Baada ya kufuatilia uendaji wa chooni wa huyu dada muuza mgahawa, nimejiapiza sili tena migahawa ya uswahilini

Baada ya kufuatilia uendaji wa chooni wa huyu dada muuza mgahawa, nimejiapiza sili tena migahawa ya uswahilini

WhoWeBe

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
2,299
Reaction score
4,282
Nikiwa sina kazi leo nikaamua kujishughulisha kidogo kwa kufanya kautafiti kangu ka-usafi (afya) wa hivi vi-mgahawa vya hapa mitaani kwetu tunakopatia chai na lunch. Nikaona nishughulike na nyendo zao za chooni kwanza. Nimepitia migahawa minne na kote nimekutana na mambo yanayofanana kwa 100%.

Nitasimulia cha mgahawa mmoja, kwa niaba ya mingine. Ikawa hivi;

Katoka chooni moja kwa moja hadi kwenye dishi lenye maji anayooshea vyombo na kutosa mkono wake wa kulia kujichuuzia maji kwa kutumia kiganja cha huo mkono wa kulia. Nilishangaa!

Kachukua sabuni ya unga ya kuoshea vyombo kwa mtindo wa kupamba (maana aliiweka tu katika chombo cha wazi (sahani) kwa kutumia mkono wake wa kushoto na kuendelea kujisuuzia maji na sasa akijihesabu ndo ananawa na sabuni.

Nikasema ngoja nifike na huko chooni kwenyewe kwanza nikaangalie mazingira. Nikaomba ruhusa kwamba naenda kujisaidia haja ndogo. Kwakuwa mi ni mzoefu wakaniruhusu......kufika huko Mungu wangu!!! Inye zinaonekana hovyo hovyo, uchafu mtupu.

Sili tena migahawani.
 
Kaka kuwa mpole ukifuatilia kila unachokula jinsi kinavyoandalia hata cha mkeo au dada wa ndani hutokula. Ni bora ujifanye hujaona wala hujui utaishia maisha safi.

Mama yangu aliwahi kuniambia kuwa hakuna sababu wala umuhimu wa kwenda kupima afya zetu kila mara hata kama hauumwi kwani tunatembea na magonjwa mengi mwilini bila kujua.
 
Nikiwa sina kazi leo nikaamua kujishughulisha kidogo kwa kufanya kautafiti kangu ka-usafi (afya) wa hivi vi-mgahawa vya hapa mitaani kwetu tunakopatia chai na lunch. Nikaona nishughulike na nyendo zao za chooni kwanza. Nimepitia migahawa minne na kote nimekutana na mambo yanayofanana kwa 100%. Nitasimulia cha mgahawa mmoja, kwa niaba ya mingine. Ikawa hivi;

Katoka chooni moja kwa moja hadi kwenye dishi lenye maji anayooshea vyombo na kutosa mkono wake wa kulia kujichuuzia maji kwa kutumia kiganja cha huo mkono wa kulia.......nilishangaa!

Kachukua sabuni ya unga ya kuoshea vyombo kwa mtindo wa kupamba (maana aliiweka tu katika chombo cha wazi (sahani)) kwa kutumia mkono wake wa kushoto na kuendelea kujisuuzia maji na sasa akijihesabu ndo ananawa na sabuni.

Nikasema ngoja nifike na huko chooni kwenyewe kwanza nikaangalie mazingira. Nikaomba ruhusa kwamba naenda kujisaidia haja ndogo. Kwakuwa mi ni mzoefu wakaniruhusu......kufika huko Mungu wangu!!! Inye zinaonekana hovyo hovyo.....uchafu mtupu.

Sili tena migahawani......
Badala ya kuonesha upendo kwa kumuelimisha ili sisi walaji sugu wa migahawani tuepushwe kulishwa masalia ya malowatoni, wewe unawaaka na kujiapiza.

Bana eeh kila mtu ashinde mechi zake
 
Nikiwa sina kazi leo nikaamua kujishughulisha kidogo kwa kufanya kautafiti kangu ka-usafi (afya) wa hivi vi-mgahawa vya hapa mitaani kwetu tunakopatia chai na lunch. Nikaona nishughulike na nyendo zao za chooni kwanza. Nimepitia migahawa minne na kote nimekutana na mambo yanayofanana kwa 100%. Nitasimulia cha mgahawa mmoja, kwa niaba ya mingine. Ikawa hivi;

Katoka chooni moja kwa moja hadi kwenye dishi lenye maji anayooshea vyombo na kutosa mkono wake wa kulia kujichuuzia maji kwa kutumia kiganja cha huo mkono wa kulia.......nilishangaa!

Kachukua sabuni ya unga ya kuoshea vyombo kwa mtindo wa kupamba (maana aliiweka tu katika chombo cha wazi (sahani)) kwa kutumia mkono wake wa kushoto na kuendelea kujisuuzia maji na sasa akijihesabu ndo ananawa na sabuni.

Nikasema ngoja nifike na huko chooni kwenyewe kwanza nikaangalie mazingira. Nikaomba ruhusa kwamba naenda kujisaidia haja ndogo. Kwakuwa mi ni mzoefu wakaniruhusu......kufika huko Mungu wangu!!! Inye zinaonekana hovyo hovyo.....uchafu mtupu.

Sili tena migahawani......
Akili ndogo bana. Sasa mtu mmoja ndio anafanana na watu wote wafanyao hiyo kazi? Kuna watu ni wasafi kukushinda wewe acha ujinga.
 
Ni changamoto sana mkuu, juzi nimeenda kwenye mgahawa wenye hadhi hadhi, nimechukua takeaway, Dada akaweka kwenye chakula kachumbari ya tango kwa mkono, ikabidi chakula niamue kuwapa mbwa wangu. Nimegundua usipokuwa makini na hii migahawa, utakuwa unasumbuliwa sumbuliwa na tumbo
 
Kama huwezi kubeba msosi wako kutoka nyumbani....basi acha kuchunguza utakutana na vitu vya ajabu sana
Wasafiri, wafanyakazi tunalishwa vingi sana hata hizi 5 star hotel bado Kuna vitu vya ajabu sana basi tu...we kula pita hivi 👉 au beba chakula kutoka kwako

Kitu kimenishinda ni juice ya kutengeneza usafi wake huwa ni 0% ila vingine ni Mungu tu
 
Kaka kuwa mpole ukifuatilia kila unachokula jinsi kinavyoandalia hata cha mkeo au dada wa ndani hutokula. Ni bora ujifanye hujaona wala hujui utaishia maisha safi.

Mama yangu aliwahi kuniambia kuwa hakuna sababu wala umuhimu wa kwenda kupima afya zetu kila mara hata kama hauumwi kwani tunatembea na magonjwa mengi mwilini bila kujua.
sahihi kabisa unakuta mke anapika huku anajitia madole kwenye papuchi au kujikuna kwenye kipochi manyoya bila kunawa anatoka hapohapo anashika chakula,haushangai kuna wakati chakula kina nuka mik*ma k*ma? ^_^
 
Una kazi. Sasa,uliwahi jiuliza watu wa visiwani wanaishije? Je,watu wanaokura vyakula vya melini na kwenye feri,vimepikiwa maji gani?
Kama ndo hivyo ulivyo, naomba na samaki uache kula
 
Nikiwa sina kazi leo nikaamua kujishughulisha kidogo kwa kufanya kautafiti kangu ka-usafi (afya) wa hivi vi-mgahawa vya hapa mitaani kwetu tunakopatia chai na lunch. Nikaona nishughulike na nyendo zao za chooni kwanza. Nimepitia migahawa minne na kote nimekutana na mambo yanayofanana kwa 100%. Nitasimulia cha mgahawa mmoja, kwa niaba ya mingine. Ikawa hivi;

Katoka chooni moja kwa moja hadi kwenye dishi lenye maji anayooshea vyombo na kutosa mkono wake wa kulia kujichuuzia maji kwa kutumia kiganja cha huo mkono wa kulia.......nilishangaa!

Kachukua sabuni ya unga ya kuoshea vyombo kwa mtindo wa kupamba (maana aliiweka tu katika chombo cha wazi (sahani)) kwa kutumia mkono wake wa kushoto na kuendelea kujisuuzia maji na sasa akijihesabu ndo ananawa na sabuni.

Nikasema ngoja nifike na huko chooni kwenyewe kwanza nikaangalie mazingira. Nikaomba ruhusa kwamba naenda kujisaidia haja ndogo. Kwakuwa mi ni mzoefu wakaniruhusu......kufika huko Mungu wangu!!! Inye zinaonekana hovyo hovyo.....uchafu mtupu.

Sili tena migahawani......
Siwalaumu! Ni mama zetu, dada zetu, ndugu zetu, kwa hiyo ni sehemu yetu! Inawezekana, hata mimi, kama nisingepita mazingira niliyoyapita, ningekuwa kama wao. Lakini ukweli ni kwamba hali ya usafi binafsi nchini Tanzania bado uko chini sana.

Naamini hawakusudii kufanya hivyo, bali ndiyo mtazamo wao. Wanaona wako sahihi, hasa ikizingatiwa kuwa ndivyo walivyolelewa.

Kuna mahali nilikuwa nimepiga kambi ya kikazi, na nikawa naenda kula kwenye mghahawa uliopo maeneo ya jirani. Nilifikia hatua nikaamua kuwapa bure "kijiko/kishikio" cha kushikia chapati. Nilikuwa nakereka, unaagiza chapati, mhudumu anatoa kwa mikono mitupu ambayo imetoka kuhesabu hela, na wakati mwingine ameshika na vitu vingine na maeneo ya mwili wake kama kichwa, n.k.

Nilikuwa napenda sana kutafuna karanga zilizokaangwa, zile zinazofungwa kwenye vipakiti vya nailoni. Nilikoma kufanya hivyo kutokana na nilichokishuhudia kikifanywa na mkaanga karanga wakati akiendelea na zoezi la ukaangaji karanga.

Binafsi, naona kuna uhitaji mkubwa sana wa semina za usafi kufanywa, ikibidi, kwa kila kaya nchi nzima bila kujali kama ni familia ya wasomi au la.
 
Back
Top Bottom