Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Hili bashite hawezi kuamini kabisa ila jazia nyama Kwa kuweka na picha

Cold war iliwaumiza wengi mm luis nakubaliana naye 100%

Lakni balozi zetu za kiafrika suala kama hili hawawezi kuliona hata kidogo

Balozi zetu zenyewe huko marekani haziko salama nyendo zao zinafuatiliwa kila kukicha hapa kwetu mabalozi wao wanakula shumbwela na kuonekana miungu watu umasikini na ushamba utatumaliza afrika

Nasema tena Kwa kujiamini Tanzania hakuna spy anaweza kupandikizwa na kulifanikisha suala la shika tuache maigizo .shika apambane na umaarufu wake mungu ammbariki sana aendelee kuwa hai mpaka hapo atakapo ipata mizigo yake

Watu kama akina shika ni wengi na hili kosa alilifanya Mwl.J.K.Nyerere
Aliuamini sana mfumo wa kikomunist mpaka akawa anatoa vijana wetu kwenda nje bila document zozote
Hehe
 
Hili bashite hawezi kuamini kabisa ila jazia nyama Kwa kuweka na picha

Cold war iliwaumiza wengi mm luis nakubaliana naye 100%

Lakni balozi zetu za kiafrika suala kama hili hawawezi kuliona hata kidogo

Balozi zetu zenyewe huko marekani haziko salama nyendo zao zinafuatiliwa kila kukicha hapa kwetu mabalozi wao wanakula shumbwela na kuonekana miungu watu umasikini na ushamba utatumaliza afrika

Nasema tena Kwa kujiamini Tanzania hakuna spy anaweza kupandikizwa na kulifanikisha suala la shika tuache maigizo .shika apambane na umaarufu wake mungu ammbariki sana aendelee kuwa hai mpaka hapo atakapo ipata mizigo yake

Watu kama akina shika ni wengi na hili kosa alilifanya Mwl.J.K.Nyerere
Aliuamini sana mfumo wa kikomunist mpaka akawa anatoa vijana wetu kwenda nje bila document zozote
Hahaha
 
Jamani huyu Dr Shika si alisema hela kaletewa tayari anamtaka Waziri Mkuu au Rais aende akamgawie za Watanzania?
km bado nimeamini Mirembe inamuita
 
Jamani huyu Dr Shika si alisema hela kaletewa tayari anamtaka Waziri Mkuu au Rais aende akamgawie za Watanzania?
km bado nimeamini Mirembe inamuita
Mbinu za ccm tu hizo kidivert attention za watu kwenye mambo ya msingi
 
Hili bashite hawezi kuamini kabisa ila jazia nyama Kwa kuweka na picha

Cold war iliwaumiza wengi mm luis nakubaliana naye 100%

Lakni balozi zetu za kiafrika suala kama hili hawawezi kuliona hata kidogo

Balozi zetu zenyewe huko marekani haziko salama nyendo zao zinafuatiliwa kila kukicha hapa kwetu mabalozi wao wanakula shumbwela na kuonekana miungu watu umasikini na ushamba utatumaliza afrika

Nasema tena Kwa kujiamini Tanzania hakuna spy anaweza kupandikizwa na kulifanikisha suala la shika tuache maigizo .shika apambane na umaarufu wake mungu ammbariki sana aendelee kuwa hai mpaka hapo atakapo ipata mizigo yake

Watu kama akina shika ni wengi na hili kosa alilifanya Mwl.J.K.Nyerere
Aliuamini sana mfumo wa kikomunist mpaka akawa anatoa vijana wetu kwenda nje bila document zozote
Dah
 
mkuu kila kitu kilienda sawa si unajua kwa kazi ya uku kupeleleza imeisha imebaki huko bongo
pale uliposema itaendelea j3 mkuu kwa mujibu wa maelezo yako haya hapa chini


Itaendelea baadae na nitasimulia nani alimtorosha na alitumia mbinu zipi, nani anashikiria hela yake na kwanini anaambiwa ailipie bima.

Ninakutana na muhusika kesho Jumatatu asubuhi njema
 
pale uliposema itaendelea j3 mkuu kwa mujibu wa maelezo yako haya hapa chini


Itaendelea baadae na nitasimulia nani alimtorosha na alitumia mbinu zipi, nani anashikiria hela yake na kwanini anaambiwa ailipie bima.

Ninakutana na muhusika kesho Jumatatu asubuhi njema
Sawa mkuu tunangoja mwendelezo.halafu kama akizipata kwa awamu hii ... atakula na kina serikali!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom