuwa amejitahidi sana...mara nyingi wanarudi na Vodka,themos na albamu nzuri nzuriKawaida hyo....zamani madokta wakirudi toka Russia walikuwa wanarudi na mke na friji bongo
Ova
ze ndindindi vipihakuna kitu, chai hiii