Baada ya kufunga maombi, rafiki yangu akapatwa na janga

Usimuache mtu mchawi aishi wateketeze wote na mganga wake kupitia maombi ya usiku wa manane na kufunga tatu kavu.
 
Mimi mchawi akinijia namtumia mishale milioni 60 ya moto kwa damu ya YESU Kristo. Huwa awarudi na wachawi wenzao upata maisha.
 
Piga dua la kuua mchawi Ili ajue ulozi akawalozi wajinga wasio na neno.
 
Jina la Yesu utenda Kazi kwa mtu yeyeto ni unlimited, halina gharama, upatikana kwa wingi, mda wote tena ni bure.
Nashangaa vipofu wanaoenda kutapeliwa wakati hata wao wanaweza afanyacho mtume na Nabii
 
Mchawi, mganga, sijui Jinni hata awe na phd ya ulozi, kamtolea Sana shetani kafara, sijui ana degree za juu kabisa ashatoka kwenye ubinadamu yaani kafikia level ya kupeleka maombi yake kwa wale majemedari 6 wa shetani kina lucifuge lofokale na majemedari wengine wa shetani, hawezi vuka ACDs 40% wakati Jesus Christ ana ACDs 100%.
So usiogope wala kumuogopa mchawi, sijui jinn sijui mganga. Ukiogopa tu umeruhusu hofu ( MONSTER SPIRIT 👹💀 ) ndio itakayokumaliza.
Mchawi, jinni ucheza na hofu yako ni lazima wakutishe kwanza.
Thus wakoloni awakuruhusu wala kuipa hofu nguvu thus walimudu kuwatawala waafrika ikiwemo na wachawi sugu hata kuwapeleka utumwani.
Uchawi ungekuwa na nguvu kihivyo zaidi ya kupewa nguvu na propaganda tu mkoloni asingeweza kumtawala mwafrika.
 
Huu mchezo ni mwingi sana katika dunia ya leo, hatari sana, huwa nasema hata haya mateja mengi sio hiyari yao!, kuna kuwa na issue imepigwa au kufanywa pengine na wazazi wao lakini gagula aliwaficha kuhusu matokeo ya mbeleni. /OVA.
 
Maombi ndiyo njia sahihi ya kupambana na vita ya kiroho na siyo kukimbilia kwa waganga wa kienyeji, Maombi yana nguvu ya ajabu hasa kama una imani.
 
Mkuu haujamshikia mtu panga wala bunduki Wala kumshutumu mtu. ENDELEA kupiga maombi kuokoa nafsi yako, awe anahusika juu ya kufunga baraka zako au ahusiki "VITA SI VYAKO BALI MUNGU ANAKUPIGANIA"
 
Ngoja na Mimi nianze kuingia kwenye Maombi Maalum niongee na Baba yangu alie sirini
 
Endelea kukaza hadi uone mwisho wake,ukilegeza akipata nafuu ndio utakuwa mwisho wa maisha yako
 
Mkuu haujamshikia mtu panga wala bunduki Wala kumshutumu mtu. ENDELEA kupiga maombi kuokoa nafsi yako, awe anahusika juu ya kufunga baraka zako au ahusiki "VITA SI VYAKO BALI MUNGU ANAKUPIGANIA"
Barikiwa sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…