Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Wandugu habari za Usiku
Hii ni Gari mpya Nissan
Nilipeleka gari kufanyiwa Interior Design ikiwemo na dashbord
Ila imerudi Taa ya Airbag inablink tuu, nimeuliza nikaambiwa kwa kua iliguswa itazima yenyewe, nimebaki nimeduwaa
2. Gari ilikua na system kwamba kama hujatoa handbrake basi haitaondoka itakuonyesha handbrake hujatoa
Au kama ukishuka ukasahau kuweka handbrake basi ukifunga milango kwa remote lock haifungi na itapiga kelele hujaweka sawa kitu ndani
Sasa baada ya hiyo ID hivo vitu viwili hapo juu vina tatizo havifanyi kazi
Naombeni kujuzwa ili kama kuna shida kubwa nirudishe gari wairudishe vizuri kama ilivyokua
Gari ni Nissan Dualis
Cc;
boeng
Hii ni Gari mpya Nissan
Nilipeleka gari kufanyiwa Interior Design ikiwemo na dashbord
Ila imerudi Taa ya Airbag inablink tuu, nimeuliza nikaambiwa kwa kua iliguswa itazima yenyewe, nimebaki nimeduwaa
2. Gari ilikua na system kwamba kama hujatoa handbrake basi haitaondoka itakuonyesha handbrake hujatoa
Au kama ukishuka ukasahau kuweka handbrake basi ukifunga milango kwa remote lock haifungi na itapiga kelele hujaweka sawa kitu ndani
Sasa baada ya hiyo ID hivo vitu viwili hapo juu vina tatizo havifanyi kazi
Naombeni kujuzwa ili kama kuna shida kubwa nirudishe gari wairudishe vizuri kama ilivyokua
Gari ni Nissan Dualis
Cc;
boeng