Baada ya kufunga ndoa, Lucy Komba awalipua wabaya wake

Dinazarde huo ubuyu wa kuzama sijaupata shostito,Walizama mbudya au wapi?Ila hapo sikumaanisha avae mavazi ya gharama ila angetafuta Shela simple an' clear.

Mbona kwenye k/party alivaa simple na alipendeza?kwenye-Shela alikosa kaubunifu tu.

Walienda huko Bagamoyo kupiga picha, walienda sijui kisiwa gan wakavuka na boti wakazama wakaokolewaa hhhhhaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Sasa mbutananga kwa ulivyo mmbea si uje tu hapa tuunganishe nguvu manake huko IG mhhh na Leo ishu ya diamond uliripoti live kutoka UK. Una mambo wewe
 
Walienda huko Bagamoyo kupiga picha, walienda sijui kisiwa gan wakavuka na boti wakazama wakaokolewaa hhhhhaaaaa
Hahahaa nae kazidi mbwembwe nyingiiii!Naona hakuamini macho yake km anaolewa na mzungu.Pia nahisi alifight sana ili aolewe ndo za Siku hizi za tabu jmn!!!
 
Flora mwenyewe kuvaa hajui

Na maviatu yake utathani ppf tower kasi sio uhuru heights



 
Hhhhhaaaaaa aisee nimechekaajeee

Mmh!! Nyie lucy ananiacha hoi sana, khaa, mwenyew ndo kashika mkononi mwenyew simu yake, sasa sijui ndo alikuwa ana post picha insta maana aliona mpaka harus iishe atachelewa au alijua mkanda utaungua maana sio weusi ule, bi shost akasema ata apa camera 6000 lazima ihusike ila wapi bibi yule alivyo na damu ya kunguru katoka mweusi kama masizi ya mkaa
 

Leo nimecheka mpaka nimekinaiwaa
 
Ahahah, unapata raha hadi unakasirika, mie ndo warumi original

Warumi wewe ni mmbea uliokubuhu.Nadhani Mello akutafute maana jukwaa linajaa ukiwepo wewe mmbea maarufu duniani kwa kupitia lugha ya kiswahili.
 
Last edited by a moderator:
Warumi wewe ni mmbea uliokubuhu.Nadhani Mello akutafute maana jukwaa linajaa ukiwepo wewe mmbea maarufu duniani kwa kupitia lugha ya kiswahili.

Kuna wanaopenda umbea piaa wao wanasomaga kimya kimyaa hhhhhaaaaa,ila nawe mbeaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…