Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Umeona eeh!? Ila wa kitaa hapo kashapambana sana haswa yule aliyekaa kitaa tangu afeli form four.
Ukishakuwa mtaani kwa zaidi ya miaka 15 tayari hakuna usilolijua kwenye utafutaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeh!? Ila wa kitaa hapo kashapambana sana haswa yule aliyekaa kitaa tangu afeli form four.
Leo unakubali ndoa. Bado hujasemaNakubali Sana Mada Zako
Ngoja waje kukupopoa 🤣🤣🤣Hiyo miaka 30 kwa mwanamke tayari kashakuwa msimbe au kibungo kwa ambao hado hawajaolewa huwa wanahaha sana kutafuta mume kwa manabii wao wengine kwa waganga
Utawasikia wengine wakijifariji kwanza kuolewa sio lazima
Ndo maana ikitokea akapata ZALI la kuolewa kwenye harusi anaruka ruka kama ndama na nyimbo za vijembee kibao
Ndo unajua kumbee alikuwa anaitaka😂😂
tulia hapohapo usiondokeHiyo miaka 30 kwa mwanamke tayari kashakuwa msimbe au kibungo kwa ambao hado hawajaolewa huwa wanahaha sana kutafuta mume kwa manabii wao wengine kwa waganga
Utawasikia wengine wakijifariji kwanza kuolewa sio lazima
Ndo maana ikitokea akapata ZALI la kuolewa kwenye harusi anaruka ruka kama ndama na nyimbo za vijembee kibao
Ndo unajua kumbee alikuwa anaitaka😂😂
Tatizo hawataki kuambiwa ukweliNgoja waje kukupopoa 🤣🤣🤣
AaahaaaZamani ulikua unamshangaa mtu mwenye miaka 30 bado anakaa kwao leo mtu huyo ni wewe siyo poa wanangu
DahTulipokuwa wadogo nakumbuka sisi ndio tulikuwa the future,...ila sasa 30+ na bado haujaona hiyo future!!
Nimepenyezewa taarifa za chini kwa chini kuwa jf ina wasimbe (milf) wengi sanatulia hapohapo usiondoke
Ukiwa unasindikiza jua tu bila cha kufanya, miaka huwa haisogei ila ukiwa busy, utaona miaka inakimbia.Alaf wanasema 20-29 hapa miaka huwa inaenda taratibu ila ukishatoboa 30 miaka huwa inakimbia balaa na kama huna ramani watu wanakutenga kila mtu anakuona we siyo mwana wanaona hujielewi na ni mzembe hata babaako hataki kukuona
Ni umri hatari sana huo hasa mambo yakiwa hayajakaa sawa na ukiwacheki Homies wako kila mmoja anamaisha yake presha huwa ipo juu sanaUkiwa unasindikiza jua tu bila cha kufanya, miaka huwa haisogei ila ukiwa busy, utaona miaka inakimbia.
By the way, ukishavuka 25 hapo presha za maisha zinaanza kuwa intensive
Bado dogo sana,msalimie wifi wese.Nakimbilia 34
Yaani we acha tu, ukiwa hauna ramani ata mwenyewe unajitenga[emoji23]Alaf wanasema 20-29 hapa miaka huwa inaenda taratibu ila ukishatoboa 30 miaka huwa inakimbia balaa na kama huna ramani watu wanakutenga kila mtu anakuona we siyo mwana wanaona hujielewi na ni mzembe hata babaako hataki kukuona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo unakubali ndoa. Bado hujasema
Unakosa nauli ya kupanda boda usafiri ukisumbua halafu unawaona classmates kila siku wanapost flights tu. Lazma uchanganyikiwe lakini kama unamuamini Mungu walo, na kujua kila mtu ana safari yake.Ni umri hatari sana huo hasa mambo yakiwa hayajakaa sawa na ukiwacheki Homies wako kila mmoja anamaisha yake presha huwa ipo juu sana