Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Dina bwana mbona wa mtaa wa pili yuko juu kulinganisha na honey wa Lucy. Mzungu choka mbaya unamjua kwa muonekano. Ujue ngozi zao hazihimili hewa ya asili lazima kuwepo kwa product za kung'arisha walau. Ukiona mzungu amepauka vile kuna shida. Nakuapia yule sidhani Kama hata elimu anayo kwa ninavyo mthaminisha. Ingekuwa bongo ile ni std 7 ambayo kikwao ni videgode (spelling nimekosea) skole.
Kwa hiyo lile gari alilompa mama yake ni bora angenunua shela zuri na suti nzuri za mmewe
Pamoja na hayo lakini huyo mzungu pesa ya kutanua itakuwepo tu, mfano kuna binti kaolewa na baba wa kizungu kajengewa nyumba yule binti, kwao kajengewa pia na huyo mzungu na ndoa wamefunga weer kanaringajeee hako kabintii usipimee,